Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakilii azua mjadala kuhusu ubakaji UK

Wakili mmoja nchini Uingereza amesema kuwa wanaume hawafai kushtakiwa na ubakaji iwapo mwanamke aliyetendewa uovu huo amelewa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Diamond azua mjadala mtandaoni

diamond-numzELLY MHAGAMA (TUDARCO)

NYOTA wa muziki Afrika Mashariki na Kati, Nasib Abdul ‘Diamond Platnamuz’, amezua mjadala katika mitandao mbalimbali ya kijamii baada ya kumuunga mkono mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli katika kurasa zake mitandaoni.

Lakini licha ya Diamond kuandika hayo aliomba wachangiaji wasiandike lugha za matusi wakati wa kuchangia mjadala alioanzisha bali aliwataka waandike hoja ili wamshawishi afuate chama chao.

“Msijisumbue kuandika matusi kwa kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Aliyehisiwa kufa kwa ebola azua mjadala Geita

Utata umegubika kifo cha Bertha Boniface (25) ambaye amefia Hospitali ya Wilaya Geita, kutokana na uvumi kuwa kifo chake kinatokana na ugonjwa wa ebola. Hata hivyo, madai hayo yamekanushwa na uongozi wa wilaya hiyo.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Waziri mwanamke wa Jamaica azua mjadala mtandaoni kwa kupost picha akiwa nusu utupu

Waziri wa Vijana na Utamaduni wa Jamaica , Lisa Hannah amezua mjadala kwa kupost picha akiwa amevaa bikini na top yenye picha ya Bob Marley. Lisa ambaye amewahi kuwa Miss World mwaka 1993, alipost picha hiyo kwenye ukurasa wake wa facebook na kusababisha mjadala juu ya picha hiyo, wengine wakisema sio sahihi kwa kiongozi ambaye […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Somo kuhusu ubakaji kufunzwa Uingereza

Wanafunzi kuanzia miaka 11 Uingereza watafundishwa kuhusu tofauti kati ya ubakaji na tendo la ngono linalotokana na idhini

 

11 years ago

BBCSwahili

Matamshi kuhusu ubakaji yakera India

Matamshi ya mwanasiasa mmoja mwanamke nchini India kuwa wanawake huchangia kwa wao wenyewe kubakwa yamelaaniwa vikali

 

9 years ago

BBCSwahili

Mjadala kuhusu usawa wa jinsia

Usawa wa jinsia na kuwezesha wanawake yamekuwa masuala makuu barani Afrika, lakini kumekuwa na hisia tofauti kuhusu juhudi za wanawake kupigania usawa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mjadala mkali kuhusu wahamiaji EU

Tatizo la wahamiaji imekuwa agenda kuu na kuzusha mjadala mkali katika mkutano wa Mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa muungano wa ulaya mjini Luxermbourg.

 

9 years ago

Michuzi

MJADALA KUHUSU UCHAGUZI MKUU

Mwenyekiti wa DP Mchungaji Christopher Mtikila azungumzia dhana ya ufisadi na aina za viongozi tunaohitaji kuwapatia Ikulu.https://youtu.be/ytmMOP7RTrE  
Mwenyekiti wa DP Mchungaji Mtikila azungumzia umuhimu wa afya bora kwa wagombea uraisi kwani ni nafasi nyeti katika taifa.https://youtu.be/ku4Qb4R8b10   
Mchungaji Mtikila awachambua wagombea uraisi wa CCM na Chadema na ahadi zao za kutoa elimu bure kama vipaumbele vyao.https://youtu.be/0Tr1Mt94Px0      
Mchungaji Christopher Mtikila amkataa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mjadala kuhusu mavazi.Ni kipi sawa?

Je ni sawa mwanamke kuambiwa anachofaa kuvaa? Hii na kauli ya baadhi ya watanzania kuhusiana na mjadala huu wa mavazi na wanawake kuvuliwa sketi fupi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani