Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DARASA: NARUDI DARASANI

Staa Shariff Sadick Ramadhan ‘Darasa’ (kulia) wakati akihojiwa na Mic Queen, Pamela Daffa ndani ya Global TV. Stori: ANDREW CARLOS
STAA wa Sikati Tamaa, Shariff Sadick Ramadhan ‘Darasa’ yupo mbioni kurudi darasani baada ya kufanya muziki muda mrefu. Darasa katika pozi. Akifunguka hivi juzikati katika mahojiano na Kipindi cha Mtu Kati kinachorushwa na… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Nusu ya wanafunzi darasa la saba hawawezi Kiingereza cha darasa la pili

>Asilimia 24 ya wanafunzi wa darasa la saba nchini hawawezi kusoma hadithi rahisi iliyoandikwa kwa lugha ya Kiswahili kwa ajili ya wanafunzi wa darasa la pili ambapo asilimia 50 ya wanafunzi hao, hawawezi kusoma hadithi ya Kiingereza ya darasa la pili.

 

10 years ago

Mtanzania

January: Nikishindwa urais CCM narudi jimboni

makambaNa Mwandishi Wetu, Lushoto
NAIBU Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, amesema kuwa akishindwa katika mchakato wa kura za maoni za kusaka urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), atarudi jimboni kuendelea kuwatumikia wapiga kura wake.
Kutokana na hali hiyo January ambaye ni Mbunge wa Bumbuli, amewataka wananchi wake kuwapuuza watu wanaopita na kudai kuwa wanataka ubunge kwa kuwa yeye anatajwa katika kinyang’anyoro cha urais ndani ya CCM.
Kauli hiyo aliitoa juzi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Irene Paul na Mzee Chilo ndani ya uzinduzi wa “Narudi Bongo”

4K0A9209

Mwigizaji Mkuu wa Filamu hiyo Ernest Rwandalla akiwa na wadau waliojitokeza kwenye uzinduzi.

4K0A9278

Akiwa na baadhi ya wasanii waliojitokeza.

4K0A9341

Mzee Chilo akiwa na mwigizaji Mkuu wa filamu hiyo.

4K0A9345

Irene Paul nae alikuwapo pia kushuhudia uzinduzi huo.

4K0A9365

Ilikuwa ni siku ya furaha.

4K0A9291

Akihojiwa na waandishi wa habari.

4K0A9388

Na Mwandishi Wetu

FILAMU Going Bongo imezinduliwa rasmi na kuhudhuriwa na mamia ya wadau wa filamu nchini, kwenye hafla iliyofanyika eneo la Bahari Zoo.

Akizungumza na waandishi wa...

 

10 years ago

Bongo5

Jay Moe: Narudi kitofauti, msishangae mkinisikia kwenye beat kama za akina ASAP Rocky au French Montana

Jay Moe anarudi tena. Hata hivyo ameonya kuwa mashabiki wake wa kitambo wasishtuke sana kumsikia akirap tofauti na walivyomzoea. Akiongea kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, hitmaker huyo wa ‘Kama Unataka Demu’, amedai kuwa baada ya kukaa kimya kwa miaka miwili ambapo alikuwa akifanya mambo ya msingi zaidi kimaisha, hivi karibuni anarejea tena […]

 

10 years ago

GPL

DENTI AKUTWA NA HIRIZI DARASANI

Stori: Na Dustan Shekidele, MorogoroM
MTOTO  mmoja wa miaka 9 (jina linahifadhiwa)  ambaye ni mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Manda iliyopo Kijiji cha Mtimbira, wilayani Ulanga, Morogoro wiki iliyopita usiku wa manane anadaiwa kukutwa darasani akiwa na hirizi kubwa kiunoni. Mwananchi akionesha Hirizi iliyofungwa kiunoni mwa mtoto wa miaka tisa (jina linahifadhiwa).
Tukio hilo lilitokea katika moja...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Viongozi wa mitaa kuingizwa darasani


NA MARIA AROPE, DODOMA
KUFUATIA viongozi wa ngazi ya chini kutopewa semina elekezi na miongozo kabla ya kuanza, kazi shirika lisilo la serikali mkoani Dodoma la NGONEDO linatarajia kutoa mafunzo kwa viongozi wa serikali za vijiji 1,580.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa, Mratibu wa shirika hilo, Edward Mbogo, alisema viongozi hao watatoka katika vijiji 42 ambapo wananchi 350,000 watanufaika.
Alisema awamu ya kwanza ya mradi huo itaanza kutekelezwa katika wilaya za Kongwa na...

 

10 years ago

Mtanzania

Radi yaua wanafunzi sita darasani

NA EDITHA KARLO, KIGOMA

WATU nane wakiwamo wanafunzi sita wa Shule ya Msingi Kibirizi mkoani Kigoma, wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi.
Pamoja na vifo hivyo, wanafunzi wengine 15 wa shule hiyo walijeruhiwa vibaya.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa wa Kigoma, Maweni, Dk. Fadhili Kabaya alithibitisha kupokea miili ya marehemu pamoja na majeruhi.
Alisema tukio hilo, lilitokea jana saa 6 mchana wakati mvua kubwa iliyoambatana na radi ikinyesha.
“Tumepokea majeruhi 15 wa tukio hili,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Natamani somo la kujiuzulu lifundishwe darasani

TAIFA hivi sasa lipo katika majadiliano makali ya uteuzi wa Baraza la Mawaziri, wapo wanaona Rais Jakaya Kikwete hakufanya kilicho sahihi kwa kuwarejesha wale waliokuwa wakilalamikiwa kwa utendaji dhaifu, lakini...

 

9 years ago

Bongo5

Pasha arudi darasani kujifunza muziki

12345887_1533819423602873_2031511668_n

Muimbaji wa R&B, Pasha ameamua kurudi shule ili kujifunza jinsi ya kutumia vifaa vya muziki.

12345887_1533819423602873_2031511668_n

Muimbaji huyo aliyeachia video ya wimbo ‘Mahaba Niue’ miezi michache iliyopita, ameambia Bongo5 kuwa ameamua kuingia darasani ili kutanua zaidi wigo wa muziki wake.

“Kuna center moja ipo huku Tabata ndio sehemu ambao nasoma. Najifunza kutumia vifaa vyote vya muziki kwa muda wa miezi sita,” amesema.

“Ni mafunzo ambayo nina imani yataniweka vizuri kimuziki kwa sababu sasa hivi muziki umebadilika kama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani