Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND AZUA KIZAAZAA!

Stori: Richard Bukos aliyekuwa Kagera UNAZI! Kundi kubwa la vijana wa kike na kiume, mwanzoni mwa wiki iliyopita walizua kizaazaa baada ya kumgombea kumuona kwa karibu na kutaka kuzungumza na mkali wa muziki wa Kizazi Kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ mara baada ya kumaliza kutumbuiza katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli uliofanyika katika Viwanja vya Gymkhana mjini...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WEMA AZUA KIZAAZAA CHINA

Na Mwandishi wetu
KUONESHA ameguswa, Beautiful Onyinye, Wema Sepetu ‘Madam’ alizua kizaazaa cha aina yake alipomtembelea mwanamitindo Jacqueline Fitizpatrick Cliff ‘Jack Patrick’ gerezani nchini China.
Tukio hilo lilitokea juzikati kwenye gereza lililopo Mji wa Macau ambapo Wema aliambatana na meneja wake, Martin Kadinda pamoja na shemeji yake, Petit Man. Beautiful Onyinye, Wema Sepetu...

 

10 years ago

GPL

ZARI AZUA KIZAAZAA MSIBANI

Dustan Shekidele, Morogoro
Kazi ipo! Mwandani wa staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari’ juzikati alizua kizaazaa kisa ujauzito alipohudhuria kwenye msiba wa aliyekuwa bosi wa Tip Top Connection, Abdul Taletale ‘Abdul Bonge’ aliyefariki dunia ghafla wikiendi iliyopita. Mwandani wa staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond...

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI AZUA KIZAAZAA MORO

Makarani na mahakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Morogoro wakifanya usafi katika ofisi za mahakama hiyo sanjari na kupanga mafaili vizuri. Dustan Shekidele, MORO HAPA kazi tu! Zile ziara za kushtukiza (bila taarifa) zinazofanywa na Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano za Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ zimezua kizaazaa mjini hapa, hususan katika Mahakama ya Mwanzo ya Morogoro. Karani akiwa amevalia kanga wakati...

 

10 years ago

GPL

WOLPER AZUA KIZAAZAA FREEMASON

Mwandishi Wetu KATIKA toleo lililopita la gazeti hili, ukurasa wake wa pili kulikuwa na habari yenye kichwa; Wolper: Mimi ni Freemason kwa muda mrefu sasa. Soma zaidi hapa ====>bit.ly/1HyK2oY

 

10 years ago

Mwananchi

Mtoto anayedaiwa kugeuka nyoka azua kizaazaa Geita

Mtoto mchanga mwenye umri wa miezi minne amezua kizaazaa cha aina yake, baada ya kuwapo taarifa kwamba mara kadhaa umbo lake limekuwa likigeuka na kuwa nyoka na mwili wake ukiendelea kudhoofu kutokana na kukataa kunyonya maziwa ya mama yake.

 

9 years ago

GPL

YALIYOMO KWENYE GAZETI LA IJUMAA: MAGUFULI AZUA KIZAAZAA MORO

Ziara zake za kushtukiza... Magufuli azua kizaazaa Moro -Kimenuka, Maafisa wa Mahakama wahenyeshwa -Kweli hapa kazi tu! -Unataka kufahamu tukio zima lilikuwaje? Ray C arekodiwa Video ya X -Mwenyewe akiri -Afunguka ya moyoni kuhusu tukio hilo -Unataka kujua ilikuwaje, video hiyo nani kamrekodi na imesambaaje? Mke amfanyia mwanaye umafia -Amfungia ndani kwa saa tano usiku -Atokomea -Majirani wamuokoa mtoto -Unataka kufahamu ni...

 

11 years ago

CloudsFM

CHATU AZUA KIZAAZAA ARUSHA AINGIA KWENYE NYUMBA YA MTU AKUTWA AMEFUNGWA KITAMBAA CHEUPE

Wakazi wa eneo la Sakina mkoani Arusha siku ya jana walipatwa na mshtuko mkubwa baada ya kuona chatu akiwa anaingia ndani ya nyuma ya jirani yao huku akiwa amefungwa kitambaa kilichokuwa na maandishi mekundu yasiyoeleweka mkiani mwake.Hiki ndicho kitambaa alichokutwa nacho chatu huyo.Source:Arusha Yetu

 

10 years ago

Vijimambo

Mtoto wa Diamond azua jambo!

MAMA-DIAMOND-NA-MTOTOShani Ramadhani

VISA vimeanza! Siku chache baada ya nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata ‘baby girl’ aliyempa jina la Latifah kupitia kwa mzazi mwenziye Zarinah Hassan ‘Zari’ kuna madai kwamba, jina la Latifah limezua mambo, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, baadhi ya wanafamilia wa Diamond hawakubaliani na jina hilo wakitaka kichanga huyo aitwe Sanura, jina la mama Diamond wakiamini kuwa, ndiyo historia ya enzi na enzi, kwamba mtoto...

 

10 years ago

Mwananchi

Diamond azua balaa Ujerumani

Mwanamuziki Diamond Platinum juzi alizua kizaazaa baada ya vurugu kubwa kutokea nchini Ujerumani na kuvuruga tamasha ambalo alitakiwa kutumbuiza, lakini meneja wake amesema tukio hilo litasaidia kumtangaza zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani