Majibu ya Amanda Kuhusu Madai ya Kutumia ARV
Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’ hivi karibuni aligeuka mbogo kwa shabiki wake aliyefahamika kwa jina la Joel baada ya kuambiwa eti ni mmoja wa wasanii wanaotumia vidonge vya ARV vya kuongeza siku za kuishi kwa waathirika wa Ukimwi.
Ishu ilianzia kwenye mtandao wa Facebook ambapo Joel aliona picha ya Amanda akipima ugonjwa ambao haukujulikana ndipo kijana huyo alipokomenti kwamba eti msanii huyo ana ngoma.Akizungumza na Ijumaa, Amanda alisema amechoshwa na watu wanaomkashifu...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies22 Apr
Baada ya kuambiwa anatumia ARV, Amanda poshy aamua kuonesha majibu yake ya “ngoma”
Baada ya ile story iliyozagaa mitandaoni kuwa mwanadada Amanda poshy anatumia ARV (Dawa ya kupunguza makali ya virusi vya UKIMWI) hatimaye leo, mwanadada huyo ameamua kuudhihirishia umma kuwa yeye yuko safi, na habari hizo ni uzushi tu na yenye lengo la kumchafua kwenye jamii baada ya kuamua kupima na kuweka majibu yake ya vipimo vya “ngoma” hadharani kwenye mtandao mmoja wa kijamii.
Katika picha hiyo mwanadada huyo aliandika kuwa ni vizuri kucheki afya yako mara kwa mara, picha iliyokuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5OMGgjzKkAMNDlOIgPuvqAR7ZXeXkTXUrcuzL5gWFDSSxs04uKeJ*nRbOd4Jfu2GIQQR2bNA3*3h08ZvnACSwfM/Amanda.jpg?width=650)
AMANDA AAMBIWA ANATUMIA ARV, AWA MBOGO!
10 years ago
Bongo Movies05 Jun
Amanda Poshy azua maswali yasiyo na majibu kwa kauli hii.
Amanda Poshy azua maswali yasiyo na majibu kwa kauli hii.
Leo kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii mwanadada Amanda Poshy amezua maswali yasiyo na majibu baada ya kuandika maneno ambayo wengi wameshindwa kujua yana maana gani kwani yamekaa kimafumbo flani hivi.
Kauli hii ya mwanadada Amanda inakuja siku chache tu baada ya mrembo Irene uwoya kuongelea jambo kama hili hili siku mbili zilizopita.
Amanda poshy ameongelea mambo mengi yakiwemo “Kuchukuliana mabwana kwa waigizaji wa...
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Faida ya kutumia ARV kabla CD4 kupungua
NI kawaida katika nchi
zinazoendelea kwa watu waishio na virusi vya ukimwi (VVU) kutoanzishiwa
matibabu ya dawa za kufubaza virusi (ARV) hadi pale kinga za mwili (CD4) zinapopungua na kufikia seli 350 kwa kila milimita moja ya ujazo.
Nchini Tanzania, watu wenye maambukizi ya VVU na wagonjwa wa ukimwi walikuwa hawaanzishiwi dawa za ARV hadi kinga
zilipokuwa zimepungua kufikia seli 200 kwa milimita moja ya ujazo kwa hofu kuwa, kuanzisha matibabu mapema kunafanya matumizi ya ARV kuwa ya...
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Maswali na majibu kuhusu UKIMWI
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Maswali na majibu kuhusu UKIMWI (2)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-luNvo-vfSn0/Xmxl2c0ZmnI/AAAAAAALjCI/sWgRKabSKi0ipDKow8lrBZJtzbvvVlCaQCLcBGAsYHQ/s72-c/_111247965_d8a8f299-0594-42be-844a-418eb9c02711.jpg)
Majibu ya maswali 10 yanayoulizwa sana kuhusu coronavirus
![](https://1.bp.blogspot.com/-luNvo-vfSn0/Xmxl2c0ZmnI/AAAAAAALjCI/sWgRKabSKi0ipDKow8lrBZJtzbvvVlCaQCLcBGAsYHQ/s640/_111247965_d8a8f299-0594-42be-844a-418eb9c02711.jpg)
Yafuatayo ni majibu ya baadhi ya maswali ambayo wasomaji wamekua wakiyauliza.
1. Je inachukua kipindi gani mpaka mtu afahamike kuwa na coronavirus? - Swali lililoulizwa na Gillian Gibs
Inachukua siku tano kwa wastani kuanza kuonesha dalili, tangu mtu apate maambukizi, wanasayansi wamesema, lakini baadhi ya watu huanza kuonesha dalili hata baadae kuliko kipindi hiki.
Jinsi...
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Mo Farah ataka majibu kuhusu kocha wake
9 years ago
MillardAyo06 Jan
EXLUSIVE: Majibu ya Alikiba kuhusu kolabo yake na Davido
Ni Exclusive Interview Alikiba aliyoifanya na MillardAyo baada ya maswali kuendelea kuwepo kuhusu walipofikia baada ya Davido kuongea kwenye Interview na Millard Ayo July 2014 na kusema single nyingine na mkali wa bongofleva itakua ni yeye na Alikiba, sasa kujua alichosema Alikiba tazama hii Interview hapa chini.
The post EXLUSIVE: Majibu ya Alikiba kuhusu kolabo yake na Davido appeared first on TZA_MillardAyo.