TUZO ZA DIAMOND ZAZUA BALAA!
![](http://api.ning.com:80/files/UZ8UQ2FXhhOS1rFqEM1sDp7HUEq3KOfQ7LUHSaO0Cr82*RBHfoRi1shapz3kSiyO54Xq3xxtee2ezLCA9uuohYqHyuUMPATx/mama.jpg?width=650)
Stori: Musa Mateja ZILE tuzo saba alizotwaa nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwenye mkesha wa Jumapili iliyopita ndani ya Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam zimezua balaa! Ni balaa gani hilo? Risasi Jumatano linakumegea. Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akipokea tuzo kutoka kwa Wema Sepetu. Kwa mujibu wa chanzo makini, baadhi ya ndugu wa Diamond walicharuka kufuatia...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Tiketi za elektroniki zazua balaa
10 years ago
BBCSwahili05 Jun
Fedha zilizolipwa FIFA zazua balaa
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aMLkUWs6eSM1SLtTmPqjcIoGa5bgf6gTc4bQahcM-pwik8IthUGIq-B5QTn0wuCACgG1kgbAf7oinCJARfaAqhTq5J3Bwm3I/Tajiriii.jpg?width=650)
TAJIRI AFA, MALI ZAZUA BALAA!
10 years ago
Mtanzania26 Aug
Bunge la Katiba: Posho zazua balaa
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
Na Fredy Azzah, Dodoma
WAKATI vikao vya Kamati za Bunge Maalumu la Katiba vikiendelea mjini hapa, kundi la wajumbe wa Bunge hilo limeibuka na kulalamikia hatua ya kutolipwa posho za kujikimu.
Kutokana na hali hiyo wajumbe hao ambao hawakuwa tayari kutajwa majina yao gazetini, wamedai wamekuwa wakiishi maisha ya tabu hali inayochangiwa na Ofisi ya Bunge Maalumu kushindwa kuwalipa posho za siku 11...
10 years ago
CloudsFM11 Feb
Picha za mahaba za Nay Wa Mitego zazua balaa, ‘mkewe’ aondoka na mtoto nyumbani
Zile picha za mahaba za msanii wa Hip Hop Bongo,Nay Wa Mitego akiwa na msichana kitandani zimezua balaa kwa mama mtoto wake Siwema Edson ambaye baada ya kuziona aliamua kumchukua mtoto wake na kuondoka nyumbani kwa msanii huyo maeneo ya Kimara,jijini Dar.
Siwema akizungumza na Soudy Brown kupitia Uheard alisema kuwa alipata mshtuko mkubwa sana baada ya kuziona picha hizo ambapo aliamua kuondoka nyumbani na mtoto wake mdogo.
‘’Kiukweli zile picha zilinishtua sana nilimuuliza Nay akaniambia ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBuS38NfMJ6mj2tf-eBIWaptlG0HPBqcNFOI5tz-EgjoHiM-0l-VaXrtMrL8MwCpWdrqDhYJ5j0HL5P5WU9AJ0z-/111.jpg?width=650)
THAMANI MJENGO WA DIAMOND BALAA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsuldN9iXdTrbMltll7pBc8byCl7q51FsFe1qHeE5wyznffuiSfwdrIXQgKkmVu4r2RTNuTrdczGkGhBQXNQh1diL/LINAH.jpg)
LINAH, DIAMOND BALAA MWANZA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4t8Bu5s6lgQYSqI9AVA6qKVeoYGclAPTZJNDPe63KIPbvNnjLztso3SaxNlAe5-MmQPkK-KVm5XNNvZ6OlXRGnltbrc-wmQF/diamond.jpg)
MTUNGO WA ZARI BALAA! DIAMOND NI WA 13!
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Diamond azua balaa Ujerumani