Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WOLPER ANASWA LIVE FREEMASON

SHANI RAMADHAN NA CHANDE ABDALLAH Mshtuko! Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe ameibua maswali kwa mashuhuda walimuona ‘live’ akiingia kwenye hekalu la watu wa Jamii ya Siri (Secret Society) ya Freemasons yenye nguvu duniani inayohusishwa na imani za kishetani. Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe akiingia kwenye hekalu ilo. TUJIUNGE MTAA WA SOKOINE
Tukio hilo lililoibua kizaazaa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KWA MARA YA KWANZA: WOLPER ANASWA LIVE!

Stori: shakoor jongo
KABANG! Baada ya kutoonekana katika pozi za kimahaba kwa muda mrefu, kwa mara ya kwanza, staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe ‘Gambe’ amenaswa ‘live’ na mwanaume anayedaiwa kuwa ni mume wa mtu, Risasi Jumamosi limesheheni. Jacqueline Wolper Massawe ‘Gambe’ amenaswa ‘live’ na mwanaume anayedaiwa kuwa ni mume wa mtu. Kwa muda mrefu Wolper...

 

10 years ago

GPL

WOLPER AZUA KIZAAZAA FREEMASON

Mwandishi Wetu KATIKA toleo lililopita la gazeti hili, ukurasa wake wa pili kulikuwa na habari yenye kichwa; Wolper: Mimi ni Freemason kwa muda mrefu sasa. Soma zaidi hapa ====>bit.ly/1HyK2oY

 

10 years ago

GPL

SKENDO YA FREEMASON YAMGANDA WOLPER

Stori: Gladness Mallya na Musa Mateja
BAADA ya hivi karibuni kunaswa akiingia katika jengo lao, staa mwenye mvuto kunako gemu la filamu Bongo, Jacqueline Wolper amezidi kugandwa na skendo ya Jamii ya Siri (Secret Society) ya Freemason akidaiwa kuishi kwa masharti ya taasisi hiyo huku nyumba yake ikiwa imejaa vitu vinavyodaiwa kuwa vya ‘Ki-freemason’. Staa mwenye mvuto kunako gemu la filamu Bongo, Jacqueline...

 

9 years ago

GPL

DK. FADHILI ADAIWA KUMUINGIZA WOLPER FREEMASON

Mwandishi wetu DAKTARI wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dk. Fadhili Emily amedaiwa kuwa ndiye mshirika mkubwa aliyemshawishi mwigizaji wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper kujiunga na taasisi ya siri ya Freemason. Miezi kadhaa iliyopita, mwigizaji huyo aliwahi kunaswa katika jengo la Freemason lililopo Posta jijini Dar ambapo alipoulizwa kuwa anaabudu katika jengo hilo, alikataa na kudai kulikuwa...

 

10 years ago

GPL

WOLPER: MIMI NI FREEMASON KWA MUDA MREFU SASA!

Staa wa bongo movie Jacqueline Wolper Massawe ‘Twiga wa Jangwani’. UPO? Mtoto mzuri katika tasnia ya uigizaji Bongo, Jacqueline Wolper Massawe ‘Twiga wa Jangwani’ amesema haoni sababu ya kuukana uanachama wa taasisi ya Wajenzi Huru (Freemason) kwani ni dini kama zilivyo zingine na kama katiba inavyoelekeza, kila mtu anayo haki ya kujiunga na dini au taasisi yoyote ya kuabudu kulingana na matakwa ya imani...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper Anaswa na Kigogo Mpya!

Achilia mbali akina pedeshee Mangi, Dallas na Gee Modal, kigogo mpya wa staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper Massawe safari hii amenaswa laivu wakijiachia kwa raha zao, Risasi Jumamosi lina cha kushika mkononi.
Kwa mujibu wa chanzo cha gazeti la risasi la leo, kigogo huyo ni mtu mwenye fedha zake aitwaye Jimmy Mgaya ambaye ni Mbongo mfanyabiashara aishie nchini Afrika Kusini ‘Sauz’.

Chanzo hicho kilishusha data kuwa jamaa huyo ndiye aliyempangia Wolper nyumba ya kifahari iliyopo ushuani...

 

10 years ago

GPL

KIGOGO MPYA WA WOLPER ANASWA

Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe akiwa na Jimmy Mgaya anayedaiwa kuwa ni bwanake.
Mwandishi wetu
Achilia mbali akina pedeshee Mangi, Dallas na Gee Modal, kigogo mpya wa staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe safari hii amenaswa laivu wakijiachia kwa raha zao, Risasi Jumamosi lina cha kushika mkononi.
Kwa mujibu wa chanzo, kigogo huyo ni mtu mwenye fedha zake aitwaye Jimmy Mgaya ambaye ni...

 

10 years ago

GPL

AIBU! KIBOSILE ANASWA LIVE UFISADI WA VYANDARUA

Richard Bukos na Issa Mnally
Ufisadi! Kibosile mmoja aliyefahamika kwa jina la Mangi Pesa amekamatwa na polisi akiwa na shehena ya vyandarua vya serikali vya msaada ambavyo hugawiwa bure, akivitoa kwenye mifuko yake na ‘kuvipaki’ kwenye mifuko ya vyandarua vinavyouzwa. Tukio hilo la kushangaza lilijiri Jumamosi iliyopita kwenye ‘godauni’ la jamaa huyo lililopo katika nyumba moja iliyopo Sinza C jijini...

 

10 years ago

GPL

LIVE! MSANII WA BONGO FLEVA ANASWA NA MACHANGU

Stori: Muandishi Wetu
WAKATI wasanii wakitakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuenzi maadili mema kwa jamii ya Kitanzania, mambo yamekuwa kinyume, baada ya nyota wa muziki wa kizazi kipya, Ramadhan Shaban 'Wabibi' kukutwa live, akipatana bei na wanawake wanaojiuza katika eneo maarufu kwa machangudoa la Sinza Africasana jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita. Nyota wa muziki wa kizazi kipya, Ramadhan Shaban 'Wabibi'...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani