Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjadala kuhusu mavazi.Ni kipi sawa?

Je ni sawa mwanamke kuambiwa anachofaa kuvaa? Hii na kauli ya baadhi ya watanzania kuhusiana na mjadala huu wa mavazi na wanawake kuvuliwa sketi fupi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Mashabiki walumbana kuhusu video ya Alikiba ‘Mwana’, kama ni sawa au si sawa kwa video kutofuata maudhui ya wimbo

Wiki moja baada ya video ya Alikiba ‘Mwana’ iliyofanyiika Afrika Kusini na kuongozwa na Godfather, itoke, kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na video hiyo. Baadhi yao wameonekana kuifurahia na wengine wameonekana kutoridhishwa na baadhi ya vitu. Baadhi ya waliotoa maoni wamesema kuwa walitegemea kuona video yenye script inayoendana na maudhui ya wimbo ili kumuwezesha hata […]

 

10 years ago

Mwananchi

Kikao cha tcd, ni kipi mlichokubaliana kuhusu hatima ya Katiba Mpya?

Nimeendelea kuyasoma magazeti ya siku ya Ijumaa ambayo yalisheheni maudhui ya kikao cha wadau wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) na Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Wadau wakubwa wa TCD ni vyama vya siasa hasa Chama cha Mapinduzi (CCM), Chama cha Wananchi (CUF), Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Chama cha NCCR-Mageuzi na Chama cha UDP.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mjadala kuhusu usawa wa jinsia

Usawa wa jinsia na kuwezesha wanawake yamekuwa masuala makuu barani Afrika, lakini kumekuwa na hisia tofauti kuhusu juhudi za wanawake kupigania usawa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mjadala mkali kuhusu wahamiaji EU

Tatizo la wahamiaji imekuwa agenda kuu na kuzusha mjadala mkali katika mkutano wa Mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa muungano wa ulaya mjini Luxermbourg.

 

9 years ago

Michuzi

MJADALA KUHUSU UCHAGUZI MKUU

Mwenyekiti wa DP Mchungaji Christopher Mtikila azungumzia dhana ya ufisadi na aina za viongozi tunaohitaji kuwapatia Ikulu.https://youtu.be/ytmMOP7RTrE  
Mwenyekiti wa DP Mchungaji Mtikila azungumzia umuhimu wa afya bora kwa wagombea uraisi kwani ni nafasi nyeti katika taifa.https://youtu.be/ku4Qb4R8b10   
Mchungaji Mtikila awachambua wagombea uraisi wa CCM na Chadema na ahadi zao za kutoa elimu bure kama vipaumbele vyao.https://youtu.be/0Tr1Mt94Px0      
Mchungaji Christopher Mtikila amkataa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Faiza Ally Afunguka Kuhusu Mavazi Yake, Mtoto, Dini, Umaarufu…..

Staa wa Bongo Movies, Faiza Ally  amefunguka mengi kuhusu yeye mwenyewe kwenye kipindi cha Nirvana kinachorushwa na EATV usiku wa jana.

Ishu kubwa ilikuwa kuhusu mavazi yake “Napenda kuvaa vitu ninavyovaa, sina mavazi special naweza kuvaa vyovyote, niliipenda idea ya kuvaa nepi (diapers) na sina tatizo nayo kabisa”

Faiza ni mama wa mtoto mmoja wa kike, kwenye upande wa malezi ikoje? “Mimi ni mama mzuri sana, ninamtazama mtoto wangu saa 24… mavazi yangu hayaingiliani kabisa na malezi ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakilii azua mjadala kuhusu ubakaji UK

Wakili mmoja nchini Uingereza amesema kuwa wanaume hawafai kushtakiwa na ubakaji iwapo mwanamke aliyetendewa uovu huo amelewa

 

10 years ago

CloudsFM

Faiza Ally Afunguka Kuhusu Mavazi Yake, Mtoto, Dini, Umaarufu Wake

Staa wa Bongo Movies, Faiza Ally  amefunguka mengi kuhusu yeye mwenyewe kwenye kipindi cha Nirvana kinachorushwa na EATV usiku wa jana.

Ishu kubwa ilikuwa kuhusu mavazi yake “Napenda kuvaa vitu ninavyovaa, sina mavazi special naweza kuvaa vyovyote, niliipenda idea ya kuvaa nepi (diapers) na sina tatizo nayo kabisa”

Faiza ni mama wa mtoto mmoja wa kike, kwenye upande wa malezi ikoje? “Mimi ni mama mzuri sana, ninamtazama mtoto wangu saa 24… mavazi yangu hayaingiliani kabisa na malezi ya mtoto...

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali yakanusha uvumi uliokuwa umeenea kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mavazi

napezi

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiwa ofisini kwake.

Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo inapenda kuujulisha Umma kwamba kumekuwapo na upotoshwaji unaondelea katika mitandao ya kijamii hususan facebook, Instagram na WhatsApp ambapo sehemu ya upotoshaji huo imenukuliwa kama ifuatavyo “Wizara imetoa tamko kuwa kuanzia januari 2016 mavazi yote yasiyo stahiki ambayo hayaendani na mila na desturi zetu Wizara yangu na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani