Mpoto awatembelea waliofukiwa ardhini kwa siku 41 Kahama
Mrisho Mpoto amewatembelea wachimbaji watano kati ya sita walionusurika kifo baada ya kufukiwa na kifusi kwa siku 41 katika mgodi huko wilayani Kahama walikolazwa.
Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM leo, Mpoto alisema ameguswa na suala hiyo la kustaajabisha.
“Nilikuwa Shinyanga sasa nikaona kwa sababu hapa Kahama ni karibu ngoja niwatembelee, ni kama sehemu ya ibada. Katika safari ya maisha kila kitu kinawezekana, usipokuwa waliongea sentensi moja kwamba ‘maiti za kwetu madini...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania18 Nov
Waliofukiwa ardhini siku 41 waanza kuona
Na Paul Kayanda, Kahama
HALI za wachimbaji wadogo waliookolewa baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo kwa siku 41 katika machimbo ya Nyangarata, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, zinaanza kuimarika huku baadhi yao wakianza kuona.
Kwa mujibu wa taarifa za kitabibu zilizotolewa na Hospitali ya Wilaya ya Kahama, wachimbaji hao wameanza kuona ingawa kwa uoni hafifu, lakini kadiri ya siku zinavyokwenda afya zao zitaanza kuimarika.
Akizungumza jana na MTANZANIA, Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya...
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Wachimbaji waokolewa baada ya kufukiwa ardhini siku 41
*Waliishi kwa kula mende, mizizi
* Waligunduliwa na mchimbaji aliyekwenda kuiba mchanga wa madini
Na Waandishi Wetu, Kahama na Dar
WACHIMBAJI wadogo watano katika mgodi wa Nyangarata, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, wameokolewa baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo ardhini kwa siku 41.
Wakizungumza katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama ambako wamelazwa kwa matibabu jana, wachimbaji hao walisema waliishi siku zote hizo kwa kula wadudu kama mende na mizizi mbalimbali.
Kwa mujibu wa...
9 years ago
MichuziKUBENEA AWATEMBELEA WANANCHI WAKE KUWASHUKURU KWA KUMCHAGUA NA KUJUA CHANGAMOTO ZAO
9 years ago
Habarileo01 Jan
Waliofukiwa mgodini Chunya waopolewa
KAZI ya kutafuta miili ya wachimbaji wadogo waliokuwa wamefukiwa na kifusi katika mgodi wa dhahabu mwishoni mwa wiki katika Kata ya Sagambi wilayani hapa, katika mkoa wa Mbeya imesitishwa rasmi baada ya kupatikana kwa mwili wa mchimbaji mwingine.
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Taharuki yaibuka machimbo ya Nyangalata, waliofukiwa wadaiwa kuwa hai
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IQLOWlbEV34/U2UZ7aGC9mI/AAAAAAAFfNA/8YxTlr5mOcM/s72-c/unnamed+(47).jpg)
WIMBO MPYA WA MRISHO MPOTO ALIOIMBA KWA AJILI YA WANAHABARI
9 years ago
Bongo508 Dec
Mrisho Mpoto amliza Vanessa Mdee…lakini si kwa ubaya!
![mpoto n vee](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/mpoto-n-vee-300x194.jpg)
Sio kila siku unaweza kuamka na furaha na kila kitu kikawa sawa. Kuna nyakati ambazo mtu unaweza kujikuta hauko vizuri kutokana na baadhi ya mambo yako kukwama.
Katika hali kama hii binadamu huhitaji kitu kidogo tu kama maneno ya kutia moyo kutoka kwa mtu unayemuheshimu, ambayo yanaweza kuirudisha furaha iliyokuwa imepotea kwa muda.
Ujumbe wa pongezi kwa muimbaji wa ‘Never Ever’ Vanessa Mdee umegeuka kuwa faraja kwa Vee Money ambaye kwa mujibu wa post yake ya Instagram siku ya leo Dec 8...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0DYdyWdOo99XH49s8gSxFq*6HpoXrmYEwVw97rgn2*1X7WAfMx*TGTgpfR7Ak8Mlwyq33kALkPspCCmZ-YVXKcE/Mrisho1.jpg?width=650)
MRISHO MPOTO ATAFUTA NAULI KWA KUPIGA DEBE KWENYE DALADALA - 4
9 years ago
BBCSwahili17 Sep
Msumbiji yamaliza mabomu ya ardhini