Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbeki ndiye aliyetoa fedha kwa FIFA.

Waziri wa michezo wa Afrika Kusini , Fikile Mbalula, sasa anasema rais wa zamani wa Afrika kusini Thabo Mbeki ndie aliyeruhusu ulipwaji wa fedha ,dola milioni 10 kwa FIFA , hela ambayo sasa inakumbwa na madai kwamba ilikuwa rushwa .

Utawala wa Afrika Kusini umekuwa ukisisitiza kwamba ulikuwa ni mchango wa kusaidia kukuza soka katika nchi za Caribbean.

Lakini waendesha mashtaka wa Marekani wanadai ilikuwa hongo, iliyoshawishi kupewa uenyeji wa kombe la dunia mwaka 2010 .

Bwana Mbeki mwenyewe...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Waziri:Mbeki ndiye aliyetoa fedha kwa FIFA

Rais wa zamani wa Afrika kusini Thabo Mbeki ndie aliyeruhusu ulipwaji wa fedha ,dola milioni 10 kwa FIFA ,fedha zilizozua utata

 

10 years ago

GPL

KUMBE ASKARI MAGEREZA NDIYE ALIYETOA MAFUNZO

Na Makongoro  OGING’ Kuna taarifa kwamba kumbe askari magereza mstaafu wa Gereza la Dondwe,Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani (jina linahifadhiwa) anadaiwa kuhusika katika zoezi nzima la utoaji wa mafunzo ya kijeshi kwa watu waliovamia Kituo cha Polisi Stakishari jijini Dar es Salaam Julai 12,mwaka huu.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Dpfvs8 ...

 

10 years ago

GPL

SAKATA LA FIFA, THABO MBEKI AHUSISHWA NA TUHUMA ZA RUSHWA

Rais wa zamani wa Afrika kusini, Thabo Mbeki. Waziri wa Michezo wa Afrika Kusini, Fikile Mbalula, amesema rais wa zamani wa Afrika kusini, Thabo Mbeki, ndiye aliyeruhusu ulipwaji wa dola milioni 10 kwa FIFA, hela ambazo sasa zinadaiwa zilikuwa rushwa. Serikali ya Afrika Kusini imekuwa ikisisitiza kwamba fedha hizo zilikuwa ni sehemu ya mchango wa kusaidia kukuza soka katika nchi za Caribbean lakini waendesha mashtaka wa Marekani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Blazer ndiye aliyedukua mikutano ya FIFA

Aliyekuwa afisa wa kamati kuu ya FIFA Chuck Blazer ndiye aliyekuwa akishirikianana FBI kuchunguza FIFA kisiri kati ya 1997-2013.

 

9 years ago

Global Publishers

Aliyetoa siri ya Muhimbili kwa Magufuli, mazito yaibuka

HANDAKI
Chacha Makenge.

NA MWANDISHI WETU, Uwazi
DAR ES SALAAM: Yule mgonjwa anayeaminika ndiye aliyetoa siri ya kuharibika kwa mashine za CT Scan na MRI Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa Rais Dk. John Magufuli na wiki iliyopita kudai amelazwa chini, Chacha Makenge, amesababisha mapya kuibuka.

Wakizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, maofisa uhusiano wa Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (Moi), Frank Matua na Patrick Mvungi kwa nyakati tofauti, walisema kuwa, mgonjwa huyo hakuwa...

 

9 years ago

Global Publishers

Aliyetoa siri ya Muhimbili kwa Magufuli alazwa chini

IMG-20151227-WA0001
Chacha Makenge akiwa amelazwa chini kwenye hospitali ya Muhimbili.

Chande Abdallah na Deogratius Mongela, UWAZI
DAR ES SALAAM: Yule mgonjwa aliyeibua ubovu wa mtambo ya CT Scan na mashine ya MRI kwa Rais John Pombe Magufuli, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar, Chacha Makenge (pichani)amekutwa na Uwazi akiwa amelala sakafuni wodini.

Desemba 25, mwaka huu, Uwazi lilifika hospitalini hapo Jengo la Sewa Haji wodi namba 18 na kumshuhudia Chacha amelalia mashuka aliyoyatandika chini huku...

 

10 years ago

GPL

HUYU NDIYE ALIYEMPA ZARI JEURI YA FEDHA

  Kibosile  Ivan Ssemwanga akiwa na  ‘Zari’. Makala : Hashim Aziz na mitandao Umaarufu wa msanii wa…

 

9 years ago

Mtanzania

Mitt Romney ; Gavana wa Marekani aliyetoa hotuba darasa kwa magufuli na Lowassa.

mitt romneyNa Michael Maurus kwa msaada wa mitandao

GAVANA wa 70 wa Marekani, Mitt Romney, aliwahi kutoa hotuba ya aina yake kuelekea Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo mwaka 2012, ambayo hadi leo imebaki kuwa darasa tosha kwa wanaojitokeza kuwania uongozi.

Kwa hapa Tanzania, hotuba hiyo inaweza ikawa somo kwa wale wote waliojitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kama John Maguli, Edward Lowassa, Anna Mghwira na wengineo wanaowania urais.

Wakati Magufuli akiwania nafasi hiyo kupitia Chama Cha Mapinduzi...

 

9 years ago

Bongo5

Thiery Henry ndiye mchambuzi wa soka kwenye TV anayelipwa fedha nyingi zaidi UK

1DA5076200000578-3361435-image-a-63_1450207906418

Mchezaji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Thiery Henry ndiye mchambuzi wa soka anayelipwa fedha nyingi zaidi nchini Uingereza.

1DA5076200000578-3361435-image-a-63_1450207906418

Sky Sport wanamlipa pauni milioni nne kila mwaka katika mkataba wake wa miaka sita.

Pamoja na kuwa nao, mkataba wake unamruhusu kufanya kazi hiyo na vituo vya runinga vingine.

Tayari imefahamika kuwa BBC Sport wanatarajia kumtangaza kama mchambuzi wao wa European Championship.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani