Msitoe ardhi yenu kabla hamjalipwa fidia - Kinana
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewatahadharisha wananchi kuacha kutoa maeneo yao kabla hawajalipwa fidia pindi wanapoletewa miradi ya kupanua miji na halmashauri zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MAKALA YA SHERIA: NAMNA YA KUMDAI FIDIA ALIYEVUNJA MKATABA AU KUKIUKA MAKUBALIANO YENU

Kawaida unapokuwa umeingia katika mkataba au makubaliano katika jambo lolote lile kunakuwa na masharti ambayo unapaswa kuyatimiza au kutimiziwa. Na hapa nazungumzia mikataba yote uwe wa kuuza mbuzi au ule wa kujenga ghorofa mia, yote ni mikataba. Masharti hayo huwa ndio makubaliano yenyewe au twaweza kusema kuwa ndio mkataba wenyewe. Kila upande unawajibika juu ya utekelezaji wa masharti hayo. Yeyote anayefikia hatua ya kukiuka masharti hayo au hata kukiuka sharti moja tu,...
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Wakazi wa Kiwangwa ithaminini ardhi yenu
WAKATI Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, ikishika kasi ya maendeleo kutokana na upanuzi wa miundombinu, Kata Kiwangwa imejikuta ikiingia kwenye mgogoro wa uuzaji ardhi. Migogoro hiyo inatokana na wenyeji wa...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Mwekezaji aliyepokwa ardhi kudai fidia
BAADA ya Halmashauri ya wilaya ya Kilosa kuligawa eneo la mwekezaji Mees Estate Ltd kwa wanakijiji cha Mbigili, Kitongoji cha Mateteni kwa madai kuwa imefutiwa umiliki, uongozi wa mwekezaji huyo...
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Ashauri kubadili mfumo ulipaji fidia ya ardhi
9 years ago
Michuzi
MAKALA YA SHERIA: AINA ZA FIDIA UNAZOWEZA KULIPWA SERIKALI INAPOTWAA ARDHI YAKO.

1.FIDIA YA ARDHI NI NINI...Fidia ...
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Afrika Kusini yaonywa na Marekani kuhusu mpango wa kuchukua ardhi za wazungu bila fidia
10 years ago
Michuzi
MAKALA YA SHERIA: HAIRUHUSIWI SERIKALI YA MTAA KUGEUZA ARDHI YA MTU NJIA BILA KUMLIPA FIDIA

Kuna malalamiko katika baadhi ya maeneo na zaidi malalamiko haya yamekuwa yakielekezwa kwa mamlaka za serikali za mitaa. Nimewahi kuandika kuhusu ukiukaji wa taratibu mbalimbali ambao hufanywa na serikali za mitaa katika maeneo au ardhi za watu. Pia niliandika kuhusu upotoshi wa mamlaka za serikali za mitaa katika kuwaandalia watu mikataba ya mauzo ya ardhi wakati wakijua kuwa hawaruhusiwi kufanya hivyo jambo...
10 years ago
Vijimambo
KINANA ATAKA VIONGOZI KUWAJIBIKA KABLA YA KUWAJIBISHWA



10 years ago
Michuzi
MAADHIMISHO WIKI YA MAJI , MPIJI MAGOHE WATOA ARDHI BILA FIDIA KUPATA UMEME WA UHAKIKIA KWENYE CHANZO CHA MAJI

