Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YALIYOMO KWENYE GAZETI LA IJUMAA: MAGUFULI AZUA KIZAAZAA MORO

Ziara zake za kushtukiza... Magufuli azua kizaazaa Moro -Kimenuka, Maafisa wa Mahakama wahenyeshwa -Kweli hapa kazi tu! -Unataka kufahamu tukio zima lilikuwaje? Ray C arekodiwa Video ya X -Mwenyewe akiri -Afunguka ya moyoni kuhusu tukio hilo -Unataka kujua ilikuwaje, video hiyo nani kamrekodi na imesambaaje? Mke amfanyia mwanaye umafia -Amfungia ndani kwa saa tano usiku -Atokomea -Majirani wamuokoa mtoto -Unataka kufahamu ni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MAGUFULI AZUA KIZAAZAA MORO

Makarani na mahakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Morogoro wakifanya usafi katika ofisi za mahakama hiyo sanjari na kupanga mafaili vizuri. Dustan Shekidele, MORO HAPA kazi tu! Zile ziara za kushtukiza (bila taarifa) zinazofanywa na Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano za Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ zimezua kizaazaa mjini hapa, hususan katika Mahakama ya Mwanzo ya Morogoro. Karani akiwa amevalia kanga wakati...

 

9 years ago

GPL

YALIYOMO KWENYE GAZETI LA IJUMAA: JOKATE ANASA UJAUZITO!

Wakati Wema akihaha kusaka mtoto, Jokate anasa ujauzito! -Ashindwa kuhudhuria pati ya Wema -Unataka kumjua mwenye ‘mzigo’ huo? -Jokate anena na mazito na Ijumaa. Zari ammaindi mrembo aliyejichora tatuu ya Diamond -Je, unataka kumjua mrembo huyo ni nani? -Unataka kufahamu undani wake? Mme wa mtu afanya mambo ya aibu -Je, unataka kujua alichokifanya mbaba huyu, wapi na ilikuwaje? Dada wa Diamond afanyiwa kitu mbaya usiku -Ni...

 

9 years ago

GPL

YALIYOMO KWENYE GAZETI LA RISASI JUMATANO

Kisa kumchafulia jina mjini... Gwajima, Flora kumlipa mamilioni Mbasha! -Mwanasheria afunguka, aeleza mlolongo mzima -Ishu imewakalia vibaya JB alishwa sumu! -Unataka kufahamu tukio hilo lilivyomkuta JB? -Nini kimeendelea? Licha ya Kudai Hajazaa... Sajent Aumbuka -Anaswa live na mtoto -Abanwa, abaki kaduwaa -Mzazi mwenziye aingia mitini. Kupata undani wa haya na mengine mengi, usikose kusoma Gazeti la Risasi Jumatano. ...

 

9 years ago

GPL

YALIYOMO KWENYE GAZETI LA UWAZI, JUMANNE HII

Unyama wakutisha wafanyika Dar!! -Mke wa Mtu atembezwa mtupu mitaani, apigwa mawe, achomwa moto -Ni Baada ya mumewe kuuawa kikatili Polisi auawa akimwokoa bintiye -Ni kisa cha kusikitisha -Unataka kufahamu ilikuwaje? Kifo cha Mtikila chatikisa upya -Mapya yaibuka tena -Polisi yapewa mwezi mmoja kutoa majibu Njemba alipukiwa antena -Akatwa mkono -Unataka kujua kisa kamili? Kupata undani wa haya na mengine mengi, usikose kusoma...

 

9 years ago

GPL

YALIYOMO KWENYE GAZETI LA AMANI, ALHAMISI HII

LULU KUMRITHI ZARI KWA DIAMOND -Ni baada ya familia ya Diamond kukubali
-Lulu amsingizia Wema
-Diamond naye afunguka
-Unajua kisa ni nini? TB JOSHUA ASHINDWA KULALA NIGERIA MAGUFULI AKIAPISHWA
-Atua Bongo na wasaidizi 40
-Atoa neno zito kwa Watanzania AUNT AAPA; WEMA ATANIONA KWENYE KIFO
-Unajua chanzo cha kunena hayo?
-Mazito yaibuka, ni yapi hayo? PENZI LA RAY, CHUCHU CHALIIIIII!
-Johari meno 32 njeee
-Chuchu anena...

 

9 years ago

GPL

YALIYOMO KWENYE GAZETI LA UWAZI MIZENGWE: MWAKYEMBE WAZIRI MKUU

Mwakyembe Waziri Mkuu -Awabwaga akina Lukuvi, Prof. Muhongo, Makamba, Mwigulu na Ndugai -Utendaji kuwa wa mchaka mchaka -Wasomi mwazungumzia hali ya nchi itakavyokuwa Vita ya Usika... -Ukawa wajipenyeza CCM -Vuta ni kuvute bwaga nikubwage Muhimbili bado inahitaji Mashine zaidi Makala kemkem za kuelimisha na kusisimua Kwa haya na mengine mengi, soma Gazeti la Uwazi Mizengwe, Ijumaa hii. ...

 

11 years ago

CloudsFM

CHATU AZUA KIZAAZAA ARUSHA AINGIA KWENYE NYUMBA YA MTU AKUTWA AMEFUNGWA KITAMBAA CHEUPE

Wakazi wa eneo la Sakina mkoani Arusha siku ya jana walipatwa na mshtuko mkubwa baada ya kuona chatu akiwa anaingia ndani ya nyuma ya jirani yao huku akiwa amefungwa kitambaa kilichokuwa na maandishi mekundu yasiyoeleweka mkiani mwake.Hiki ndicho kitambaa alichokutwa nacho chatu huyo.Source:Arusha Yetu

 

9 years ago

GPL

DIAMOND AZUA KIZAAZAA!

Stori: Richard Bukos aliyekuwa Kagera UNAZI! Kundi kubwa la vijana wa kike na kiume, mwanzoni mwa wiki iliyopita walizua kizaazaa baada ya kumgombea kumuona kwa karibu na kutaka kuzungumza na mkali wa muziki wa Kizazi Kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ mara baada ya kumaliza kutumbuiza katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli uliofanyika katika Viwanja vya Gymkhana mjini...

 

10 years ago

GPL

ZARI AZUA KIZAAZAA MSIBANI

Dustan Shekidele, Morogoro
Kazi ipo! Mwandani wa staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari’ juzikati alizua kizaazaa kisa ujauzito alipohudhuria kwenye msiba wa aliyekuwa bosi wa Tip Top Connection, Abdul Taletale ‘Abdul Bonge’ aliyefariki dunia ghafla wikiendi iliyopita. Mwandani wa staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani