Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Natamani somo la kujiuzulu lifundishwe darasani

TAIFA hivi sasa lipo katika majadiliano makali ya uteuzi wa Baraza la Mawaziri, wapo wanaona Rais Jakaya Kikwete hakufanya kilicho sahihi kwa kuwarejesha wale waliokuwa wakilalamikiwa kwa utendaji dhaifu, lakini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

DARASA: NARUDI DARASANI

Staa Shariff Sadick Ramadhan ‘Darasa’ (kulia) wakati akihojiwa na Mic Queen, Pamela Daffa ndani ya Global TV. Stori: ANDREW CARLOS
STAA wa Sikati Tamaa, Shariff Sadick Ramadhan ‘Darasa’ yupo mbioni kurudi darasani baada ya kufanya muziki muda mrefu. Darasa katika pozi. Akifunguka hivi juzikati katika mahojiano na Kipindi cha Mtu Kati kinachorushwa na… ...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Viongozi wa mitaa kuingizwa darasani


NA MARIA AROPE, DODOMA
KUFUATIA viongozi wa ngazi ya chini kutopewa semina elekezi na miongozo kabla ya kuanza, kazi shirika lisilo la serikali mkoani Dodoma la NGONEDO linatarajia kutoa mafunzo kwa viongozi wa serikali za vijiji 1,580.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa, Mratibu wa shirika hilo, Edward Mbogo, alisema viongozi hao watatoka katika vijiji 42 ambapo wananchi 350,000 watanufaika.
Alisema awamu ya kwanza ya mradi huo itaanza kutekelezwa katika wilaya za Kongwa na...

 

10 years ago

GPL

DENTI AKUTWA NA HIRIZI DARASANI

Stori: Na Dustan Shekidele, MorogoroM
MTOTO  mmoja wa miaka 9 (jina linahifadhiwa)  ambaye ni mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Manda iliyopo Kijiji cha Mtimbira, wilayani Ulanga, Morogoro wiki iliyopita usiku wa manane anadaiwa kukutwa darasani akiwa na hirizi kubwa kiunoni. Mwananchi akionesha Hirizi iliyofungwa kiunoni mwa mtoto wa miaka tisa (jina linahifadhiwa).
Tukio hilo lilitokea katika moja...

 

11 years ago

Habarileo

Shule taabani, walimu waishi darasani

SHULE ya Msingi Mwamashimba katika Kata ya Mwamalasa wilayani Kishapu Shinyanga, inakabiliwa na ukosefu wa vyoo, madawati na nyumba za walimu, hali inayosababisha baadhi ya walimu kuishi kwenye vyumba vya madarasa.

 

10 years ago

Mtanzania

Radi yaua wanafunzi sita darasani

NA EDITHA KARLO, KIGOMA

WATU nane wakiwamo wanafunzi sita wa Shule ya Msingi Kibirizi mkoani Kigoma, wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi.
Pamoja na vifo hivyo, wanafunzi wengine 15 wa shule hiyo walijeruhiwa vibaya.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa wa Kigoma, Maweni, Dk. Fadhili Kabaya alithibitisha kupokea miili ya marehemu pamoja na majeruhi.
Alisema tukio hilo, lilitokea jana saa 6 mchana wakati mvua kubwa iliyoambatana na radi ikinyesha.
“Tumepokea majeruhi 15 wa tukio hili,...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Wanafunzi St.Joseph wagoma kuingia darasani


NA SHAABAN MDOE,ARUSHA
ZAIDI ya wanafunzi 350 wa Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Joseph, tawi la Arusha, wamegoma kuingia madarasani kwa madai ya kufundishwa kwa mitalaa kutoka nchini India.
Mbali na hilo, wanafunzi hao ambao wanasomea ualimu, wanadai kufundishwa na walimu wenye fani ya uhandisi na kwamba huimbishwa nyimbo za darasa la kwanza, pili na tatu.
Kiongozi wa Chuo hicho, Bwigane Mwaipaja, alisema tokea mwanzo wa muhula wa masomo, walibaini kuwepo kwa mitaala tofauti katika chuo hicho.
Alisema...

 

9 years ago

Bongo5

Pasha arudi darasani kujifunza muziki

12345887_1533819423602873_2031511668_n

Muimbaji wa R&B, Pasha ameamua kurudi shule ili kujifunza jinsi ya kutumia vifaa vya muziki.

12345887_1533819423602873_2031511668_n

Muimbaji huyo aliyeachia video ya wimbo ‘Mahaba Niue’ miezi michache iliyopita, ameambia Bongo5 kuwa ameamua kuingia darasani ili kutanua zaidi wigo wa muziki wake.

“Kuna center moja ipo huku Tabata ndio sehemu ambao nasoma. Najifunza kutumia vifaa vyote vya muziki kwa muda wa miezi sita,” amesema.

“Ni mafunzo ambayo nina imani yataniweka vizuri kimuziki kwa sababu sasa hivi muziki umebadilika kama...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Maadili yanachangia kufaulu au kuanguka darasani

WIKI iliyopita Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), lilitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita ambayo yameonyesha ufaulu wa mwaka huu umeongezeka ukilinganisha na mwaka jana.

Kwa mujibu wa matokeo hayo, ufaulu umeongezeka kwa asilimia 0.61 yaani yametoka katika asilimia 98.26 mwaka jana hadi asilimia 98.87 mwaka huu.

Matokeo hayo pia yaonyesha kuwa wasichana wameongoza kwa ufaulu  kwa asilimia 98.56,  huku wavulana wamefaulu kwa asilimia 97.26.

Hili ni suala la kujivunia...

 

9 years ago

Mwananchi

Waliookolewa ajira za utotoni wafanya vizuri darasani

Miaka mitatu iliyopita ajira kwa watoto mkoani Geita katika migodi ya dhahabu ilikuwa ni jambo lililokithiri.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani