Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliofukiwa ardhini siku 41 waanza kuona

Na Paul Kayanda, Kahama

HALI za wachimbaji wadogo waliookolewa baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo kwa siku 41 katika machimbo ya Nyangarata, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, zinaanza kuimarika huku baadhi yao wakianza kuona.

Kwa mujibu wa taarifa za kitabibu zilizotolewa na Hospitali ya Wilaya ya Kahama, wachimbaji hao wameanza kuona ingawa kwa uoni hafifu, lakini kadiri ya siku zinavyokwenda afya zao zitaanza kuimarika.

Akizungumza jana na MTANZANIA, Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mpoto awatembelea waliofukiwa ardhini kwa siku 41 Kahama

11939499_921487764605111_371047303_n

Mrisho Mpoto amewatembelea wachimbaji watano kati ya sita walionusurika kifo baada ya kufukiwa na kifusi kwa siku 41 katika mgodi huko wilayani Kahama walikolazwa.

11939499_921487764605111_371047303_n

Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM leo, Mpoto alisema ameguswa na suala hiyo la kustaajabisha.

“Nilikuwa Shinyanga sasa nikaona kwa sababu hapa Kahama ni karibu ngoja niwatembelee, ni kama sehemu ya ibada. Katika safari ya maisha kila kitu kinawezekana, usipokuwa waliongea sentensi moja kwamba ‘maiti za kwetu madini...

 

11 years ago

BBCSwahili

Msako wa ndege waanza ardhini China

China imeanza juhudi za kuitafuta katika ardhi yake ndege ya Malaysia iliyotoweka mwishoni tarehe 8 mwezi Machi

 

9 years ago

Mtanzania

Wachimbaji waokolewa baada ya kufukiwa ardhini siku 41

Pg 1Pg 1BPg 1*Waliishi kwa kula mende, mizizi  

* Waligunduliwa na mchimbaji aliyekwenda kuiba mchanga wa madini

Na Waandishi Wetu, Kahama na Dar

WACHIMBAJI wadogo watano katika mgodi wa Nyangarata, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga,  wameokolewa baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo ardhini kwa siku 41.

Wakizungumza katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama ambako wamelazwa kwa matibabu jana, wachimbaji hao walisema waliishi siku zote hizo kwa kula wadudu kama mende na mizizi mbalimbali.

Kwa mujibu wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa waanza ziara ya siku 10 Bara

Wakati Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ukitarajiwa kuanza ziara ya siku 10 katika mikoa ya Tanzania Bara kesho, viongozi wa umoja huo wamemvaa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kwa kauli yake kuwa Katiba haina umuhimu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Misri waanza leo kwa siku mbili

Raia wa Misri watapiga kura siku mbili kumchagua rais mpya chini ya ulinzi mkali kuhakikisha mchakato wa upigaji kura.

 

9 years ago

Habarileo

Waliofukiwa mgodini Chunya waopolewa

KAZI ya kutafuta miili ya wachimbaji wadogo waliokuwa wamefukiwa na kifusi katika mgodi wa dhahabu mwishoni mwa wiki katika Kata ya Sagambi wilayani hapa, katika mkoa wa Mbeya imesitishwa rasmi baada ya kupatikana kwa mwili wa mchimbaji mwingine.

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa SADC Waanza jijini Harare

Na Mwandishi wa Wizaraya Mambo ya Nje.Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) wameanza kikao cha siku mbili jijini Harare, Zimbabwe leo kufanya matayarisho ya Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya hiyo, utakaofanyika hapo tarehe 29 Aprili, 2015.

Kikao cha Mawaziri, kinachoongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Zimbabwe, Mhe. Dkt. Simbarashe Mumbengegwi, kinatayarisha agenda ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi, ambao utajikita kwenye Mpango Mkakati wa Maendeleo ya...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Iddi na Ujumbe wake waanza ziara ya siku 10 nchini China

Mkuu wa Kijiji cha Maeneo huru ya uwekezaji katika Mji wa Chengmai aliyevaa shati jeupe Bwana Yang Si Tao akimpatia maelezo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif aliyepo kushoto yake wakati ujumbe wa Zanzibar ulipoangalia maeneo hayo ukiwa katika ziara ya siku 10 Jimboni Hainan. Kushoto ya Balozi ni Mkewe Mama Asha Suleiman Iddi, Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Nje Zanzibar Balozi Silima Kombo Haji,Balozi wa Tanzania Nchini China Bwana Abdullrahman Shimbo na Mkewe Mama...

 

11 years ago

Michuzi

HALMASHAURI NA WADAU WA JIJI LA MWANZA WAANZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA KUADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA JUNI 16

Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi inayoundwa na wadau wa watoto jijini Mwanza Bw. Godfrey Salumu akifafanua utaratibu mzima wa utendaji kazi wa kamati ndogo ndogo zilizoundwa kwa wajumbe (hawapo pichani) ili kuweza kufanikisha maadhimisho hayo. Afisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya jiji la Mwanza Bi Eluminata Mwita akisikiliza jambo kwa makini toka kwa wajumbe (hawapo pichani). Mkurugenzi wa Shirika la Kutetea Haki za Wanawake na Wasichana, KIVULINI Bw Ramadhani Masele (kushoto)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani