LINAH, DIAMOND BALAA MWANZA
![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsuldN9iXdTrbMltll7pBc8byCl7q51FsFe1qHeE5wyznffuiSfwdrIXQgKkmVu4r2RTNuTrdczGkGhBQXNQh1diL/LINAH.jpg)
Stori: Musa Mateja UZINDUZI wa Serengeti Fiesta 2014 juzikati ulirindima baada ya msanii wa kizazi kipya anayefanya poa kwa sasa Estelina Sanga ‘Linah’, kufanya balaa wakati wakiimba wimbo walioshirikiana na mkali Nasib Abdul ‘Diamond’ jukwaani. Wasanii wa muziki wa kizazi kipya Estelina Sanga ‘Linah’ na Nasib Abdul ‘Diamond’ wakicheza kwa pamoja katika uzinduzi wa Serengeti...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Mafuriko yaleta balaa Mwanza
Baadhi ya wakazi wa Kata ya Mbugani, Mtaa wa Mbugani A na B wameathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha jana kwa saa nne.
11 years ago
GPL23 Jun
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UZ8UQ2FXhhOS1rFqEM1sDp7HUEq3KOfQ7LUHSaO0Cr82*RBHfoRi1shapz3kSiyO54Xq3xxtee2ezLCA9uuohYqHyuUMPATx/mama.jpg?width=650)
TUZO ZA DIAMOND ZAZUA BALAA!
Stori: Musa Mateja
ZILE tuzo saba alizotwaa nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwenye mkesha wa Jumapili iliyopita ndani ya Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam zimezua balaa! Ni balaa gani hilo? Risasi Jumatano linakumegea. Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akipokea tuzo kutoka kwa Wema Sepetu. Kwa mujibu wa chanzo makini, baadhi ya ndugu wa Diamond walicharuka kufuatia...
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Diamond azua balaa Ujerumani
Mwanamuziki Diamond Platinum juzi alizua kizaazaa baada ya vurugu kubwa kutokea nchini Ujerumani na kuvuruga tamasha ambalo alitakiwa kutumbuiza, lakini meneja wake amesema tukio hilo litasaidia kumtangaza zaidi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBuS38NfMJ6mj2tf-eBIWaptlG0HPBqcNFOI5tz-EgjoHiM-0l-VaXrtMrL8MwCpWdrqDhYJ5j0HL5P5WU9AJ0z-/111.jpg?width=650)
THAMANI MJENGO WA DIAMOND BALAA
Mwandishi Wetu
KUKAMILIKA kwa mjengo wa Staa wa Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ndiyo habari ya mjini kwa sasa ambapo gumzo zaidi ni kuhusu gharama halisi huku mkandarasi mmoja akikisia kuwa si chini ya sh. mil. 400, Risasi Mchanganyiko linakupa stori kamili. Mjengo wa Staa wa Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ Madale nje kidogo ya Jiji la Dar. Mjengo huo wa Diamond uliopo maeneo ya Madale nje kidogo ya Jiji...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4t8Bu5s6lgQYSqI9AVA6qKVeoYGclAPTZJNDPe63KIPbvNnjLztso3SaxNlAe5-MmQPkK-KVm5XNNvZ6OlXRGnltbrc-wmQF/diamond.jpg)
MTUNGO WA ZARI BALAA! DIAMOND NI WA 13!
Stori: Sifael Paul
Ingawa mwenyewe amekuwa akikanusha kila kukicha, mrembo tajiri mwenye maskani yake nchi jirani ya Uganda na Afrika Kusini, Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady, anadaiwa kuwa na mtungo mrefu wa wanaume ambapo kama ni kweli anatoka na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ basi jamaa huyo atakuwa anashika nambari 13. Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NMi-i9YMItg/VV9d9qw4D_I/AAAAAAAHZQI/hcWPmzrbEgU/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
DIAMOND PLATINUMZ ATUA JIJINI MWANZA KWA KISHINDO LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-NMi-i9YMItg/VV9d9qw4D_I/AAAAAAAHZQI/hcWPmzrbEgU/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CDDDWp5EwkA/VV9d7n2EGPI/AAAAAAAHZPk/cAn2MPcEp_M/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_geLF9fMR0U/VV9d8p2fADI/AAAAAAAHZQE/gxhUzRSLGQ0/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yQPNJvYFfpY/VV9d8uKNaVI/AAAAAAAHZPw/I8Kta5SAT5o/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania