JK: No going back on use of EFDs
IPPmedia
JK: No going back on use of EFDs
IPPmedia
President Jakaya Kikwete has said the government will not retreat on the use the Electronic Fiscal Devices (EFDs), directing Tanzania Revenue Authority (TRA) management to hold discussions with traders and find solutions to the issues they have raised.
Kikwete 'stops' hotels in NgorongoroDaily News
all 2
IPPmedia
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen10 Jun
BRAZIL 2014: Guess who’s back, back again? Ronnie’s back, tell a friend
11 years ago
TheCitizen13 Feb
We aren’t against EFDs, say traders
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Wafanyabiashara wazikubali EFDs
JUMUIYA ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT), imekubali kutumia mashine za elektroniki (EFDs), huku wakiomba serikali kurekebisha changamoto ambazo ni muhimu. Akizungumza wakati wa kufunga mkutano wa siku tatu wa viongozi wa...
10 years ago
AllAfrica.Com04 May
Back to Back, Hashim Mbita and Basil Davidson On Liberation Struggle
AllAfrica.com
THE death of Brigadier General Hashim Mbita early this week has robbed us of a true son of the soil. His death coincided with the Union of Tanganyika and Zanzibar celebrations; normally such coincidences signify the importance of the deceased and in this ...
Zuma sends condolences to Tanzania following Mbita's deathThe New Age Online
all 2
10 years ago
Mtanzania12 Sep
Mashine za EFDs kujadiliwa kimataifa
![Mashine za EFD](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/EFD.jpg)
Mashine za EFD
RUTH MNKENI NA RAPHAEL NOLESCUS (TUDARCO), DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema Mkutano Mkuu wa Kodi utasaidia kujadili changamoto za mashine za kielektroniki za EFDs na jinsi ya kuzitatua.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kamishna Mkuu wa TRA, Rished Bade, alisema mkutano huo unaojumuisha nchi mbalimbali una lengo la kujadili namna ya kuimarisha taasisi za kodi nchi za Afrika.
Alisema mashine za EFDs zipo kwa mujibu wa sheria,...
10 years ago
Habarileo06 Aug
Serikali kupambana na wasiotumia EFDs
IMEELEZWA kuwa serikali haitamfumbia macho mfanyabiashara ambaye anakwepa kununua mashine za kutoa risiti za kielektroniki (EFDs) ili kutunza kumbukumbu za mauzo. Mashine hizo pia zinasaidia namna ya kupata mapato yaliyo sahihi kwa wale wanaolipa bila kuumia na kurahisisha kufanya makadirio ya kodi kwa vile taarifa zote atakuwa nazo katika mashine yake.
9 years ago
Bongo510 Nov
50 Cent amtania Meek Mill kwa kutumia mashairi ya ngoma ya Drake ‘Back To Back’
![50-cent-southpaw-ny-premiere-2015-billboard-650](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/50-cent-southpaw-ny-premiere-2015-billboard-650-300x194.jpg)
50 Cent amemtania Meek Mill wakati wa show nchini Sweden wiki hii kwa mujibu wa video iliyowekwa kwenye Twitter na DJ Akademiks.
Kwenye video hiyo 50 Cent aliisifia diss Drake kwa Meek Mill.
50 Cent was in Sweden last night laughing at Meek on Stage … Damn. pic.twitter.com/JBq49iNyoQ
— DJ Akademiks (@IamAkademiks) November 9, 2015
“’That ‘Back To Back’ shit is fire,” 50 Cent anasema kwenye kipande hicho cha video.
Rapper huyo anasikika kwenye video hiyo akirudia mashairi ya wimbo huo...
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Mgomo kila kona kuzipinga EFDs
11 years ago
TheCitizen13 Feb
Traders 'not against EFDs', say they just don't want to pay bribes