Baada ya kuambiwa anatumia ARV, Amanda poshy aamua kuonesha majibu yake ya “ngoma”
Baada ya ile story iliyozagaa mitandaoni kuwa mwanadada Amanda poshy anatumia ARV (Dawa ya kupunguza makali ya virusi vya UKIMWI) hatimaye leo, mwanadada huyo ameamua kuudhihirishia umma kuwa yeye yuko safi, na habari hizo ni uzushi tu na yenye lengo la kumchafua kwenye jamii baada ya kuamua kupima na kuweka majibu yake ya vipimo vya “ngoma” hadharani kwenye mtandao mmoja wa kijamii.
Katika picha hiyo mwanadada huyo aliandika kuwa ni vizuri kucheki afya yako mara kwa mara, picha iliyokuwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5OMGgjzKkAMNDlOIgPuvqAR7ZXeXkTXUrcuzL5gWFDSSxs04uKeJ*nRbOd4Jfu2GIQQR2bNA3*3h08ZvnACSwfM/Amanda.jpg?width=650)
AMANDA AAMBIWA ANATUMIA ARV, AWA MBOGO!
10 years ago
Bongo Movies05 Jun
Amanda Poshy azua maswali yasiyo na majibu kwa kauli hii.
Amanda Poshy azua maswali yasiyo na majibu kwa kauli hii.
Leo kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii mwanadada Amanda Poshy amezua maswali yasiyo na majibu baada ya kuandika maneno ambayo wengi wameshindwa kujua yana maana gani kwani yamekaa kimafumbo flani hivi.
Kauli hii ya mwanadada Amanda inakuja siku chache tu baada ya mrembo Irene uwoya kuongelea jambo kama hili hili siku mbili zilizopita.
Amanda poshy ameongelea mambo mengi yakiwemo “Kuchukuliana mabwana kwa waigizaji wa...
10 years ago
Bongo Movies17 Apr
Majibu ya Amanda Kuhusu Madai ya Kutumia ARV
Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’ hivi karibuni aligeuka mbogo kwa shabiki wake aliyefahamika kwa jina la Joel baada ya kuambiwa eti ni mmoja wa wasanii wanaotumia vidonge vya ARV vya kuongeza siku za kuishi kwa waathirika wa Ukimwi.
Ishu ilianzia kwenye mtandao wa Facebook ambapo Joel aliona picha ya Amanda akipima ugonjwa ambao haukujulikana ndipo kijana huyo alipokomenti kwamba eti msanii huyo ana ngoma.Akizungumza na Ijumaa, Amanda alisema amechoshwa na watu wanaomkashifu...
10 years ago
Bongo Movies19 Aug
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq*P0dOz9vjomk0KocYYufP7immmK927uX6TZaoNEWVXMfIKHRJNG6u6g3OmDHqGdqQRalcy9rK9x0cQ1A8G9bTS/a.jpg?width=650)
AMANDA ACHARUKIWA KISA NGOMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzqS0FdXhkcCScyGBCz*pJuV3-6TJdSGtwQlLjgM3cT*Uia7gDvWM685VCuqq8sCdPYdMgkLyPtPYew335Zhq-o3/1.jpg)
AVAMIA NYUMBA YA MPENZI WAKE, AVUNJA SOFA, ACHANA NGUO NA MASHUKA BAADA YA KUAMBIWA HAPENDWI
9 years ago
Bongo503 Nov
Baada ya kuonesha kumkubali Wizkid, Alicia Keys kumshirikisha kwenye wimbo wake
![Alicia n Wizkid](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Alicia-n-Wizkid-94x94.jpg)
10 years ago
VijimamboBAADA YA KUVULIWA UBUNGE TLP..MREMA AAMUA KUJIUNNGA RASMI NA ACT
Augustino Mrema (kulia).NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAMKAMATI ya Ukweli na Maridhiano ya Chama cha Tanzania Labour (TLP), imetangaza kumvua uanachama Mwenyekiti wa chama hicho, Agustino Mrema.Akizungumza jana, jijini Dar es Salaam na vyombo vya habari, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Joram Kinanda alisema kuwa kamati hiyo imefikia uamuzi huo baada ya kupitia kwa kina malalamiko yaliyokuwa yakimuhusu Mrema, ambaye pia ni Mbunge wa Vunjo.Mwenyekiti huyo alisema kuwa mbali na Mrema wengine...