Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ESCROW: WATAWALA WAWAJIBIKIE UDHAIFU, WEZI WATAFUATA

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe akikazia hoja. YATOKANAYO na sakata la uchotwaji wa fedha kwenye akaunti maalum ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ni mengi, lakini kubwa ni kuvuliwa nguo kwa utawala wa nchi. Akichangia bungeni hivi karibuni, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe alisema mambo ya Escrow yalipaswa yafanyike kwenye nchi zisizokuwa na udhibiti wa dola, akitolea mfano Kongo na Somalia....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Mwema

Watawala wezi wakivumiliwa, nchi itatawaliwa na jeshi la waporaji

NIMEANDIKA kwamba sifa mojawapo ya nchi ambayo in taifa ni kwamba wakuu wa nchi hiyo, wakiwa wezi, wJenerali Ulimwengu

 

10 years ago

Vijimambo

MWIGULU NCHEMBA ATEMA SUMU,WEZI WA ESCROW/IPTL WAKAMATWE,WAFILISIWE,WAFUNGWE.KUJIUZULU TU HAITOSHI.

Imenukuliwa Kutoka Gazeti la Mwananchi(www.mwananchi.co.tz)

Habari zaidi kutoka ndani ya kikao hicho zinaeleza kuwa Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alitoa msimamo mkali kuhusu sakata hilo la escrow na kwamba ametaka hatua zichukuliwe kwa wahusika wote.
Katika kikao hicho inaelezwa kwamba Nchemba alionyesha msimamo wake waziwazi kuwa sakata hilo ni hujuma  na kwamba haiwezekani walioiba fedha hizo wakaachiwa tu hivihivi.
Ndani ya kikao hicho imeelezwa kuwa Mwigulu alijitokeza na kusema...

 

10 years ago

Mwananchi

Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”

Kuna usemi wa wahenga usemao “mchawi mpe mwana alee”. Usemi huu una maana kwamba ili umbane na mtu unayehisi ni adui yako, kuwa naye karibu.

 

11 years ago

Dewji Blog

WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma

DSC07688

Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.

Na.Nathaniel Limu-Singida

WAZIRI  wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Aanze rais kuhamia Makao Makuu Dodoma, wengine watafuata

Wasemaji wamesema, wadadavuaji wamedadavua, wapangaji wamepanga na bado jambo hili limeendelea kuwa hadithi. Serikali ya Tanzania iliamua kubadilisha makao makuu yake tangu mwaka 1976, sasa ni miaka 38, uamuzi huo bado haujatekelezwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maaskofu: Watawala wameshindwa

BAADHI ya viongozi wa dini hapa nchini wamebainisha kuwa kukithiri kwa migomo na matatizo mbalimbali ni dalili za watawala kushindwa kazi. Wakihutubia kwenye mkesha na ibada ya Sikukuu ya Krismasi,...

 

10 years ago

Mwananchi

Mzaha watawala Bunge la Katiba

 Vijembe na mzaha vimetawala kwenye Bunge la Katiba mjini Dodoma katika hatua ya upigaji wa kura kuanzia sura ya 11 hadi 19 na ibara zake kuanzia 158 hadi 289.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi watawala Olimpiki Sochi

Urusi imeibuka washindi wa kwanza katika michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi, iliyofanyika katika mji wa Sochi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani