Watawala wezi wakivumiliwa, nchi itatawaliwa na jeshi la waporaji
NIMEANDIKA kwamba sifa mojawapo ya nchi ambayo in taifa ni kwamba wakuu wa nchi hiyo, wakiwa wezi, wJenerali Ulimwengu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycOUQ5xaM0rK4GyjyC2e3-0SlCazc*XV0lZwTRUvw4lKEvCHHVMUqToS5fmgfycnxKR0jgiG96iIpgwJb*tZ6ytR/ZITTO.jpg?width=650)
ESCROW: WATAWALA WAWAJIBIKIE UDHAIFU, WEZI WATAFUATA
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NA KUWATAKA KUBUNI MIRADI MBALIMBALI YA KUONGEZA MAPATO NDANI YA JESHI HILO.
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.
Na.Nathaniel Limu-Singida
WAZIRI wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...
10 years ago
Michuzi14 Sep
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Napendekeza nchi moja, amiri jeshi mmoja
NILIWASHANGAA waliokuwepo bungeni, hao walioitwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ambao kwa sasa wapo kwenye mapumziko hadi Agosti litakapoanza tena. Ukweli nilikuwa siwaelewi, hasa waliposema eti wao ni waumuni...
10 years ago
StarTV04 Nov
Jeshi kukabidhi nchi raia Burkina Faso.
Jeshi nchini Burkina Faso lililochukua madaraka ya nchi hiyo limesema litarejesha madaraka kwa wananchi kwa njia ya kidemokrasia .
Kiongozi aliyechaguliwa na jeshi hilo kuongoza kwa muda Luteni Kanali Isaac Zida amewaambia wanadiplomasia kuwa pande zote mbili zitashirikishwa katika mchakato wa kumpata kiongozi wa kudumu wa taifa hilo.
Hata hivyo mkutano wa viongozi wa bara la Afrika uliofanyika mjini Adis Ababa umetoa wito kwa serikali ya muda inayoongozwa kijeshi kukabidhi madaraka kwa...
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Lukuvi: Tukipitisha serikali tatu jeshi litatawala nchi
10 years ago
Dewji Blog13 May
Breaking News!: Jeshi lachukua Nchi Burundi, Rais Nkurunzinza akiwa Tanzania
Pierre Nkurunziza -Pichani
Na MASHIRIKA YA HABARI
Ripoti kutoka Bujumbura, nchini Burundi zinasema kuwa kamanda mmoja wa kijeshi ametangaza kuwa hamtambui tena Pierre Nkurunziza kama rais wa Burundi.
Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amewaambia waandishi wa habari mjini Bujumubura, kuwa kumeundwa kamati maalum ya kuiokoa Burundi itakayotawala taifa hilo kwa kipindi cha mpwito.
Kulingana na taarifa iliyopeperushwa na redio Isanganiro, serikali ya Nkurunziza imeon’golewa madarakani.
Meja...