Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyabiashara wazikubali EFDs

JUMUIYA ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT), imekubali kutumia mashine za elektroniki (EFDs), huku wakiomba serikali kurekebisha changamoto ambazo ni muhimu. Akizungumza wakati wa kufunga mkutano wa siku tatu wa viongozi wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YAMALIZA MGOGORO NA WAFANYABIASHARA JUU YA MATUMIZI YA EFDs

Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya Salum akiwa katika picha ya pamoja wafanyabiashara alipotoa Taarifa ya muafaka uliofikiwa kati ya wafanyabiashara na serikali juu ya Matumizi ya Mashine za kielektroniki (EFDs) leo Jijini Dar es Salaam, Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabishara Bw. Johnson Minja na Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mzee Benard Mchovu (Picha na Regnihaldah Mpete-TRA)
Na Anitha Jonas – MAELEZO.
Serikali yafikia muafaka...

 

11 years ago

Michuzi

TRA YAWATAKA WAFANYABIASHARA KUFUNGUA MADUKA YAO NA KUACHA KUENDELEA KUGOMEA MASHINE ZA EFDS

DSCF2699Kaimu kamishna Mkuu wa wa Mamlaka ya mapato Tanzania Rished Bade akizungumza na vyombo vya habari jijini Arusha kuhusu mgomo wa wafanyabiashara hapa Nchini DSCF2695Waandishi wa habari wakiwa kazini DSCF2697Mkurugenzi wa huduma na elimu kwa walipa kodi Richard Kayombo DSCF2713Mr.Jangala ambaye ni Ajenti wa usafirishaji wa magari ya mikoani akilalamikia hali ya wafanyabiashara kugoma ambapo anadai kuwa imemuathiri kwa kiasi kikubwa kukosa abiria wanaokuja kununua bidhaa za jumla DSCF2700 DSCF2706Shughuli mbalimbali zilidorora hata...

 

11 years ago

IPPmedia

JK: No going back on use of EFDs


IPPmedia
JK: No going back on use of EFDs
IPPmedia
President Jakaya Kikwete has said the government will not retreat on the use the Electronic Fiscal Devices (EFDs), directing Tanzania Revenue Authority (TRA) management to hold discussions with traders and find solutions to the issues they have raised.
Kikwete 'stops' hotels in NgorongoroDaily News

all 2

 

11 years ago

TheCitizen

We aren’t against EFDs, say traders

The electronic fiscal devices (EFDs) saga has taken a new twist, with traders saying corruption and a poor tax regime are the major factors behind their reluctance to fully adopt the use of the tax machines.

 

10 years ago

Mtanzania

Mashine za EFDs kujadiliwa kimataifa

Mashine za EFD

Mashine za EFD

RUTH MNKENI NA RAPHAEL NOLESCUS (TUDARCO), DAR ES SALAAM

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema Mkutano Mkuu wa Kodi utasaidia kujadili changamoto za mashine za kielektroniki za EFDs na jinsi ya kuzitatua.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kamishna Mkuu wa TRA, Rished Bade, alisema mkutano huo unaojumuisha nchi mbalimbali una lengo la kujadili namna ya kuimarisha taasisi za kodi nchi za Afrika.

Alisema mashine za EFDs zipo kwa mujibu wa sheria,...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali kupambana na wasiotumia EFDs

IMEELEZWA kuwa serikali haitamfumbia macho mfanyabiashara ambaye anakwepa kununua mashine za kutoa risiti za kielektroniki (EFDs) ili kutunza kumbukumbu za mauzo. Mashine hizo pia zinasaidia namna ya kupata mapato yaliyo sahihi kwa wale wanaolipa bila kuumia na kurahisisha kufanya makadirio ya kodi kwa vile taarifa zote atakuwa nazo katika mashine yake.

 

11 years ago

TheCitizen

Traders 'not against EFDs', say they just don't want to pay bribes

The electronic fiscal devices (EFDs) saga has taken a new twist, with traders saying corruption and a poor tax regime are the major factors behind their reluctance to fully adopt the use of the tax machines.

 

11 years ago

Habarileo

TRA yampongeza Kikwete kuhusu EFDs

Rais Jakaya Kikwete akipewa maelezo na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Rished Bade (kulia) kuhusu shughuli zinazofanywa na mamlaka hiyo wakati Rais alipotembelea banda la TRA lililopo kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere, katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya 38 yanayoendelea kwenye viwanja hivyo, Dar es Salaam jana. (Picha na Yusuf Badi).MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imemshukuru Rais Jakaya Kikwete kwa kuwasaidia kuhamasisha matumizi ya mashine za risiti za kielektroniki (EFDs) za mamlaka hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mgomo kila kona kuzipinga EFDs

Sakata la matumizi ya Mashine za Elektroniki za Kutolea Risiti (EFD), limechukua sura mpya baada ya wafanyabiashara mikoa mbalimbali kuja juu wakisema matumizi yake yanalenga kuwaangamiza katika biashara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani