BALOZI KAMALA AKUTANA NA WAJUMBE WA KAMATI YA MISAADA NA MIKOPO YA FINEXPO YA SERIKALI YA UBELIGIJI
Balozi WA Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Misaada na Mikopo ya FINEXPO ya Serikali ya Ubeligiji baada ya kumaliza kikao nao ofisini kwao Brussels leo. Balozi Kamala ameshauriana nao kuhusu miradi mbalimbali ya Tanzania inayoweza kufadhiliwa na Kamati ya FINEXPO.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA WATANZANIA WANAOSOMA VYUO VIKUU VYA UBELIGIJI
.jpg)
11 years ago
Michuzi
BALOZI KAMALA ASHUKURU BENKI YA MAENDELEO YA ULAYA KWA MIKOPO NA MISAADA INAYOITOA KWA NCHI ZA AFRIKA, KARIBIANI NA PASIFIKI (ACP)

Kamati ya Mabalozi wa nchi za ACP leo imekutana na Uongozi wa Benki ya Maendeleo ya Ulaya, Luxembourg...
10 years ago
Michuzi
BALOZI KAMALA AKARIBISHWA JIJINI WETTEREN UBELIGIJI

10 years ago
Michuzi.jpg)
BALOZI KAMALA AITANGAZA TANZANIA WETTEREN UBELIGIJI
.jpg)
.jpg)
9 years ago
Michuzi
BALOZI KAMALA AAGANA VIONGOZI WA TAASISI YA WAFANYABIASHARA YA UBELIGIJI

11 years ago
Michuzi.jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA WAZIRI WA UCHUMI NA BIASHARA WA SERIKALI YA BRUSSELS
.jpg)
11 years ago
Michuzi.jpg)
KIONGOZI MKUU WA SERIKALI YA JIMBO LA FLANDERS LA UBELGIJI AKUTANA NA BALOZI KAMALA
.jpg)
10 years ago
Michuzi.jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA SERIKALI YA WABELGIJI WANAOZUNGUMZA KIJERUMANI
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi
BALOZI KAMALA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KONGAMANO LA KIMAITAIFA LA BIASHARA UBELIGIJI
Balozi wa Tanzania Ubeligiji, Laxembourg na Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (wa kwanza kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Kutoka Nchi Mbamlimbali Duniani Baada ya Ufunguzi Rasmi wa Kongamano la Biashara la Kimataifa linalofanyika Genval Ubeligiji. Makampuni zaidi ya 500 yakiwemo hamsini kutoka Tanzania yanashiriki Kongamano hilo.
Makampuni hapo yanatoka nchi zinazozungumza kifaransa. Tanzania ni nchi pekee inayozungumza kingereza iliyokaribishwa kushiriki....
Makampuni hapo yanatoka nchi zinazozungumza kifaransa. Tanzania ni nchi pekee inayozungumza kingereza iliyokaribishwa kushiriki....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania