Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AMANDA AZUA BALAA MTAANI

Stori: Chande Abdallah Msanii wa filamu, Tamrina Posh ‘Amanda’ hivi karibuni alizua balaa la aina yake baada ya kukatiza mtaani akiwa amevaa kigauni kilichokaribia kuacha wazi makalio yake. Msanii wa filamu, Tamrina Posh ‘Amanda’ akiwacharukia wanaume waliokuwa wanampigia miluzi huku wakimzodoa. Tukio hilo lililowashangaza wengi lilijiri eneo la Mwenge Bamaga jijini Dar wakati msanii huyo alipokuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Diamond azua balaa Ujerumani

Mwanamuziki Diamond Platinum juzi alizua kizaazaa baada ya vurugu kubwa kutokea nchini Ujerumani na kuvuruga tamasha ambalo alitakiwa kutumbuiza, lakini meneja wake amesema tukio hilo litasaidia kumtangaza zaidi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nape azua balaa Singida

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi na Uenezi, Nape Nauye, pamoja na Katibu Mwenezi wa chama hicho Mkoa wa Singida, Musa Sima, wanadaiwa kuwaongoza vijana wa ulinzi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Amanda Poshy azua maswali yasiyo na majibu kwa kauli hii.

Amanda Poshy azua maswali yasiyo na majibu kwa kauli hii.

Leo kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii mwanadada Amanda Poshy amezua maswali yasiyo na majibu baada ya kuandika maneno ambayo wengi wameshindwa kujua yana maana gani kwani yamekaa kimafumbo flani hivi.

Kauli hii ya mwanadada Amanda inakuja siku chache tu baada ya mrembo Irene uwoya kuongelea jambo kama hili hili siku mbili zilizopita.

Amanda poshy ameongelea mambo mengi yakiwemo “Kuchukuliana mabwana kwa waigizaji wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwambusi azua balaa Mbeya City

UAMUZI wa kujiuzulu kuinoa klabu ya Mbeya City aliochukua kocha mkuu Juma Mwambusi, umeibua hali ya sintofahamu ndani ya kikosi hicho, huku uongozi wa juu wa timu hiyo ukisisitiza kuwa...

 

11 years ago

GPL

Henry Joseph azua balaa Simba SC

Kiungo wa Simba, Henry Joseph. Na Sweetbert Lukonge
KIUNGO wa Simba, Henry Joseph, amezua balaa katika kikosi cha timu hiyo baada ya kuonyesha uwezo wa kumudu na kucheza kwa ufanisi mkubwa nafasi mbalimbali uwanjani. Hali hiyo imewaogopesha baadhi ya wachezaji wenzake na kuwafanya wahofie kupoteza nafasi zao katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo ambayo inafundishwa na Mcroatia, Zdravko Lagarusic. Baadhi ya wachezaji...

 

11 years ago

GPL

AMANDA NA GONJWA LISILOELEWEKA

Stori: Gladness Mallya
STAA wa sinema za Kibongo, Tamrina Posh ‘Amanda’ amepatwa na ugonjwa wa ajabu  ambao haujulikani. Staa wa sinema za Kibongo, Tamrina Posh ‘Amanda’. Katika mazungumzo na paparazi wetu, Amanda alisema: “Naumwa sana na nimechukua vipimo vingi ikiwemo malaria na presha pale Agha Khan (hospitali) lakini hakijagundulika chochote ingawa mwili wote unauma.”… ...

 

9 years ago

GPL

UJAUZITO WAMTULIZA AMANDA

Staa wa filamu za Kibongo, Amanda Posh. Hamida Hassan STAA wa filamu za Kibongo, Amanda Posh anadaiwa kutulizwa na hali yake ya ujauzito kwani hivi sasa haonekani mara kwa mara kama zamani. Chanzo kilicho karibu na muigizaji huyo kilisema Amanda alikwenda nchini Uswisi ambako ndiko anakoishi mpenzi wake, ambaye hata hivyo jina lake halikupatikana mara moja, aliporejea ndipo ilipojulikana ni mjamzito. Amanda alitafutwa na gazeti...

 

10 years ago

GPL

AMANDA ACHAFUKA MTANDAONI

Stori: Gladness Mallya/Risasi Mchanganyiko
MSANII wa filamu Bongo, Tamrina Poshi maarufu kama Amanda, amechafuka baada ya mtu anayejitambulisha kwa jina lake, kujinadi kwa kujitongozesha katika mtandao wa kijamii wa Facebook. Msanii wa filamu Bongo, Tamrina Poshi maarufu kama 'Amanda'. Amanda huyo feki amekuwa akijiuza bila aibu katika mtandao huo kwa kujitongozesha kwa wanaume, kitu kinachomuumiza muigizaji huyo ambaye pia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani