PICHA 4 za mwanadada Amanda Poshy. Ni shidaa!
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies05 Jun
Amanda Poshy azua maswali yasiyo na majibu kwa kauli hii.
Amanda Poshy azua maswali yasiyo na majibu kwa kauli hii.
Leo kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii mwanadada Amanda Poshy amezua maswali yasiyo na majibu baada ya kuandika maneno ambayo wengi wameshindwa kujua yana maana gani kwani yamekaa kimafumbo flani hivi.
Kauli hii ya mwanadada Amanda inakuja siku chache tu baada ya mrembo Irene uwoya kuongelea jambo kama hili hili siku mbili zilizopita.
Amanda poshy ameongelea mambo mengi yakiwemo “Kuchukuliana mabwana kwa waigizaji wa...
10 years ago
Bongo Movies22 Apr
Baada ya kuambiwa anatumia ARV, Amanda poshy aamua kuonesha majibu yake ya “ngoma”
Baada ya ile story iliyozagaa mitandaoni kuwa mwanadada Amanda poshy anatumia ARV (Dawa ya kupunguza makali ya virusi vya UKIMWI) hatimaye leo, mwanadada huyo ameamua kuudhihirishia umma kuwa yeye yuko safi, na habari hizo ni uzushi tu na yenye lengo la kumchafua kwenye jamii baada ya kuamua kupima na kuweka majibu yake ya vipimo vya “ngoma” hadharani kwenye mtandao mmoja wa kijamii.
Katika picha hiyo mwanadada huyo aliandika kuwa ni vizuri kucheki afya yako mara kwa mara, picha iliyokuwa...
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
PICHA: Tazama picha tano (5) kali sana za mwanadada Elizabeth Michael a.k.a LULU. Utazipenda.
Picha kwa hisani ya blog ya http://www.domozege.blogspot.com
10 years ago
Bongo527 Sep
Picha: Serengeti Fiesta Songea, Ruvuma ni shidaa!
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Pmf5Y1JL6Ss/VDGKyk7pw1I/AAAAAAAAWAc/Sw76mOm0Sp8/s72-c/7db1f__mipaka.jpg)
Ugomvi wa Mipaka ya Viwanja Ni Shidaa, Embu Ona Hawa Walivyofanyiziana
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pmf5Y1JL6Ss/VDGKyk7pw1I/AAAAAAAAWAc/Sw76mOm0Sp8/s640/7db1f__mipaka.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3vI_pVamJFY/XpAPXnD7HWI/AAAAAAALms4/LK0v6VCIsAscbDG2tX1yoEzeg9ZVSn06gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_8428.jpg)
BrighterMonday Tanzania yazindua kampeni ya ‘Umoja Wakati wa Shida’ kusaidia Waajiri Kukabiliana na Athari za Janga la Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-3vI_pVamJFY/XpAPXnD7HWI/AAAAAAALms4/LK0v6VCIsAscbDG2tX1yoEzeg9ZVSn06gCLcBGAsYHQ/s640/IMG_8428.jpg)
Kampeni hii inalenga kuwezesha uendelevu wa juhudi za makampuni na biashara kwa kuziwesesha kufanya udahili na kuajiri watendaji sahihi ili kuongeza ufanisi...
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
LUPITA NYONG’O: Mwanadada Mkenya anayetikisa Hollywood
ILIKUWA ni nadra kwa waigizaji wa Afrika Mashariki kung’ara katika medani za filamu hata wanapopata nafasi ya kufanya kazi na nyota wa Hollywood. Pamoja na kupata bahati hiyo mara kadhaa,...
10 years ago
Bongo Movies17 Nov
Huu ndio ujumbe wa mwanadada Jennifer Kyaka - Odama asubuhi ya leo.
Kupitia mtandao mmoja maarufu wa kijamii, mwanadada Odama ametoa ujumbe huu kwa watu wote asubuhi ya leo
"...Natafakari zab.116:12 "Nimrudishie nini Bwana kwa Ukarimu wake wote alionitendea? Ameniwezesha mangapi ikiwemo uhai? Ameniepusha mangapi kikiwepo kifo? Tena ni Ndugu wangapi nilianza nao Mwaka lakini mpaka dakika hii sipo nao? Nimemtendea nini MUNGU mpaka dakika hii mimi napumua? Naomba uungane nami katika kutafakari fungu hili kwa kusema yote ni kwa NEEMA TU. Ukiweza chota nawe...