Mafuriko yaleta maafa Burundi
Zaidi ya watu 50 wanahofiwa kufariki nchini Burundi baada ya kusombwa na maji pamoja na maporomoko ya udongo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MAFURIKO YALETA MAAFA KYELA, WAZIRI MWAKYEMBE ATUA HUKO
Mbunge wa Kyela Dr. Mwakyembe akikagua Barabara iendayo Bandari ya Kiwira Muda huu  Baadhi ya watu wakigangaika kupita juu ya maji hayo yaliyotokana na Mafuriko…
5 years ago
Michuzi
KAMATI YA USIMAMIZI MAAFA KILOMBERO YATAKIWA KUFANYA TATHMINI YA ATHARI ZA MAAFA YA MAFURIKO

Kufuatia Kaya 250 katika kata ya Msolwa Stesheni katika kijiji cha Nyange Wilayani Kilombero...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mvua yaleta maafa
Mvua kubwa iliyonyesha juzi katika Kijiji cha Kasense, imesababisha hasara ya Sh88 milioni, baada ya kuharibu nyumba mbalimbali zikiwamo za wanakijiji, taasisi na nyumba za ibada, likiwapo Kanisa Katoliki.
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Mvua yaleta maafa Angola
Watu 60 wakiwemo watoto 35 wamefariki dunia kufuatia mvua nyingi iliyonyesha nchini Angola.
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Mvua yaleta maafa Msumbiji
Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Msumbiji zimesababisha maafa makubwa ambapo watu kadhaa wamefariki na wengine kupoteza makazi yao.
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Mvua yaleta maafa Lugoba
MVUA iliyoambata na upepo mkali iliyonyesha hivi karibuni imeezua nyumba zaidi ya 150, huku kati ya hizo kuta zake zikiwa zimeanguka na kuwafanya wahanga wa tukio hilo kutafuta msaada wa...
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Mvua yaleta maafa, yaezua nyumba 83 Meatu
>Kaya 83 zimeezuliwa kutokana na mvua ya mawe iliyoambatana na upepo mkali, huku takriban ekari 15 za mazao mbalimbali zikiharibiwa.
10 years ago
GPL
MVUA YALETA MAAFA MAKUBWA WILAYANI KAHAMA, SHINYANGA
Watu 35 wamefariki dunia na wengine 55 wamejeruhiwa baada ya kuangukiwa na nyumba zao kufuatia mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha usiku wa kuamkia leo, kata ya Mwakata, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga. (CHANZO: RADIO1 STEREO)
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Mafuriko yaleta balaa Mwanza
Baadhi ya wakazi wa Kata ya Mbugani, Mtaa wa Mbugani A na B wameathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha jana kwa saa nne.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania