BALOZI KAMALA AKUTANA NA WATANZANIA WANAOSOMA VYUO VIKUU VYA UBELIGIJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-dhBare4jg88/VEMRIGhp3OI/AAAAAAAGrz8/92Yqi3PLTcY/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Balozi wa Tanzania Ubeligiji (mwenye tai) akiwa katika picha ya pamoja na Watanzania wanaosoma kwenye vyuo vikuu vya Ubeligiji . Balozi Kamala kakutana na Watanzania hao Jumamosi jijini Brussels kuzungumzia maswala mbalimbali ikiwemo masomo na changamoto zake pamoja na maendeleo ya nyumbani Tanzania.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TGmwm-59maQ/Uu0oc5wUA_I/AAAAAAAFKIQ/-lAB0xXlVNM/s72-c/unnamed+(67).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA WATANZANIA WANAOSOMA VYUO VIKUU VYA UBELGIJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-TGmwm-59maQ/Uu0oc5wUA_I/AAAAAAAFKIQ/-lAB0xXlVNM/s1600/unnamed+(67).jpg)
10 years ago
MichuziBALOZI KAMALA AKUTANA NA WAJUMBE WA KAMATI YA MISAADA NA MIKOPO YA FINEXPO YA SERIKALI YA UBELIGIJI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-awbFc4vtGoM/U_TJXzs2JWI/AAAAAAAGA8g/ZQX7xu2_-oo/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Balozi Seif Ali Idd akutana na Uongozi wa Jumuiya Watanzania wanaosoma Nchini Korea ya Kusini { KOIKA }
Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma Nchini Korea ya Kusini { KOIKA } imejipanga kuwa kiunganishi kizuri cha wanataaluma wa Korea ya Kusini na wale wa Kitanzania kwa lengo la kudumisha uhusiano uliopo kati ya nchi mbili hizo.
Rais wa KOIKA aliyekuwa kinara wa Ujumbe wa Viongozi Wanne wa Jumuiya hiyo Ndugu Steven Katemba alieleza hayo wakati wa mazungumzo yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Nd. Steven...
Rais wa KOIKA aliyekuwa kinara wa Ujumbe wa Viongozi Wanne wa Jumuiya hiyo Ndugu Steven Katemba alieleza hayo wakati wa mazungumzo yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Nd. Steven...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OuSPVmp-01c/VJFheYIBSFI/AAAAAAAG3yo/jEfmO77hDM8/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
BALOZI KAMALA AITANGAZA TANZANIA WETTEREN UBELIGIJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-OuSPVmp-01c/VJFheYIBSFI/AAAAAAAG3yo/jEfmO77hDM8/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vduc5mPLJD0/VJFheRZuYuI/AAAAAAAG3yg/GzX63PHj8pc/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nuwBNiy-hhs/VJEchMK9fTI/AAAAAAAG3sg/TzH36uRVTdQ/s72-c/unnamed.jpg)
BALOZI KAMALA AKARIBISHWA JIJINI WETTEREN UBELIGIJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-nuwBNiy-hhs/VJEchMK9fTI/AAAAAAAG3sg/TzH36uRVTdQ/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DfH2af40-cI/VoLIvaIoPQI/AAAAAAAIPSo/y-RTYq4x0XY/s72-c/21764469-e493-479c-839b-790554c74e7b.jpg)
BALOZI KAMALA AAGANA VIONGOZI WA TAASISI YA WAFANYABIASHARA YA UBELIGIJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-DfH2af40-cI/VoLIvaIoPQI/AAAAAAAIPSo/y-RTYq4x0XY/s640/21764469-e493-479c-839b-790554c74e7b.jpg)
10 years ago
MichuziWATANZANIA WATAKIWA KUANGALIA UBORA WA ELIMU YA VYUO VIKUU VYA NJE NA SIO MAJIMA-MOLLEL
Na Mwandishi Wetu Watanzania wametakiwa kuangalia ubora elimu katika vyuo vya nje na sio kuangalia majina ya vyuo hivyo ili ukuweza kupata wataalamu wataosaidia nchi kupata maendeleo.
Hayo aliyasema jana,Mkurugenzi Mtendaji wa Global Education Link,Abdulmaliki Mollel katika maonesho ya Elimu ya Vyuo Vikuu vya Ndani na Nnje ya nchi yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Mollel amesema yeye akiwa wakala wa vyuo vikuu vya nje anatambua vyuo walivyoenda watanzania...
Hayo aliyasema jana,Mkurugenzi Mtendaji wa Global Education Link,Abdulmaliki Mollel katika maonesho ya Elimu ya Vyuo Vikuu vya Ndani na Nnje ya nchi yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Mollel amesema yeye akiwa wakala wa vyuo vikuu vya nje anatambua vyuo walivyoenda watanzania...
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TAMKO LA UONGOZI WA SERIKALI ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU DODOMA KULAANI KUHUSISHWA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA DODOMA NA KUMUOMBA MH. LOWASA KUGOMBEA URAIS.
Tamko la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Dodoma Kulaani Kuhusishwa Kwao Kumshawishi Lowassa Kuchukua Form ya Uraisi
Ndugu Waandishi wa habari, Tunapenda kutanguliza shukrani za dhati kwenu kwa kufika katika eneo hili kutusikiliza.Mbele yenu ni viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka Vyuo vikuu mbalimbali vilivyopo mkoani Dodoma.Ndugu waandishi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aNJx7ZwSEmY/VT-Re14OoUI/AAAAAAAHT2M/038Z7tI93UE/s72-c/2015-06-30%2B20.15.35.jpg)
BALOZI KAMALA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KONGAMANO LA KIMAITAIFA LA BIASHARA UBELIGIJI
Balozi wa Tanzania Ubeligiji, Laxembourg na Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (wa kwanza kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Kutoka Nchi Mbamlimbali Duniani Baada ya Ufunguzi Rasmi wa Kongamano la Biashara la Kimataifa linalofanyika Genval Ubeligiji. Makampuni zaidi ya 500 yakiwemo hamsini kutoka Tanzania yanashiriki Kongamano hilo.
Makampuni hapo yanatoka nchi zinazozungumza kifaransa. Tanzania ni nchi pekee inayozungumza kingereza iliyokaribishwa kushiriki....
Makampuni hapo yanatoka nchi zinazozungumza kifaransa. Tanzania ni nchi pekee inayozungumza kingereza iliyokaribishwa kushiriki....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania