AMANDA ACHARUKIWA KISA NGOMA
![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq*P0dOz9vjomk0KocYYufP7immmK927uX6TZaoNEWVXMfIKHRJNG6u6g3OmDHqGdqQRalcy9rK9x0cQ1A8G9bTS/a.jpg?width=650)
MWANDISHI WETU MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefunguka kuwa baada ya kukanusha kuwa hana ugonjwa wa Ukimwi, mpenzi wake amemcharukia kweli akihoji kwa nini akanushe kama hana? Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’. Akizungumzia tukio hilo, Amanda alisema baada ya gazeti la Ijumaa la wiki iliyopita kuripoti akimchana shabiki aitwaye Joel ambaye aliandika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-DdzS2kvR6iYzlJYL1MEtcrHsxeuJh3RZ5h*Js1ba4mN1U6f44ZeqwFJ0RfODszavwBRz3QiS5mAcXDsalBGsrhB/Amanda.jpg)
AMANDA AGOMA KUMUANIKA BWANA KISA KUIBIWA
10 years ago
Bongo Movies22 Apr
Baada ya kuambiwa anatumia ARV, Amanda poshy aamua kuonesha majibu yake ya “ngoma”
Baada ya ile story iliyozagaa mitandaoni kuwa mwanadada Amanda poshy anatumia ARV (Dawa ya kupunguza makali ya virusi vya UKIMWI) hatimaye leo, mwanadada huyo ameamua kuudhihirishia umma kuwa yeye yuko safi, na habari hizo ni uzushi tu na yenye lengo la kumchafua kwenye jamii baada ya kuamua kupima na kuweka majibu yake ya vipimo vya “ngoma” hadharani kwenye mtandao mmoja wa kijamii.
Katika picha hiyo mwanadada huyo aliandika kuwa ni vizuri kucheki afya yako mara kwa mara, picha iliyokuwa...
10 years ago
CloudsFM03 Mar
Q-Chillah,TID wataka kutwangana kisa,ngoma mpya ya Ali Kiba
Mastaa wa Bongo Fleva,Q-Chillah na TID mwishoni mwa wiki hii walitaka kutwangana walipokutana katika Klabu moja usiku.
Kwa mujibu wa Q-Chillah akizungumza kwenye Uheard na Soudy Brown alisema kuwa alikwenda kwenye klabu hiyo kuangalia shoo iliyokuwa ikifanyika kwenye lakini baadaye aliamua kutoka nje kucheza ‘pool table’ ndipo alipomuona TID.
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Kila mwamba ngoma akivutia kwake, mwisho ngoma hupasuka
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/bJubfyXMsOc/default.jpg)
ngoma azipendazo ankal - special request from Ras Makunja wa Ngoma Afrika band, Ujerumani
Simba Wanyika - Halleluja
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/kSuuiTgwegk/default.jpg)
NGOMA, NGOMA, NGOMA OYEEEE…
Hizi ni baadhi ya shughuli ambazo mwana Kitoto hufanya ughaibuni. Usiku na mchana. Ninazionea fahari…Miaka mingi wengi wameniuliza watakujaje Majuu. Njia nzuri na rahisi sana ni kufanya mambo ya kwetu. Ngoma ni kitu kinachopendwa na wageni maana ni uhalisia na asili ya Mwafrika.
Juu hapa wanaonekana wanamuziki wawili wa Kitanzania wanaoishi Uingereza. Saidi Kanda na Fab Moses. Fab Moses...
10 years ago
MichuziNGOMA AFRICA BAND YAITAKIA MSONDO NGOMA BAND HERI YA MIAKA 50 !
![](http://4.bp.blogspot.com/-ORf9Gn6TFdU/VBIA8eWjFyI/AAAAAAAGjAQ/QMKp6Yj33Lc/s1600/download.jpg)
Kiongozi wa Ngoma Africa band Kamanda Ras Makunja, anaitaja bendi ya Msondo Ngoma ndiyo...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7fSVyjXLzVgpFOya10lAZeCJQUxyy*9TZ2xVYK0iubmxGwwVURb*ruxZ6Z5pspXDnO-bY3j0diup7Ys5T7c*zvtQ62B1vPXW/GLOBALTVONLINE14.jpg)
UJAUZITO WAMTULIZA AMANDA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m1tWer77BeAAMPi7NW88hTI0KFAVU64e1MemdIsSzWhtUiFFg1jZ*2nIuVfZbbAcPgPM0JODVKFaocCe6fIaDle9rqTVdAOi/amanda.jpg?width=650)
AMANDA NA GONJWA LISILOELEWEKA