WOLPER AZUA KIZAAZAA FREEMASON
![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DQ7qZAeEmlrhYtm8z91Y6QJRZkPMYLoglH3W3ynPsZ8jjBzNrOOq0be5symOe-o9He7m5WplOykHNEML51J9sT1/wolper.gif?width=650)
Mwandishi Wetu KATIKA toleo lililopita la gazeti hili, ukurasa wake wa pili kulikuwa na habari yenye kichwa; Wolper: Mimi ni Freemason kwa muda mrefu sasa. Soma zaidi hapa ====>bit.ly/1HyK2oY
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyVuOup53NdzxQA7IMpZSUEYAtJaaYZd3y71yCnipk3RT51lwm2IDD*HLTyxARBc1tMTUxd5ivUKtGJX*yEbZBDh/diamond.jpg?width=650)
DIAMOND AZUA KIZAAZAA!
Stori: Richard Bukos aliyekuwa Kagera UNAZI! Kundi kubwa la vijana wa kike na kiume, mwanzoni mwa wiki iliyopita walizua kizaazaa baada ya kumgombea kumuona kwa karibu na kutaka kuzungumza na mkali wa muziki wa Kizazi Kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ mara baada ya kumaliza kutumbuiza katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli uliofanyika katika Viwanja vya Gymkhana mjini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEVoKx7*TPxQUFubTmmUVSdVcZMSpoHU8Y02B94bTaoMRNi89L7OfxnU1zSxgTqqvaU2O6wwDaDTRP3ANXPxXQJA/nisha.jpg)
NISHA AZUA TAHARUKI HEKALU LA FREEMASON
Stori: Richard Bukos
STAA wa sinema za Kibongo, Salma Jabu 'Nisha', Jumanne iliyopita alijikuta akizua taharuki kufuatia kuegesha gari lake nje ya Hekalu la Freemason lililopo nyuma ya Hyatt Regency Dar es Salaam The Kilimanjaro Hotel jijini Dar es Salaam. Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu 'Nisha'. Taharuki hiyo ilikuja pale Nisha alipoegesha gari lake eneo hilo na kushuka kisha wanafunzi na watu wengine kusitisha...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pauKaB96wETMAAdnMwF-hXW87yNwf7pPw8AeDPPfqXwL3szifq5TnsMuxcPq3LksCgiJeapp-saty9*NyLdbwljW6tPHCR-i/FrontIjumaa.jpg?width=650)
MAGUFULI AZUA KIZAAZAA MORO
Makarani na mahakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Morogoro wakifanya usafi katika ofisi za mahakama hiyo sanjari na kupanga mafaili vizuri. Dustan Shekidele, MORO HAPA kazi tu! Zile ziara za kushtukiza (bila taarifa) zinazofanywa na Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano za Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ zimezua kizaazaa mjini hapa, hususan katika Mahakama ya Mwanzo ya Morogoro. Karani akiwa amevalia kanga wakati...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1lp73GxRT8bjYRXMjl943f0JsgDB3kDPpZYH4-*Zk75vAfHnkUHPzuDE5bOUYgLVEewgJ6T*BOO513lCSFzE1nThW81koL5k/FRONT.gif?width=650)
ZARI AZUA KIZAAZAA MSIBANI
Dustan Shekidele, Morogoro
Kazi ipo! Mwandani wa staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari’ juzikati alizua kizaazaa kisa ujauzito alipohudhuria kwenye msiba wa aliyekuwa bosi wa Tip Top Connection, Abdul Taletale ‘Abdul Bonge’ aliyefariki dunia ghafla wikiendi iliyopita. Mwandani wa staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNXcnVqa-rsxNwnc-zFOT4nZ9cFkN2xSVkcoVBEODGEo2qLiwGktKLHtuZV2BDYgLEP2WFjVBV5cD1Y4Ua6y2aAs/wema.jpg)
WEMA AZUA KIZAAZAA CHINA
Na Mwandishi wetu
KUONESHA ameguswa, Beautiful Onyinye, Wema Sepetu ‘Madam’ alizua kizaazaa cha aina yake alipomtembelea mwanamitindo Jacqueline Fitizpatrick Cliff ‘Jack Patrick’ gerezani nchini China.
Tukio hilo lilitokea juzikati kwenye gereza lililopo Mji wa Macau ambapo Wema aliambatana na meneja wake, Martin Kadinda pamoja na shemeji yake, Petit Man. Beautiful Onyinye, Wema Sepetu...
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Mtoto anayedaiwa kugeuka nyoka azua kizaazaa Geita
Mtoto mchanga mwenye umri wa miezi minne amezua kizaazaa cha aina yake, baada ya kuwapo taarifa kwamba mara kadhaa umbo lake limekuwa likigeuka na kuwa nyoka na mwili wake ukiendelea kudhoofu kutokana na kukataa kunyonya maziwa ya mama yake.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Magufuli.jpg)
YALIYOMO KWENYE GAZETI LA IJUMAA: MAGUFULI AZUA KIZAAZAA MORO
Ziara zake za kushtukiza... Magufuli azua kizaazaa Moro -Kimenuka, Maafisa wa Mahakama wahenyeshwa -Kweli hapa kazi tu! -Unataka kufahamu tukio zima lilikuwaje? Ray C arekodiwa Video ya X -Mwenyewe akiri -Afunguka ya moyoni kuhusu tukio hilo -Unataka kujua ilikuwaje, video hiyo nani kamrekodi na imesambaaje? Mke amfanyia mwanaye umafia -Amfungia ndani kwa saa tano usiku -Atokomea -Majirani wamuokoa mtoto -Unataka kufahamu ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XnAxcylq3ii8vL1vH1cDEjmOzWjd2E3upIaX64EbtJ-4lv9jZNt5GYJDqhl1TXuUaUGxvVxCLATk6RmlzQc3mKR10vK46KHA/htyy54y45yuq5.jpg)
WOLPER ANASWA LIVE FREEMASON
SHANI RAMADHAN NA CHANDE ABDALLAH Mshtuko! Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe ameibua maswali kwa mashuhuda walimuona ‘live’ akiingia kwenye hekalu la watu wa Jamii ya Siri (Secret Society) ya Freemasons yenye nguvu duniani inayohusishwa na imani za kishetani. Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe akiingia kwenye hekalu ilo. TUJIUNGE MTAA WA SOKOINE
Tukio hilo lililoibua kizaazaa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jzk3m2BiKwwVo*UCMi4LSOONUJXzzbSGyd1Hl5rQ3IGpcJKcfi*OX24SQxNMVV6AxQON6788nV1Jk0a*HgoAYIqW/woloper.jpg)
SKENDO YA FREEMASON YAMGANDA WOLPER
Stori: Gladness Mallya na Musa Mateja
BAADA ya hivi karibuni kunaswa akiingia katika jengo lao, staa mwenye mvuto kunako gemu la filamu Bongo, Jacqueline Wolper amezidi kugandwa na skendo ya Jamii ya Siri (Secret Society) ya Freemason akidaiwa kuishi kwa masharti ya taasisi hiyo huku nyumba yake ikiwa imejaa vitu vinavyodaiwa kuwa vya ‘Ki-freemason’. Staa mwenye mvuto kunako gemu la filamu Bongo, Jacqueline...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania