Fedha zilizolipwa FIFA zazua balaa
Barua inayosemekana iliandikwa na rais wa shirikisho la soka nchini Afrika kusini, Danny Jordaan, inaongeza uzito wa shutuma kwamba serikali ya hiyo ilificha malipo ya dola milioni kumi kwa FIFA .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Tiketi za elektroniki zazua balaa
11 years ago
GPL
TUZO ZA DIAMOND ZAZUA BALAA!
11 years ago
Mtanzania26 Aug
Bunge la Katiba: Posho zazua balaa

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
Na Fredy Azzah, Dodoma
WAKATI vikao vya Kamati za Bunge Maalumu la Katiba vikiendelea mjini hapa, kundi la wajumbe wa Bunge hilo limeibuka na kulalamikia hatua ya kutolipwa posho za kujikimu.
Kutokana na hali hiyo wajumbe hao ambao hawakuwa tayari kutajwa majina yao gazetini, wamedai wamekuwa wakiishi maisha ya tabu hali inayochangiwa na Ofisi ya Bunge Maalumu kushindwa kuwalipa posho za siku 11...
10 years ago
GPL
TAJIRI AFA, MALI ZAZUA BALAA!
10 years ago
CloudsFM11 Feb
Picha za mahaba za Nay Wa Mitego zazua balaa, ‘mkewe’ aondoka na mtoto nyumbani
Zile picha za mahaba za msanii wa Hip Hop Bongo,Nay Wa Mitego akiwa na msichana kitandani zimezua balaa kwa mama mtoto wake Siwema Edson ambaye baada ya kuziona aliamua kumchukua mtoto wake na kuondoka nyumbani kwa msanii huyo maeneo ya Kimara,jijini Dar.
Siwema akizungumza na Soudy Brown kupitia Uheard alisema kuwa alipata mshtuko mkubwa sana baada ya kuziona picha hizo ambapo aliamua kuondoka nyumbani na mtoto wake mdogo.
‘’Kiukweli zile picha zilinishtua sana nilimuuliza Nay akaniambia ni...
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Fifa kuipa fedha TFF
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Fedha za Fifa kujenga maduka TFF
10 years ago
StarTV06 Jun
Mbeki ndiye aliyetoa fedha kwa FIFA.
Waziri wa michezo wa Afrika Kusini , Fikile Mbalula, sasa anasema rais wa zamani wa Afrika kusini Thabo Mbeki ndie aliyeruhusu ulipwaji wa fedha ,dola milioni 10 kwa FIFA , hela ambayo sasa inakumbwa na madai kwamba ilikuwa rushwa .
Utawala wa Afrika Kusini umekuwa ukisisitiza kwamba ulikuwa ni mchango wa kusaidia kukuza soka katika nchi za Caribbean.
Lakini waendesha mashtaka wa Marekani wanadai ilikuwa hongo, iliyoshawishi kupewa uenyeji wa kombe la dunia mwaka 2010 .
Bwana Mbeki mwenyewe...
10 years ago
BBCSwahili05 Jun
Waziri:Mbeki ndiye aliyetoa fedha kwa FIFA