MAFURIKO YALETA MAAFA KYELA, WAZIRI MWAKYEMBE ATUA HUKO
Mbunge wa Kyela Dr. Mwakyembe akikagua Barabara iendayo Bandari ya Kiwira Muda huu  Baadhi ya watu wakigangaika kupita juu ya maji hayo yaliyotokana na Mafuriko…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
Mafuriko yaleta maafa Burundi
5 years ago
MichuziKAMATI YA USIMAMIZI MAAFA KILOMBERO YATAKIWA KUFANYA TATHMINI YA ATHARI ZA MAAFA YA MAFURIKO
Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Nyange, wilayani Kilombero, wakitoa vifaa vyao kwenye makazi yao yaliyozingirwa na maji kutokana na athari ya maafa ya mafuriko. Jumla ya Kaya 250 zilizokuwa zimezingirwa na maji zimeokolewa na kuhifadhiwa shule ya sekondari Nyange.
Kufuatia Kaya 250 katika kata ya Msolwa Stesheni katika kijiji cha Nyange Wilayani Kilombero...
10 years ago
Habarileo03 Aug
Kyela ni Mwakyembe tena
WAZIRI wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe ambaye pia ni Mbunge wa Kyela anayemaliza muda muda wake, ameshinda kura za maoni katika jimbo hilo akiwabwaga wagombea wenzake tisa waliojitokeza kuwania nafasi hiyo.
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mvua yaleta maafa
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Mvua yaleta maafa Lugoba
MVUA iliyoambata na upepo mkali iliyonyesha hivi karibuni imeezua nyumba zaidi ya 150, huku kati ya hizo kuta zake zikiwa zimeanguka na kuwafanya wahanga wa tukio hilo kutafuta msaada wa...
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Mvua yaleta maafa Angola
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Mvua yaleta maafa Msumbiji
11 years ago
Mwananchi24 Apr
Mafuriko yaua Kyela
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Mvua yaleta maafa, yaezua nyumba 83 Meatu