Diamond azua mjadala mtandaoni
ELLY MHAGAMA (TUDARCO)
NYOTA wa muziki Afrika Mashariki na Kati, Nasib Abdul ‘Diamond Platnamuz’, amezua mjadala katika mitandao mbalimbali ya kijamii baada ya kumuunga mkono mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli katika kurasa zake mitandaoni.
Lakini licha ya Diamond kuandika hayo aliomba wachangiaji wasiandike lugha za matusi wakati wa kuchangia mjadala alioanzisha bali aliwataka waandike hoja ili wamshawishi afuate chama chao.
“Msijisumbue kuandika matusi kwa kuwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo517 Dec
Picha: Waziri mwanamke wa Jamaica azua mjadala mtandaoni kwa kupost picha akiwa nusu utupu
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Wakilii azua mjadala kuhusu ubakaji UK
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Aliyehisiwa kufa kwa ebola azua mjadala Geita
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyVuOup53NdzxQA7IMpZSUEYAtJaaYZd3y71yCnipk3RT51lwm2IDD*HLTyxARBc1tMTUxd5ivUKtGJX*yEbZBDh/diamond.jpg?width=650)
DIAMOND AZUA KIZAAZAA!
10 years ago
Vijimambo10 Aug
Mtoto wa Diamond azua jambo!
![MAMA-DIAMOND-NA-MTOTO](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/MAMA-DIAMOND-NA-MTOTO.jpg)
VISA vimeanza! Siku chache baada ya nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata ‘baby girl’ aliyempa jina la Latifah kupitia kwa mzazi mwenziye Zarinah Hassan ‘Zari’ kuna madai kwamba, jina la Latifah limezua mambo, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, baadhi ya wanafamilia wa Diamond hawakubaliani na jina hilo wakitaka kichanga huyo aitwe Sanura, jina la mama Diamond wakiamini kuwa, ndiyo historia ya enzi na enzi, kwamba mtoto...
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Diamond azua balaa Ujerumani
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Diamond azua vurugu nyingine Uingereza
10 years ago
Bongo Movies30 Nov
Wema Sepetu azua gumzo kwenye mtandao baada ya kumuita Diamond "kaka"
Huku macho na masikio ya wananchi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania yakiwa kwenye bunge la katiba linalojadili lile sakata la tegeta ESCROW, mwanadada Wema sepetu ameamua naye kuzua gumzo kwenye mtandao baada ya kutoa salamu ya pongezi kwa kijana Naseeb al maarufu kama Chibu dangote ama Diamond platnumz kwa ushindi wake wa tuzo 3 kwenye tuzo za Channel O MUSIC AWARDS zilizofanyika huko Afrika ya kusini akitumia neno KAKA katika sentensi yake kitu ambacho kimezua minong’ono ya hapa na pale...
10 years ago
Bongo524 Nov
Picha ya Diamond na Zari wakinyonyana ndimi yasambaa mtandaoni