We aren’t against EFDs, say traders
The electronic fiscal devices (EFDs) saga has taken a new twist, with traders saying corruption and a poor tax regime are the major factors behind their reluctance to fully adopt the use of the tax machines.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen13 Feb
Traders 'not against EFDs', say they just don't want to pay bribes
11 years ago
TheCitizen10 Apr
Traders not ready for EFDs as strike enters second day
10 years ago
TheCitizen09 Apr
Rent out EFDs to ‘ease’ TRA-traders relations
11 years ago
IPPmedia23 Apr
JK: No going back on use of EFDs
IPPmedia
IPPmedia
President Jakaya Kikwete has said the government will not retreat on the use the Electronic Fiscal Devices (EFDs), directing Tanzania Revenue Authority (TRA) management to hold discussions with traders and find solutions to the issues they have raised.
Kikwete 'stops' hotels in NgorongoroDaily News
all 2
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Wafanyabiashara wazikubali EFDs
JUMUIYA ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT), imekubali kutumia mashine za elektroniki (EFDs), huku wakiomba serikali kurekebisha changamoto ambazo ni muhimu. Akizungumza wakati wa kufunga mkutano wa siku tatu wa viongozi wa...
10 years ago
Mtanzania12 Sep
Mashine za EFDs kujadiliwa kimataifa
![Mashine za EFD](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/EFD.jpg)
Mashine za EFD
RUTH MNKENI NA RAPHAEL NOLESCUS (TUDARCO), DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema Mkutano Mkuu wa Kodi utasaidia kujadili changamoto za mashine za kielektroniki za EFDs na jinsi ya kuzitatua.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kamishna Mkuu wa TRA, Rished Bade, alisema mkutano huo unaojumuisha nchi mbalimbali una lengo la kujadili namna ya kuimarisha taasisi za kodi nchi za Afrika.
Alisema mashine za EFDs zipo kwa mujibu wa sheria,...
10 years ago
Habarileo06 Aug
Serikali kupambana na wasiotumia EFDs
IMEELEZWA kuwa serikali haitamfumbia macho mfanyabiashara ambaye anakwepa kununua mashine za kutoa risiti za kielektroniki (EFDs) ili kutunza kumbukumbu za mauzo. Mashine hizo pia zinasaidia namna ya kupata mapato yaliyo sahihi kwa wale wanaolipa bila kuumia na kurahisisha kufanya makadirio ya kodi kwa vile taarifa zote atakuwa nazo katika mashine yake.
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Mgomo kila kona kuzipinga EFDs
11 years ago
Habarileo07 Jul
TRA yampongeza Kikwete kuhusu EFDs
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imemshukuru Rais Jakaya Kikwete kwa kuwasaidia kuhamasisha matumizi ya mashine za risiti za kielektroniki (EFDs) za mamlaka hiyo.