Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond azua mjadala mtandaoni

diamond-numzELLY MHAGAMA (TUDARCO)

NYOTA wa muziki Afrika Mashariki na Kati, Nasib Abdul ‘Diamond Platnamuz’, amezua mjadala katika mitandao mbalimbali ya kijamii baada ya kumuunga mkono mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli katika kurasa zake mitandaoni.

Lakini licha ya Diamond kuandika hayo aliomba wachangiaji wasiandike lugha za matusi wakati wa kuchangia mjadala alioanzisha bali aliwataka waandike hoja ili wamshawishi afuate chama chao.

“Msijisumbue kuandika matusi kwa kuwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha: Waziri mwanamke wa Jamaica azua mjadala mtandaoni kwa kupost picha akiwa nusu utupu

Waziri wa Vijana na Utamaduni wa Jamaica , Lisa Hannah amezua mjadala kwa kupost picha akiwa amevaa bikini na top yenye picha ya Bob Marley. Lisa ambaye amewahi kuwa Miss World mwaka 1993, alipost picha hiyo kwenye ukurasa wake wa facebook na kusababisha mjadala juu ya picha hiyo, wengine wakisema sio sahihi kwa kiongozi ambaye […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakilii azua mjadala kuhusu ubakaji UK

Wakili mmoja nchini Uingereza amesema kuwa wanaume hawafai kushtakiwa na ubakaji iwapo mwanamke aliyetendewa uovu huo amelewa

 

10 years ago

Mwananchi

Aliyehisiwa kufa kwa ebola azua mjadala Geita

Utata umegubika kifo cha Bertha Boniface (25) ambaye amefia Hospitali ya Wilaya Geita, kutokana na uvumi kuwa kifo chake kinatokana na ugonjwa wa ebola. Hata hivyo, madai hayo yamekanushwa na uongozi wa wilaya hiyo.

 

9 years ago

GPL

DIAMOND AZUA KIZAAZAA!

Stori: Richard Bukos aliyekuwa Kagera UNAZI! Kundi kubwa la vijana wa kike na kiume, mwanzoni mwa wiki iliyopita walizua kizaazaa baada ya kumgombea kumuona kwa karibu na kutaka kuzungumza na mkali wa muziki wa Kizazi Kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ mara baada ya kumaliza kutumbuiza katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli uliofanyika katika Viwanja vya Gymkhana mjini...

 

10 years ago

Vijimambo

Mtoto wa Diamond azua jambo!

MAMA-DIAMOND-NA-MTOTOShani Ramadhani

VISA vimeanza! Siku chache baada ya nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata ‘baby girl’ aliyempa jina la Latifah kupitia kwa mzazi mwenziye Zarinah Hassan ‘Zari’ kuna madai kwamba, jina la Latifah limezua mambo, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, baadhi ya wanafamilia wa Diamond hawakubaliani na jina hilo wakitaka kichanga huyo aitwe Sanura, jina la mama Diamond wakiamini kuwa, ndiyo historia ya enzi na enzi, kwamba mtoto...

 

10 years ago

Mwananchi

Diamond azua balaa Ujerumani

Mwanamuziki Diamond Platinum juzi alizua kizaazaa baada ya vurugu kubwa kutokea nchini Ujerumani na kuvuruga tamasha ambalo alitakiwa kutumbuiza, lakini meneja wake amesema tukio hilo litasaidia kumtangaza zaidi.

 

10 years ago

Mwananchi

Diamond azua vurugu nyingine Uingereza

Mwanamuziki Diamond Platnumz kwa mara nyingine tena usiku wa kuamkia jana alisababisha vurugu kubwa nchini Uingereza baada ya kushindwa kutumbuiza katika ukumbi wa LaFace Club uliopo jijini London.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Sepetu azua gumzo kwenye mtandao baada ya kumuita Diamond "kaka"

Huku macho na masikio ya wananchi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania yakiwa kwenye bunge la katiba linalojadili lile sakata la tegeta ESCROW, mwanadada Wema sepetu ameamua naye kuzua gumzo kwenye mtandao baada ya kutoa salamu ya pongezi kwa kijana Naseeb al maarufu kama Chibu dangote ama Diamond platnumz kwa ushindi wake wa tuzo 3 kwenye tuzo za Channel O MUSIC AWARDS zilizofanyika huko Afrika ya kusini akitumia neno KAKA katika sentensi yake kitu ambacho kimezua minong’ono ya hapa na pale...

 

10 years ago

Bongo5

Picha ya Diamond na Zari wakinyonyana ndimi yasambaa mtandaoni

Baada ya maneno kusemwa juu ya staa wa ‘Number 1’ Diamond Platnumz na binti mrembo wa Uganda, Zari ‘the boss lady’ kuwa huenda wakawa na kitu kinaendelea zaidi ya kazi, picha ya wawili hao wakila ‘denda’ imesambaa mtandaoni. Zari The boss lady Picha ya Diamond Platnumz na Zari iliyosambaa mtandaoni, huku Zari akiwa amevaa kofia […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani