DIAMOND AZUA KIZAAZAA!
![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyVuOup53NdzxQA7IMpZSUEYAtJaaYZd3y71yCnipk3RT51lwm2IDD*HLTyxARBc1tMTUxd5ivUKtGJX*yEbZBDh/diamond.jpg?width=650)
Stori: Richard Bukos aliyekuwa Kagera UNAZI! Kundi kubwa la vijana wa kike na kiume, mwanzoni mwa wiki iliyopita walizua kizaazaa baada ya kumgombea kumuona kwa karibu na kutaka kuzungumza na mkali wa muziki wa Kizazi Kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ mara baada ya kumaliza kutumbuiza katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli uliofanyika katika Viwanja vya Gymkhana mjini...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNXcnVqa-rsxNwnc-zFOT4nZ9cFkN2xSVkcoVBEODGEo2qLiwGktKLHtuZV2BDYgLEP2WFjVBV5cD1Y4Ua6y2aAs/wema.jpg)
WEMA AZUA KIZAAZAA CHINA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1lp73GxRT8bjYRXMjl943f0JsgDB3kDPpZYH4-*Zk75vAfHnkUHPzuDE5bOUYgLVEewgJ6T*BOO513lCSFzE1nThW81koL5k/FRONT.gif?width=650)
ZARI AZUA KIZAAZAA MSIBANI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pauKaB96wETMAAdnMwF-hXW87yNwf7pPw8AeDPPfqXwL3szifq5TnsMuxcPq3LksCgiJeapp-saty9*NyLdbwljW6tPHCR-i/FrontIjumaa.jpg?width=650)
MAGUFULI AZUA KIZAAZAA MORO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DQ7qZAeEmlrhYtm8z91Y6QJRZkPMYLoglH3W3ynPsZ8jjBzNrOOq0be5symOe-o9He7m5WplOykHNEML51J9sT1/wolper.gif?width=650)
WOLPER AZUA KIZAAZAA FREEMASON
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Mtoto anayedaiwa kugeuka nyoka azua kizaazaa Geita
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Magufuli.jpg)
YALIYOMO KWENYE GAZETI LA IJUMAA: MAGUFULI AZUA KIZAAZAA MORO
11 years ago
CloudsFM06 Jun
CHATU AZUA KIZAAZAA ARUSHA AINGIA KWENYE NYUMBA YA MTU AKUTWA AMEFUNGWA KITAMBAA CHEUPE
Wakazi wa eneo la Sakina mkoani Arusha siku ya jana walipatwa na mshtuko mkubwa baada ya kuona chatu akiwa anaingia ndani ya nyuma ya jirani yao huku akiwa amefungwa kitambaa kilichokuwa na maandishi mekundu yasiyoeleweka mkiani mwake.
Hiki ndicho kitambaa alichokutwa nacho chatu huyo.
Source:Arusha Yetu
10 years ago
Vijimambo10 Aug
Mtoto wa Diamond azua jambo!
![MAMA-DIAMOND-NA-MTOTO](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/MAMA-DIAMOND-NA-MTOTO.jpg)
VISA vimeanza! Siku chache baada ya nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata ‘baby girl’ aliyempa jina la Latifah kupitia kwa mzazi mwenziye Zarinah Hassan ‘Zari’ kuna madai kwamba, jina la Latifah limezua mambo, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, baadhi ya wanafamilia wa Diamond hawakubaliani na jina hilo wakitaka kichanga huyo aitwe Sanura, jina la mama Diamond wakiamini kuwa, ndiyo historia ya enzi na enzi, kwamba mtoto...
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Diamond azua balaa Ujerumani