Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliofukiwa mgodini Chunya waopolewa

KAZI ya kutafuta miili ya wachimbaji wadogo waliokuwa wamefukiwa na kifusi katika mgodi wa dhahabu mwishoni mwa wiki katika Kata ya Sagambi wilayani hapa, katika mkoa wa Mbeya imesitishwa rasmi baada ya kupatikana kwa mwili wa mchimbaji mwingine.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mwili wa mtahiniwa wa kidato cha nne aliyesombwa na mafuriko waopolewa

Miili ya watu wawili waliokufa maji baada ya kusombwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua zilizonyesha mwanzoni mwa wiki hii jijini Mwanza, ukiwamo wa mwanafunzi, imeopolewa kwenye mwalo wa Ziwa Victoria.

 

9 years ago

Mtanzania

Waliofukiwa ardhini siku 41 waanza kuona

Na Paul Kayanda, Kahama

HALI za wachimbaji wadogo waliookolewa baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo kwa siku 41 katika machimbo ya Nyangarata, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, zinaanza kuimarika huku baadhi yao wakianza kuona.

Kwa mujibu wa taarifa za kitabibu zilizotolewa na Hospitali ya Wilaya ya Kahama, wachimbaji hao wameanza kuona ingawa kwa uoni hafifu, lakini kadiri ya siku zinavyokwenda afya zao zitaanza kuimarika.

Akizungumza jana na MTANZANIA, Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya...

 

9 years ago

Bongo5

Mpoto awatembelea waliofukiwa ardhini kwa siku 41 Kahama

11939499_921487764605111_371047303_n

Mrisho Mpoto amewatembelea wachimbaji watano kati ya sita walionusurika kifo baada ya kufukiwa na kifusi kwa siku 41 katika mgodi huko wilayani Kahama walikolazwa.

11939499_921487764605111_371047303_n

Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM leo, Mpoto alisema ameguswa na suala hiyo la kustaajabisha.

“Nilikuwa Shinyanga sasa nikaona kwa sababu hapa Kahama ni karibu ngoja niwatembelee, ni kama sehemu ya ibada. Katika safari ya maisha kila kitu kinawezekana, usipokuwa waliongea sentensi moja kwamba ‘maiti za kwetu madini...

 

9 years ago

Mwananchi

Taharuki yaibuka machimbo ya Nyangalata, waliofukiwa wadaiwa kuwa hai

Wachimbaji wadogo wa madini katika machimbo ya Nyangalata wilayani Kahama, wameingiwa na hofu baada ya uvumi kwamba wenzao sita kati ya saba waliofukiwa na kifusi siku 42 zilizopita bado wapo hai.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bil 8/- kujenga uwanja Chunya

KAMPUNI ya saruji mkoani hapa maarufu kama Mbeya Cement, imetoa mifuko 1,000 ya saruji sawa na tani 50  kusaidia kuendeleza ujenzi wa uwanja wa kisasa wa michezo wilayani Chunya. Akizungumza...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WA MAKONGOLOSI CHUNYA WALILIA BARABARA

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mbunifu Majengo, Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa wahandisi wanaosimamia mradi wa ujenzi wa barabara ya Chunya- Makongolosi (Km 39) kutoka kampuni ya SMEC alipokuwa akikagua daraja la mto Lupa, mkoani Mbeya. Mhandisi Mshauri kutoka Kampuni ya SMEC, Daniel Goshima, akimuonesha Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mbunifu Majengo, Elius Mwakalinga (Wanne kulia), nguzo za...

 

10 years ago

Michuzi

Mgodi wa Dhahabu Chunya wahesabiwa siku

Na Victor Mariki – Ofisi ya Makamu wa Rais.
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira na Wataalam wa Mazingira wameagizwa kutoa elimu ya mazingira kwa wawekezaji wa Mgodi wa Dhahabu wa Sunshine uliyopo Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya .Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Injinia Binilith Mahenge jana alipotembelea machimbo ya Mgodi huo nakubaini kuwa unaendeshwa bila kuzingatia Kanuni za Mazingira.
Katika ziara hiyo Mh. Mahenge alibaini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chunya yapata maji kwa asilimia 67

SERIKALI imesema upatikanaji wa maji katika mji wa Chunya ni asilimia 67.7. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey Mwanri, alitoa kauli...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chunya wapata maji chini ya kiwango

UPATIKANAJI wa maji katika mji wa Chunya ni asilimia 67.7 chini ya lengo la maji la asilimia 95 kwa mijini. Takwimu hizo zilitolewa bungeni na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani