MAGUFULI AZUA KIZAAZAA MORO
![](http://api.ning.com:80/files/pauKaB96wETMAAdnMwF-hXW87yNwf7pPw8AeDPPfqXwL3szifq5TnsMuxcPq3LksCgiJeapp-saty9*NyLdbwljW6tPHCR-i/FrontIjumaa.jpg?width=650)
Makarani na mahakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Morogoro wakifanya usafi katika ofisi za mahakama hiyo sanjari na kupanga mafaili vizuri. Dustan Shekidele, MORO HAPA kazi tu! Zile ziara za kushtukiza (bila taarifa) zinazofanywa na Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano za Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ zimezua kizaazaa mjini hapa, hususan katika Mahakama ya Mwanzo ya Morogoro. Karani akiwa amevalia kanga wakati...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Magufuli.jpg)
YALIYOMO KWENYE GAZETI LA IJUMAA: MAGUFULI AZUA KIZAAZAA MORO
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyVuOup53NdzxQA7IMpZSUEYAtJaaYZd3y71yCnipk3RT51lwm2IDD*HLTyxARBc1tMTUxd5ivUKtGJX*yEbZBDh/diamond.jpg?width=650)
DIAMOND AZUA KIZAAZAA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNXcnVqa-rsxNwnc-zFOT4nZ9cFkN2xSVkcoVBEODGEo2qLiwGktKLHtuZV2BDYgLEP2WFjVBV5cD1Y4Ua6y2aAs/wema.jpg)
WEMA AZUA KIZAAZAA CHINA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DQ7qZAeEmlrhYtm8z91Y6QJRZkPMYLoglH3W3ynPsZ8jjBzNrOOq0be5symOe-o9He7m5WplOykHNEML51J9sT1/wolper.gif?width=650)
WOLPER AZUA KIZAAZAA FREEMASON
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1lp73GxRT8bjYRXMjl943f0JsgDB3kDPpZYH4-*Zk75vAfHnkUHPzuDE5bOUYgLVEewgJ6T*BOO513lCSFzE1nThW81koL5k/FRONT.gif?width=650)
ZARI AZUA KIZAAZAA MSIBANI
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Mtoto anayedaiwa kugeuka nyoka azua kizaazaa Geita
11 years ago
CloudsFM06 Jun
CHATU AZUA KIZAAZAA ARUSHA AINGIA KWENYE NYUMBA YA MTU AKUTWA AMEFUNGWA KITAMBAA CHEUPE
Wakazi wa eneo la Sakina mkoani Arusha siku ya jana walipatwa na mshtuko mkubwa baada ya kuona chatu akiwa anaingia ndani ya nyuma ya jirani yao huku akiwa amefungwa kitambaa kilichokuwa na maandishi mekundu yasiyoeleweka mkiani mwake.
Hiki ndicho kitambaa alichokutwa nacho chatu huyo.
Source:Arusha Yetu
9 years ago
Habarileo07 Sep
Dk Magufuli afunika Moro, ashusha neema
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, amesema Serikali atakayoiongoza itajenga viwanda vikubwa, vya kati na vidogo ili kuongeza ajira na mapato ya Serikali, huku akiwaahidi wakazi wa Morogoro kufufua viwanda vyao.
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Watu wawili wafa kwenye mkanyagano mkutano wa Magufuli Moro