KWA MARA YA KWANZA: WOLPER ANASWA LIVE!
![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRmph9LxthDCOKl-N1Ze8TlRfMTwQwgkyoP1IkDgKFlVArFdsi0aWYH74J4UhNuIkCqlyK4I8zpvqBoOMlUMLdjn/WOLPER.jpg)
Stori: shakoor jongo KABANG! Baada ya kutoonekana katika pozi za kimahaba kwa muda mrefu, kwa mara ya kwanza, staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe ‘Gambe’ amenaswa ‘live’ na mwanaume anayedaiwa kuwa ni mume wa mtu, Risasi Jumamosi limesheheni. Jacqueline Wolper Massawe ‘Gambe’ amenaswa ‘live’ na mwanaume anayedaiwa kuwa ni mume wa mtu. Kwa muda mrefu Wolper...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/TIFFAH-DIAMOND-4.jpg?width=650)
KWA MARA YA KWANZA TIFFAH LIVE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XnAxcylq3ii8vL1vH1cDEjmOzWjd2E3upIaX64EbtJ-4lv9jZNt5GYJDqhl1TXuUaUGxvVxCLATk6RmlzQc3mKR10vK46KHA/htyy54y45yuq5.jpg)
WOLPER ANASWA LIVE FREEMASON
10 years ago
MichuziYAMOTO BAND LIVE KWA MARA YA KWANZA KWENYE JIJI LA LONDON
Live with Full Band & Dancers...This is one show that's not to be Missed... Sponsored by @officialjestinageorgeblog @bongodeejays@zuriihouseofbeauty
10 years ago
Dewji Blog05 Feb
Yamoto Band kufanya Live Show kwa mara ya kwanza kwenye jiji la London
YAMOTO BAND COMFIRMED will performing all their major hits including NITAJUTA, NISEME, WAMBEA, NITAKUPWELEPWETA and many more @ The Royal Regency Banquet Hall, Sat 21 Feb 2015 From 8pm to 3:30am, there are limited VIP Tables available book yours now for ultimate VIP treatment or individual place your booking early to avoid disappointment. Table bookings please call 07405824696/ WhatsApp +44755730494
info@bongodeejays.com or jestinageorge@gmail.com
![](http://1.bp.blogspot.com/-o8NwUQF6m08/VNLBDAYZnFI/AAAAAAAC_VU/fxXVlhokWS0/s1600/the%2Broyal%2Bregency.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Kjjw6PwgaQI/VNKIoKVrEsI/AAAAAAAC_UI/10RTz4yVebo/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-02-04%2Bat%2B21.00.29.png)
YAMOTO BAND KUFANYA LIVE SHOW KWA MARA YA KWANZA JIJINI LONDON FEBRUARI 21, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Kjjw6PwgaQI/VNKIoKVrEsI/AAAAAAAC_UI/10RTz4yVebo/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-04%2Bat%2B21.00.29.png)
info@bongodeejays.com or jestinageorge@gmail.com
![](http://1.bp.blogspot.com/-o8NwUQF6m08/VNLBDAYZnFI/AAAAAAAC_VU/fxXVlhokWS0/s1600/the%2Broyal%2Bregency.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
YAMOTO Band Live kwa mara ya kwanza kwenye jiji la London { Made in East Africa }
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-Kjjw6PwgaQI/VNKIoKVrEsI/AAAAAAAC_UI/10RTz4yVebo/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-04%2Bat%2B21.00.29.png)
YAMOTO BAND KUFANYA LIVE SHOW KWA MARA YA KWANZA KWENYE JIJI LA LONDON
9 years ago
Dewji Blog31 Oct
DJ Kflip aachia mixtape nyingine kwa youtube isikilize kwa mara ya kwanza hapa
Breakfast mix is a radio show mixed by DJ K FLIP Every Monday to Friday 7am to 10am (EAT)… Download JEMBE FM APP on GOOGLE PLAYSTORE to listen worldwide.
Akizungumza na Gsengo Blog DJ huyo anayepiga mzigo ndani ya moja ya Hottest radio station inayo kuja kwa kasi toka pande za Rock City, amesema kuwa huo ni mwanzo wa mpango wake wa kuachia Mix Tape kila wiki kupitia Youtube na rasmi ameanza kufanya hivyo wiki hii (leo) yenye historia kwa taifa la Tanzania ambapo taifa linashuhudia...
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Rais Kikwete aweka historia nyingine: Asafiri kwa treni ya TAZARA kwa mara ya kwanza
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipanda treni ya TAZARA kuelekea Kisaki Mkoani Morogoro akiwa katika ziara yake ya mkoa huo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Alhamisi, Agosti 21, 2014, ameweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.
Rais Kikwete,...