Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Drake azungumzia tetesi za kuandikiwa mashairi kwa mara ya kwanza

Drake ameamua kuvunja ukimya wake kwa kufanya mahojiano ya kwanza katika kipindi cha miaka miwili iliyopita. Rapper huyo amekava jarida la The Fader toleo la 100. Kwenye mahojiano hayo, Drake amezungumzia tetesi za kuandikiwa maishari, beef yake na Meek Mill na mengine. Kuhusu kuandikiwa mashairi alisema: Nahitaji wakati mwingine, watu kuchochea wazo ili niendelee nalo. […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

50 Cent amtania Meek Mill kwa kutumia mashairi ya ngoma ya Drake ‘Back To Back’

50-cent-southpaw-ny-premiere-2015-billboard-650

50 Cent amemtania Meek Mill wakati wa show nchini Sweden wiki hii kwa mujibu wa video iliyowekwa kwenye Twitter na DJ Akademiks.

50-cent-southpaw-ny-premiere-2015-billboard-650

Kwenye video hiyo 50 Cent aliisifia diss Drake kwa Meek Mill.

50 Cent was in Sweden last night laughing at Meek on Stage … Damn. pic.twitter.com/JBq49iNyoQ

— DJ Akademiks (@IamAkademiks) November 9, 2015

“’That ‘Back To Back’ shit is fire,” 50 Cent anasema kwenye kipande hicho cha video.

Rapper huyo anasikika kwenye video hiyo akirudia mashairi ya wimbo huo...

 

10 years ago

Jamtz.Com

BET HIP HOP AWARDS 2014 NOMINATIONS, DRAKE AONGOZA KWA KUA NOMINATED MARA 8 (ANGALIA LIST KAMILI)

 

BET HIP-HOP AWARDS NOMINEES

Best Hip-Hop Video
Drake – “Worst Behavior”
Future f/ Pharrell, Pusha T & Casino – “Move That Doh”
Iggy Azalea f/ Charli XCX – “Fancy”
J. Cole f/ TLC – “Crooked Smile”
Nicki Minaj – “Pills N Potions”
Wiz Khalifa – “We Dem Boyz”

Best Collabo, Duo or Group
Eminem f/ Rihanna – “The Monster”
Future f/ Pharrell, Pusha T & Casino – “Move That Doh”
Jay Z f/ Justin Timberlake – “Holy Grail”
ScHoolboy Q f/ BJ The Chicago Kid – “Studio”
YG f/ Jeezy & Rich Homie Quan – “My Hitta”

Best...

 

9 years ago

GPL

KWA MARA YA KWANZA TIFFAH LIVE!

Staa wa Bongo Fleva,  Nasibu Abdul ‘Diamond’ na mzazi mwenzake Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’ wakimtoa mtoto wao, Latiffah Nasibu 'Princes Tiffah'. Sherehe yake ya 40 usipime, Zari, Diamond waandika historia Na waandishi wetu YAMETIMIA! Baada ya kutoonekana sura kwa zaidi ya siku 40 tangu azaliwe, hatimaye mtoto wa mkali wao ndani ya Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Latifah...

 

9 years ago

Dewji Blog

DJ Kflip aachia mixtape nyingine kwa youtube isikilize kwa mara ya kwanza hapa

dj kflip

Breakfast mix is a radio show mixed by DJ K FLIP Every Monday to Friday 7am to 10am (EAT)… Download JEMBE FM APP on GOOGLE PLAYSTORE to listen worldwide.

Akizungumza na Gsengo Blog DJ huyo anayepiga mzigo ndani ya moja ya Hottest radio station inayo kuja kwa kasi toka pande za Rock City, amesema kuwa huo ni mwanzo wa mpango wake wa kuachia Mix Tape kila wiki kupitia Youtube na rasmi ameanza kufanya hivyo wiki hii (leo) yenye historia kwa taifa la Tanzania ambapo taifa linashuhudia...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete aweka historia nyingine: Asafiri kwa treni ya TAZARA kwa mara ya kwanza

c5

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipanda treni ya TAZARA kuelekea Kisaki Mkoani Morogoro akiwa katika ziara yake ya mkoa huo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Alhamisi, Agosti 21, 2014, ameweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.

Rais Kikwete,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kikongwe aona bahari kwa mara ya kwanza

Wiki kadhaa kabla ya kufika miaka 101, Ruby Holt ameona Bahari kwa mara ya kwanza.

 

11 years ago

GPL

KWA MARA YA KWANZA: WOLPER ANASWA LIVE!

Stori: shakoor jongo
KABANG! Baada ya kutoonekana katika pozi za kimahaba kwa muda mrefu, kwa mara ya kwanza, staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe ‘Gambe’ amenaswa ‘live’ na mwanaume anayedaiwa kuwa ni mume wa mtu, Risasi Jumamosi limesheheni. Jacqueline Wolper Massawe ‘Gambe’ amenaswa ‘live’ na mwanaume anayedaiwa kuwa ni mume wa mtu. Kwa muda mrefu Wolper...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kwa mara ya kwanza Hyatt Regency ya Hong Kong yatoa ofa ya smartphone kwa wageni wake

hyatt-regency-tsim-sha-tsui-1

Na Mwandishi Wetu

Kwa mara ya kwanza hoteli maarufu duniani ya Hyatt Regency ya Hong Kong imetoa simu aina ya smartphone bure kwa wageni wake waliopanga kwenye hoteli hiyo.

Hoteli hiyo ya Hyatt Regency pia ilitoa viburutisho mbalimbali kama vile chocolates na mvinyo wa bure pamoja na simu aina ya smartphone katika vyumba vyake vyote 381 ili jitihada za kuongeza uzoefu kwa wasafiri na watalii kutoka sehemu mbalimbali duniani.

hyatt-regency-tsim-sha-tsui-smartphone

Katika kuwapa smartphone wateja wake za bure ni katika kutoa...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Zari ndani ya Dar, athibitisha kwa mara ya kwanza kwa kauli yake kuwa mpenzi wa Diamond

Katika mitoko yako ya weekend hii usije kushtuka utakapokutana na couple fulani ya ‘Ameizing’ ya TZ+UG, sababu Zari Tlale a.k.a The Boss Lady yupo ndani ya jiji la Dar au kama anavyopaita mrembo huyo D-City. Kupitia Instagram mrembo huyo wa Uganda ambaye makazi yake yako Afrika Kusini amepost picha kadhaa akiwa na mpenzi wake Diamond […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani