MTITU AFUNGUKIA BIFU LAKE NA STEVE
![](http://api.ning.com:80/files/45z4r7ugTty7t90d5dApGQYDaJW--wXcrwW7GyZgf*l0p88aYG0NxdJr4KofZ8jV6qEUIayERVAsFbMJ9e21ngqNM6R3YO2r/MTITU.jpg)
Stori: Gladness Mallya BAADA ya tetesi kuzagaa kwamba aliyekuwa Katibu wa Bongo Movie Unity, William Mtitu kwamba ana bifu kali na aliyekuwa mwenyekiti wa kundi hilo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ mwenyewe amefunguka kwamba hawezi kufanya kitu kama hicho. Aliyekuwa Katibu wa Bongo Movie Unity, William Mtitu. Akistorisha na paparazi wetu, Mtitu amesema anashangazwa na taarifa hizo licha ya kwamba hawajawahi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lgc1mBk2ypkORtuUXI40ODOLT5R4mWzHTfp*0HNC7gIvswVSGjkWKSqLhcOnLb2rL8FRZLC8iHAORvog8YwiitWYx-qcwR9p/peter.jpg?width=650)
PETER WA P-SQUARE AFUNGUKIA BIFU LAO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-HoKvkav3swOwzCn-02it4ObiAP-b70qOA6Xyj4bR*QI9xsET8L0LfSzqyaSMFaHv4vCkLlFQidoNYrAvcii4x-ej4PXknvC/Mtitu.jpg)
MTITU AKUBALI KUSAMEHEANA NA STEVE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSkVT8NUzNmEnwoMieUIWix-ZckMbASZXUs4tLQjrZ5Noqi8bm5eZlgr96ju2xbGMRP0mDdvrDYGzU1SQRAKYyYS/steve.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AFUNGUKIA MADAI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xbc0vWPYETvSBXpvCpW67Y21F9YqpllsWffS3kPK6jEtJogn3loEybeNknTNNdFIw8m4n0Qyo5U9Mlr11lMxdDciedmYbm9K/Mtitu.jpg)
MTITU, STEVE NYERERE WAAPA KUTOZIKANA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWwc16VS*IKJNmXnHL-kQ0SlEiFI9RnTm*ovm0fjZEmNv-BH4LTeVwlBScXps4c-hi3AFb6pJ74rfIZN1Z5qt23I/mtitu.jpg?width=650)
STEVE NYERERE, MTITU WAFIKA PABAYA!
10 years ago
Bongo Movies13 Aug
Steve Nyerere Afungukia Madai Kuhamia Ukawa!
STAA wa uchekeshaji na filamu Bongo, Steve Mengere ‘Steve Nyerere’ amefungukia madai ya kujiondoa Chama Cha Mapinduzi na kujiunga na umoja wa UKAWA akisema kushindwa kwake katika kura za maoni hakuwezi kuondoa heshima yake kwa Mwenyekiti wake, Jakaya Kikwete.
Akizungumza na gazeti hili juzi, Steve alisema Rais Kikwete amefanya mambo mengi sana kwa wasanii, kiasi kwamba ni mtu asiye na hisani pekee anaweza kuhama CCM kwa sababu ya kushindwa katika kura za maoni au ushawishi wa namna...
10 years ago
Bongo Movies21 May
Dude, Mtitu Nitakufa kwa Mipango ya Mungu-Steve Nyerere
Naomba kumshukulu mungu kwa kila jambo yehova wewe ndio kimbilio langu. Pili kwa masikitiko makubwa nasema watashindana ila awata shinda .niongee kidogo kwa kifupi mara kwa mara nimekuwa nazalilishwa na najiuliza tatizo nini nagundua nyota .
Maishani kila binadamu mungu kampa fulsa yake so ukubali ukatae ndio hivo. Nilipigiwa simu na Mrs Adam kuambiana yani mke wa marehemu kama rafiki ndugu na msanii mwenzake kuwa anajenga kaburi la marehemu Kuambiana.
Nikajiuliza, kwa nini ajenge yeye...
10 years ago
Mwananchi18 Apr
Christian Bella azungumzia bifu lake na Zebingwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdOGWIk99rz1KHZEVFmQrtGzESqASomuUaMLrfr7XDU2lE5KbQqSWoDHsxYbpUzKXLZ0m1XyKh0zN0BwjWLW4BDM/kajala.jpg?width=650)
KAJALA AWEKA KANDO BIFU LAKE NA WEMA