AMANDA ACHAFUKA MTANDAONI

Stori: Gladness Mallya/Risasi Mchanganyiko MSANII wa filamu Bongo, Tamrina Poshi maarufu kama Amanda, amechafuka baada ya mtu anayejitambulisha kwa jina lake, kujinadi kwa kujitongozesha katika mtandao wa kijamii wa Facebook. Msanii wa filamu Bongo, Tamrina Poshi maarufu kama 'Amanda'. Amanda huyo feki amekuwa akijiuza bila aibu katika mtandao huo kwa kujitongozesha kwa wanaume, kitu kinachomuumiza muigizaji huyo ambaye pia...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
UJAUZITO WAMTULIZA AMANDA
11 years ago
GPL
AMANDA NA GONJWA LISILOELEWEKA
11 years ago
GPL
AMANDA AANIKA SABABU ZA KUTOKUZAA
10 years ago
Bongo Movies30 Jun
Mfungo Wamuepusha Amanda na Skendo
Staa wa bongo movies, Tamrina Posh ‘Amanda’ amesema kuwa mfungo wa mwezi wa ramadhani umemuweka mbali na skendo ambazo amekuwa akiibuka nazo mara kwa mara na ikiwezekana huo ndiyo utakuwa mwisho wake kwani kwa sasa yupo katika kipindui cha kuomba toba kwa muumba wake kwa mabaya yote aliyowahi kufanya siku za nyuma.
Akizungumza na gazeti la Filamu, Amanda alisema kwa mwezi huu hatoonekana akikatiza mitaani na nguo zilizobana kiasi cha kuonyesha maungo yake ya sehemu za siri bali...
10 years ago
GPL
BIFU JIPYA LUNGI, AMANDA
10 years ago
GPL
AMANDA ACHARUKIWA KISA NGOMA
11 years ago
GPL
AMANDA YAMKUTA YA MAREHEMU RECHO
10 years ago
GPL
PARTY YA AMANDA, FULL KUDENDEKA
11 years ago
GPL
MPENZI AMALIZA STRESS ZA AMANDA