Waliozaa wakiwa shuleni kusakwa warudi darasani
WILAYA ya Mpanda mkoani Katavi itafanya operesheni maalumu ya kuwasaka, kuwakamata na kuwarejesha shuleni wanafunzi wote waliokatiza masomo kwa utoro na ambao tayari wameshazaa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM02 Oct
WANAFUNZI WAPIGWA NA RADI WAKIWA SHULENI
WANAFUNZI 17 wa kidato cha nne katika shule ya sekondari ya Kabuhoro wilayani Ilemela mkoani hapa, wamejeruhiwa na wengine kupata mshtuko kutokana na radi kubwa iliyopiga jana asubuhi.
Wanafunzi hao walikimbizwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Sekou Toure, ambapo walipatiwa matibabu na hali zao zinaendelea vizuri.
Akizungumza kwa njia ya simu, Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola alithibitisha tukio hilo.
Alisema wanafunzi watatu hadi jana mchana walikuwa wakiendelea na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv8PmHLKJijbMVVHojKL3Nl5fRwK2phiG17sS7-eN02p4LmQ*bQKI3R24lHxhEEjnWdSJHWuGKJ429t5K2Tga4XA/Nay.jpg)
WALIOZAA NA NAY WAFUTA BIFU LAO
9 years ago
Bongo528 Oct
Lulu akerwa na headline ya gazeti ‘Mastaa waliozaa watoto wenye sura mbaya’
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-8VHboO2Jrc8/VJse_aonvSI/AAAAAAAAEj8/lmjpjvA_QWc/s72-c/Faiza%2BAlly.jpg)
ALIEKUWA MCHUMBA WA MH SUGU AFUNGUKA NA KUSEMA KUWA MHESHIMIWA SUGU HAMJALI MTOTO WALIOZAA
![](http://1.bp.blogspot.com/-8VHboO2Jrc8/VJse_aonvSI/AAAAAAAAEj8/lmjpjvA_QWc/s640/Faiza%2BAlly.jpg)
“Imeniathiri sana hata hailezeki,” alisema. “Naona hata nikieleza siwezi kumaliza. Imeniathiri kiasi kikubwa sana, kwa sababu na mwaka mzima kama nikipumzika kulia ni siku moja.”
![](http://4.bp.blogspot.com/-C13XujLAcN0/VJsfJQE-s5I/AAAAAAAAEkE/MCRdlC88XGs/s640/Faiza%2BAlly2.jpg)
11 years ago
GPLDARASA: NARUDI DARASANI
11 years ago
Habarileo25 Jun
'Ukawa warudi bungeni'
MWENYEKITI wa Chama Cha Kijamii (CCK) na Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Constantine Akitanda amesema juhudi zao walizoanzisha na chama cha NRA, zimelenga kuhakikisha kuwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wanarejea bungeni.
11 years ago
Mwananchi03 May
Wagosi wa Kaya warudi na Uamsho
11 years ago
Habarileo01 Aug
Kikwete- Ukawa wanapotosha, warudi
RAIS Jakaya Kikwete amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), warudi katika Bunge hilo, watumie mifumo maalumu waliyojiwekea na kanuni walizojitungia wenyewe, kutafuta maridhiano.
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Apr
Viongozi wa mitaa kuingizwa darasani
NA MARIA AROPE, DODOMA
KUFUATIA viongozi wa ngazi ya chini kutopewa semina elekezi na miongozo kabla ya kuanza, kazi shirika lisilo la serikali mkoani Dodoma la NGONEDO linatarajia kutoa mafunzo kwa viongozi wa serikali za vijiji 1,580.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa, Mratibu wa shirika hilo, Edward Mbogo, alisema viongozi hao watatoka katika vijiji 42 ambapo wananchi 350,000 watanufaika.
Alisema awamu ya kwanza ya mradi huo itaanza kutekelezwa katika wilaya za Kongwa na...