Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


50 Cent amtania Meek Mill kwa kutumia mashairi ya ngoma ya Drake ‘Back To Back’

50-cent-southpaw-ny-premiere-2015-billboard-650

50 Cent amemtania Meek Mill wakati wa show nchini Sweden wiki hii kwa mujibu wa video iliyowekwa kwenye Twitter na DJ Akademiks.

50-cent-southpaw-ny-premiere-2015-billboard-650

Kwenye video hiyo 50 Cent aliisifia diss Drake kwa Meek Mill.

50 Cent was in Sweden last night laughing at Meek on Stage … Damn. pic.twitter.com/JBq49iNyoQ

— DJ Akademiks (@IamAkademiks) November 9, 2015

“’That ‘Back To Back’ shit is fire,” 50 Cent anasema kwenye kipande hicho cha video.

Rapper huyo anasikika kwenye video hiyo akirudia mashairi ya wimbo huo...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Meek Mill amdiss tena Drake kwenye ngoma hii

Meek-Mill

Beef ya Meek Mill na Drake haioneshi dalili ya kuisha mapema.

Katika muda ambao wengi tulianza kusahau, Meek anarudi tena na nyundo kwa rapper huyo wa Canada itakayokuwepo kwenye mixtape yake ya Dreamchasers 4.

Video fupi ya Meek Mill inayomuonesha akichana mistari michache ya wimbo huo imesambaa mtandaoni.

“When I was saying shit about the rhymes you ain’t wrote / I can’t wait ’til we run in ya / I’ma put a gun in ya,” rapper huyo wa Philadelphia anarap kwenye video hiyo.

Katikati ya...

 

10 years ago

GPL

MEEK MILL NA DRAKE WAMALIZA BIFU LAO RASMI

New York, Marekani WAKALI wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Robert Williams ‘Meek Mill’ na Aubrey Graham ‘Drake’ waliokuwa kwenye bifu kali kiasi cha kupigana vijembe kwenye mashairi, mitandao ya kijamii, vyombo vya habari na kwenye matamasha yao limekwisha rasmi. Wakali wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Robert Williams ‘Meek Mill’ na Aubrey Graham ‘Drake’ wakishikana...

 

10 years ago

Africanjam.Com

LISTEN: WANNA KNOW .. MEEK MILL'S RESPONDS TO DRAKE WITH A DISS TRACK,

Over a week after Meek Mill first called out Drake for allegedly having a ghostwriter, the Philly rapper has responded with his own diss record, "Wanna Know".
The track follows two records from Drake — "Charged Up" and "Back to Back Freestyle" — that put Meek's back against the wall. Everyone expected a response from Meek Mill earlier this week on Hot 97 DJ Funkmaster Flex's show that never transpired. Meek Mill and his team began dropping hints this afternoon that the track would finally be...

 

10 years ago

Bongo5

Nicki Minaj adai anaichukua beef ya Meek Mill na Drake

Nicki Minaj amekava jarida la The New York Times na kuzungumzia mada kibao ikiwemo beef katika ya boyfriend wake, Meek Mill na msanii mwenzake wa Young Money, Drake. Nicki anadai kuwa hapendi kuona beef hiyo ikiendelea. “Wote ni wanaume, wanaume waliokua. Ni kati yao,” alisema. “Ninaichukia. Hainifanyi nijisikie vizuri. Hauwezi kamwe kutaka kuchagua upande kati […]

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Guess who’s back, back again? Ronnie’s back, tell a friend

The Real Madrid ace returned to training on Saturday with Paulo Bento’s side, who have failed to sparkle in their captain’s absence.

 

11 years ago

TheCitizen

Floyd Mayweather fires back at 50 Cent over jibe

Unbeaten Floyd Mayweather fired back Wednesday at rap music star 50 Cent over his video taunt about the boxer’s reading skills, as a title rematch against Marcos Maidana looms.

 

10 years ago

Bongo5

Drake azungumzia tetesi za kuandikiwa mashairi kwa mara ya kwanza

Drake ameamua kuvunja ukimya wake kwa kufanya mahojiano ya kwanza katika kipindi cha miaka miwili iliyopita. Rapper huyo amekava jarida la The Fader toleo la 100. Kwenye mahojiano hayo, Drake amezungumzia tetesi za kuandikiwa maishari, beef yake na Meek Mill na mengine. Kuhusu kuandikiwa mashairi alisema: Nahitaji wakati mwingine, watu kuchochea wazo ili niendelee nalo. […]

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Back to Back, Hashim Mbita and Basil Davidson On Liberation Struggle


Back to Back, Hashim Mbita and Basil Davidson On Liberation Struggle
AllAfrica.com
THE death of Brigadier General Hashim Mbita early this week has robbed us of a true son of the soil. His death coincided with the Union of Tanganyika and Zanzibar celebrations; normally such coincidences signify the importance of the deceased and in this ...
Zuma sends condolences to Tanzania following Mbita's deathThe New Age Online

all 2

 

11 years ago

Michuzi

Ngoma azipendazo ankal - back by popular demand


Narudi katika safu hii kwa ngoma ya "Kuch Kuch Hota Hai"
Na Sultani Kipingo

Kuch Kuch Hota Hai  (tafsiri yake “kuna vitu hutokea”), ambayo pia ilijulikana kama KKHH, ni filamu ya kuchekesha ya Kihindi iliyotoka India na Uingereza Oktoba 16, 1998. Mwandishi na mwongozaji wake alikuwa Karan Johar na wachezaji wake walikuwa Shahrukh Khan na Kajol, ikiwa ni filamu yao ya nne pamoja. Ilipigwa India, Mauritius na Scotland, ikiwa ni mara ya kwanza kwa Karan Johar kuongoza filamu, akiwa na lengo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani