ESCROW: WATAWALA WAWAJIBIKIE UDHAIFU, WEZI WATAFUATA
![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycOUQ5xaM0rK4GyjyC2e3-0SlCazc*XV0lZwTRUvw4lKEvCHHVMUqToS5fmgfycnxKR0jgiG96iIpgwJb*tZ6ytR/ZITTO.jpg?width=650)
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe akikazia hoja. YATOKANAYO na sakata la uchotwaji wa fedha kwenye akaunti maalum ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ni mengi, lakini kubwa ni kuvuliwa nguo kwa utawala wa nchi. Akichangia bungeni hivi karibuni, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe alisema mambo ya Escrow yalipaswa yafanyike kwenye nchi zisizokuwa na udhibiti wa dola, akitolea mfano Kongo na Somalia....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Watawala wezi wakivumiliwa, nchi itatawaliwa na jeshi la waporaji
10 years ago
Vijimambo30 Nov
10 years ago
VijimamboMWIGULU NCHEMBA ATEMA SUMU,WEZI WA ESCROW/IPTL WAKAMATWE,WAFILISIWE,WAFUNGWE.KUJIUZULU TU HAITOSHI.
Imenukuliwa Kutoka Gazeti la Mwananchi(www.mwananchi.co.tz)
Habari zaidi kutoka ndani ya kikao hicho zinaeleza kuwa Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alitoa msimamo mkali kuhusu sakata hilo la escrow na kwamba ametaka hatua zichukuliwe kwa wahusika wote.
Katika kikao hicho inaelezwa kwamba Nchemba alionyesha msimamo wake waziwazi kuwa sakata hilo ni hujuma na kwamba haiwezekani walioiba fedha hizo wakaachiwa tu hivihivi.
Ndani ya kikao hicho imeelezwa kuwa Mwigulu alijitokeza na kusema...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.
Na.Nathaniel Limu-Singida
WAZIRI wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...
11 years ago
Mwananchi25 May
Aanze rais kuhamia Makao Makuu Dodoma, wengine watafuata
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Maaskofu: Watawala wameshindwa
BAADHI ya viongozi wa dini hapa nchini wamebainisha kuwa kukithiri kwa migomo na matatizo mbalimbali ni dalili za watawala kushindwa kazi. Wakihutubia kwenye mkesha na ibada ya Sikukuu ya Krismasi,...
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Mzaha watawala Bunge la Katiba
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Urusi watawala Olimpiki Sochi