Huu ndio ujumbe wa mwanadada Jennifer Kyaka - Odama asubuhi ya leo.
Kupitia mtandao mmoja maarufu wa kijamii, mwanadada Odama ametoa ujumbe huu kwa watu wote asubuhi ya leo
"...Natafakari zab.116:12 "Nimrudishie nini Bwana kwa Ukarimu wake wote alionitendea? Ameniwezesha mangapi ikiwemo uhai? Ameniepusha mangapi kikiwepo kifo? Tena ni Ndugu wangapi nilianza nao Mwaka lakini mpaka dakika hii sipo nao? Nimemtendea nini MUNGU mpaka dakika hii mimi napumua? Naomba uungane nami katika kutafakari fungu hili kwa kusema yote ni kwa NEEMA TU. Ukiweza chota nawe...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo Movies22 Jul
Hizi ndio salamu za birthday alizopata mwanadada kajala leo toka kwa mastaa mbalimbali
Leo hii mwanadada Kajala Masanja anasherehekea siku yake ya kuzaliwa. Kama ilivyo ada mastaa na watu mbalimbali wamepa salam za pongezi mwanadada huyo mrembo wa bongomovies. Hizi ni baadhi tu ya salamu chache tulizoweza kuzipata.
BATULI: Happy birthday bint wa Masanja, Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu yenye afya njema, Born day yako imeangukia kwenye kumi la mwisho la mwezi wa Ramadhan, Ingawa ww c muislam ila support kwa vitendo ili uwe miongoni mwa wenye rehma za Mwenyezi Mungu,...
5 years ago
Bongo514 Feb
Huu ndio ujumbe wa Diamond kwa Raymond na Fahyma
Diamond aibariki familia mpya ya msanii wa WCB,Rayvanny ambaye amepata mtoto wake wa kwanza wiki hii.
Ni furaha kuitwa baba au mama hasa katika kipindi ambacho ulichokuwa ukikisubiria kwa hamu. Wawili hao wamefanikiwa kupaa mtoto wa kiume ambaye wamempatia jina la Jayden.
Kupitia mtandao wa Instagram, amewapongeza Ray na Fahyma kwa kuandika, “Congrats @rayvanny & @Fahyma_ on your first Born!… Inshaallah, Mwenyez Mungu awape Baraka, awalindie na wajalie kila lenye kheri ili Mumkuze vyema...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4lhW1wzJEAU/Ux1Fidu8AgI/AAAAAAAFSgg/_15p0r6n3bo/s72-c/IMG_7975.jpg)
10 years ago
MichuziUONGOZI WA WIZARA YA UCHUKUZI WAKUTANA NA UJUMBE KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA GUANG DONG WA NCHINI CHINA LEO ASUBUHI WIZARANI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-hZV3u3A9SEI/VEyIFBxI31I/AAAAAAADLNk/m2mJuDtf2F0/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
HUU NDIO UKURASA WA FACEBOOK WA MISS TANZANIA SITTI MTEMVU UNAVYOSOMEKA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-hZV3u3A9SEI/VEyIFBxI31I/AAAAAAADLNk/m2mJuDtf2F0/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Licha ya kuwa leo ni Sikukuu, lakini huu ndio muonekano wa Tanga Dec 25….(+Pichaz)
Leo Dec 25 ni siku ambayo Wakristo wa mataifa mbalimbali huisherehekea kama siku ya Christmas, Tanzania pia ikiwa ni miongoni mwa nchi hizo. Ingawa tumezoea kuona shamrashamra nyingi katika siku kama hii kwa maeneo mengi, hapa ripota wa millardayo.com anakusogezea picha kadhaa kutokea Mkoani Tanga hali inavyoonekana kwa siku hii ya leo. Unataka kutumiwa MSG za […]
The post Licha ya kuwa leo ni Sikukuu, lakini huu ndio muonekano wa Tanga Dec 25….(+Pichaz) appeared first on...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-LVtCTa5sHAM/VZQmWbysgxI/AAAAAAAAFqU/gfZ2698-B2U/s72-c/makongoro%2Bnyerere.jpg)
11 years ago
Bongo Movies15 Jul
Huu ni ujumbe wa Kajala kwenda kwa mtoto wake leo kwenye siku ya kuzaliwa kwa binti yake huyo.
Miaka 12 iliyopita sikuwahi kujua kama itafikia siku nitajisikia hiki ninachofeel siku ya leo.. nimepitia mambo mengi sana na wewe.. nimepata shida nyingi mno lakini sikukuacha wala kukutupa.. kwenye jua ama mvua, iwe usiku ama mchana katika mitihani yote niliyopitia nilikuwa na wewe tu mwanangu.. ulikuwa kama pochi yangu.. bila kujua kesho utakuwa NANI!! nilikupenda tangu siku ya kwanza nakuona.. nilikuthamini na kuahidi nafsi yangu kuwa nitakufa na wewe katika hali yoyote ile bila kujua...