Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balaa mtaani: mporwaji anapopambana na waporaji wa bodaboda...


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AMANDA AZUA BALAA MTAANI

Stori: Chande Abdallah Msanii wa filamu, Tamrina Posh ‘Amanda’ hivi karibuni alizua balaa la aina yake baada ya kukatiza mtaani akiwa amevaa kigauni kilichokaribia kuacha wazi makalio yake. Msanii wa filamu, Tamrina Posh ‘Amanda’ akiwacharukia wanaume waliokuwa wanampigia miluzi huku wakimzodoa. Tukio hilo lililowashangaza wengi lilijiri eneo la Mwenge Bamaga jijini Dar wakati msanii huyo alipokuwa...

 

10 years ago

Raia Mwema

Watawala wezi wakivumiliwa, nchi itatawaliwa na jeshi la waporaji

NIMEANDIKA kwamba sifa mojawapo ya nchi ambayo in taifa ni kwamba wakuu wa nchi hiyo, wakiwa wezi, wJenerali Ulimwengu

 

10 years ago

Michuzi

JAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA

 Mlinda mlango Maganga Benjamin wa timu ya Bodaboda Wilaya ya Ilala, akiudaka mpira katikati ya wachezaji wa timu ya Jambo Leo 'Wagumu Stars' Zahoro Mlanzi (kushoto) na Ali Salum wakati wa Tamasha la Bodaboda lililofanyika kwenye Uwanja wa Ukonga Gerezani, Dar es Salaam. Mgeni rasmi katika tamasha hilo alikuwa Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa. Jambo Leo ilishinda mabao 2-1. Moja ya kizazaa langoni mwa Bodaboda FC iliyosababishwa na washambuliaji wa Jambo Leo Mshambuliaji wa timu ya...

 

10 years ago

GPL

GPL MTAANI

Dereva bodaboda akiwa amebeba mzigo na abiria akiwa ameukalia wakiwa katika mwendo kasi. Baadhi ya wakazi wa Kibamba CCM wakitaza bomba kubwa…

 

9 years ago

Mtanzania

Kikwete aingia mtaani

MTZ jmosi new july.indd*Afanya ‘shopping’ Mlimani City

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

KWA mara ya kwanza tangu aondoke madarakani mwanzoni mwa mwezi huu, jana Rais Jakaya Kikwete alionekana akifanya manunuzi katika maduka yaliyopo jengo la Mlimani City, jijini Dar es Salaam.

Kikwete, ambaye alikuwa amevalia suti maarufu kama ‘kaunda suti’ yenye rangi nyeusi, alionekana akiingia katika viunga vya Mlimani City saa 5:00.

MTANZANIA Jumamosi ambalo lilikuwepo katika viunga hivyo vya Mlimani City lilishuhudia Kikwete...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

KAMERA YA GPL MTAANI

Jamaa akiwa kaning’inia nyuma ya daladala.…

 

9 years ago

GPL

MTAANI KWETU KIMENUKA!

Waswahili siku hizi wana neno lao utasikia ‘kimenuka’, ukisikia hilo ujue mambo yamekaa fyongo, basi hapa mtaani kwetu habari ndiyo hiyo. Uchaguzi ndiyo huo unakuja, homa inazidi kupanda, bendera za kila rangi zinaongezeka, maspika yanaongezeka nguvu, kila upande unaelezea jinsi utakavyoboresha maisha yetu, na hicho ndicho wananchi tunachokitaka. Ishu hapa ni kupata viongozi watakaotuletea maendeleo na kuboresha hali tuliyo...

 

11 years ago

GPL

KAMERA YETU MTAANI

Hapa ni sokoni Tandale. Wachuuzi wakifanya biashara katika soko la Tandale. Mishemishe…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani