Mafuriko yaleta balaa Mwanza
Baadhi ya wakazi wa Kata ya Mbugani, Mtaa wa Mbugani A na B wameathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha jana kwa saa nne.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Mafuriko yaleta uharibifu Uingereza
Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron,amesema kuwa pesa sio hoja wakati huu ambapo maelfu wanahitaji msaada wa dharura
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
Mafuriko yaleta maafa Burundi
Zaidi ya watu 50 wanahofiwa kufariki nchini Burundi baada ya kusombwa na maji pamoja na maporomoko ya udongo.
10 years ago
BBCSwahili30 Mar
DRC :Mafuriko yaleta hasara kubwa Kivu
Familia nyingi zimesalia bila makao baada ya mafuriko kubomoa nyumba zaidi ya 100 katika tarafa ya Fizi Kivu kusini Jamhuri ya Congo.
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-1oH0fipr5HI/U1dfc156JWI/AAAAAAAAi-M/556a3zvOXJU/s1600/IMG-20140423-WA0015.jpg)
MAFURIKO YALETA MAAFA KYELA, WAZIRI MWAKYEMBE ATUA HUKO
Mbunge wa Kyela Dr. Mwakyembe akikagua Barabara iendayo Bandari ya Kiwira Muda huu  Baadhi ya watu wakigangaika kupita juu ya maji hayo yaliyotokana na Mafuriko…
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--G-UxeZKS1U/Vh-mBOv2hcI/AAAAAAAAhyw/E1ac5HbwUUw/s72-c/dar%2Bcoca%2B1.jpg)
COKE STUDIO YALETA BURUDANI DAR, MWANZA, ARUSHA NA MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/--G-UxeZKS1U/Vh-mBOv2hcI/AAAAAAAAhyw/E1ac5HbwUUw/s640/dar%2Bcoca%2B1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsuldN9iXdTrbMltll7pBc8byCl7q51FsFe1qHeE5wyznffuiSfwdrIXQgKkmVu4r2RTNuTrdczGkGhBQXNQh1diL/LINAH.jpg)
LINAH, DIAMOND BALAA MWANZA
Stori: Musa Mateja UZINDUZI wa Serengeti Fiesta 2014 juzikati ulirindima baada ya msanii wa kizazi kipya anayefanya poa kwa sasa Estelina Sanga ‘Linah’, kufanya balaa wakati wakiimba wimbo walioshirikiana na mkali Nasib Abdul ‘Diamond’ jukwaani. Wasanii wa muziki wa kizazi kipya Estelina Sanga ‘Linah’ na Nasib Abdul ‘Diamond’ wakicheza kwa pamoja katika uzinduzi wa Serengeti...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jNrZ7iSqItZIXe4nzqziBEiSVoTsbpjjNom1zGYAW9u72OL*LqmCjLFl*DHc6XL1YICV2LxdfYNx6czt7SRhzuG6ukteQb*r/IMG20141202WA0009.jpg?width=650)
MVUA ILIYONYESHA JIJINI MWANZA YASABABISHA MAFURIKO
Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji baada ya mafuriko hayo kutokea. Maji yakiwa yamefurika katika moja ya mtaa ya Jiji la Mwanza.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo78BQXgSTXc9cu5ODlXk6BR-AcEKHA4UemVAzD1FyTqyxV9nZyJ5q7GmewZdl8Q6GiWVo7JoIts*a7ZIb2sLXXW/IMG20150421WA0036.jpg?width=650)
MVUA KUBWA YASABABISHA MAFURIKO JIJINI MWANZA
Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji baada ya mvua kubwa kunyesha jijini Mwanza. Mvua kubwa imenyesha jijini Mwanza kwa saa tatu na kusababisha mafuriko katika baadhi ya maeneo ya jiji hilo hasa sehemu za Mabatini na kusababisha nyumba nyingi kujaa maji. Mvua hiyo pia imesababisha hasara kubwa ya uharibifu wa mali huku…
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--jKlLH1xww0/VjcLzW-us_I/AAAAAAAAHfs/sY3ZaeErRfk/s72-c/1.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WATAABIKA NA MAFURIKO KUTOKANA NA MVUA INAYOENDELEA KUNYESHA.
![](http://2.bp.blogspot.com/--jKlLH1xww0/VjcLzW-us_I/AAAAAAAAHfs/sY3ZaeErRfk/s640/1.jpg)
Pichani ni mmoja wa wakazi wa Kilimahewa akitoa maji ndani ya nyumba yake kutokana na mvua iliyoanza kunyesha majira ya saa kumi na mbili alfajiri hii leo. Hadi tunaenda hewani (saa 10:30 asubuhi) Mvua hiyo inaendelea kumiminika mdogomdogo.
Picha na Loyce NhalukeMbali na Kilimahewa, Pia wakazi wa Mabatini Jijini Mwanza hukumbwa na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania