Diamond azua balaa Ujerumani
Mwanamuziki Diamond Platinum juzi alizua kizaazaa baada ya vurugu kubwa kutokea nchini Ujerumani na kuvuruga tamasha ambalo alitakiwa kutumbuiza, lakini meneja wake amesema tukio hilo litasaidia kumtangaza zaidi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Nape azua balaa Singida
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi na Uenezi, Nape Nauye, pamoja na Katibu Mwenezi wa chama hicho Mkoa wa Singida, Musa Sima, wanadaiwa kuwaongoza vijana wa ulinzi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi-LBRk1vIDN9kYEotX513jG6D40pu1HCk0MShqNz0XwTKI4fKUvffZsijsAC75X7VCh7i9fW9WLmDk9osHO8U2y/amanda.jpg)
AMANDA AZUA BALAA MTAANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSDnqVdqkHtu1ugjXGeOhm6ldj4pkO-E4ZJ7P9GQvAeUCSHvYrdL6iN69sw9zvm9IE8YNsDDM0RnTrcGPqQVEu9kffTQKa3P/JOSEPH.jpg?width=600)
Henry Joseph azua balaa Simba SC
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Mwambusi azua balaa Mbeya City
UAMUZI wa kujiuzulu kuinoa klabu ya Mbeya City aliochukua kocha mkuu Juma Mwambusi, umeibua hali ya sintofahamu ndani ya kikosi hicho, huku uongozi wa juu wa timu hiyo ukisisitiza kuwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyVuOup53NdzxQA7IMpZSUEYAtJaaYZd3y71yCnipk3RT51lwm2IDD*HLTyxARBc1tMTUxd5ivUKtGJX*yEbZBDh/diamond.jpg?width=650)
DIAMOND AZUA KIZAAZAA!
10 years ago
Vijimambo10 Aug
Mtoto wa Diamond azua jambo!
![MAMA-DIAMOND-NA-MTOTO](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/MAMA-DIAMOND-NA-MTOTO.jpg)
VISA vimeanza! Siku chache baada ya nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata ‘baby girl’ aliyempa jina la Latifah kupitia kwa mzazi mwenziye Zarinah Hassan ‘Zari’ kuna madai kwamba, jina la Latifah limezua mambo, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, baadhi ya wanafamilia wa Diamond hawakubaliani na jina hilo wakitaka kichanga huyo aitwe Sanura, jina la mama Diamond wakiamini kuwa, ndiyo historia ya enzi na enzi, kwamba mtoto...
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Diamond azua mjadala mtandaoni
ELLY MHAGAMA (TUDARCO)
NYOTA wa muziki Afrika Mashariki na Kati, Nasib Abdul ‘Diamond Platnamuz’, amezua mjadala katika mitandao mbalimbali ya kijamii baada ya kumuunga mkono mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli katika kurasa zake mitandaoni.
Lakini licha ya Diamond kuandika hayo aliomba wachangiaji wasiandike lugha za matusi wakati wa kuchangia mjadala alioanzisha bali aliwataka waandike hoja ili wamshawishi afuate chama chao.
“Msijisumbue kuandika matusi kwa kuwa...
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Diamond azua vurugu nyingine Uingereza
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UZ8UQ2FXhhOS1rFqEM1sDp7HUEq3KOfQ7LUHSaO0Cr82*RBHfoRi1shapz3kSiyO54Xq3xxtee2ezLCA9uuohYqHyuUMPATx/mama.jpg?width=650)
TUZO ZA DIAMOND ZAZUA BALAA!