Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi wa Kiwangwa ithaminini ardhi yenu

WAKATI Wilaya ya Bagamoyo  mkoani Pwani, ikishika kasi ya maendeleo kutokana na upanuzi wa miundombinu, Kata Kiwangwa imejikuta ikiingia kwenye mgogoro wa uuzaji ardhi.  Migogoro hiyo inatokana na wenyeji wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Hakuna mmiliki mgogoro wa ardhi Kiwangwa’

WAKATI mgogoro wa ardhi ya mwekezaji Ester Shayo iliyoporwa na Kombo Juma, anayedai amepewa na Rais Jakaya Kikwete ukiendelea, Mwenyekiti wa zamani wa Kijiji cha Kiwangwa, Salimu Adamu, amesema wote...

 

10 years ago

Mwananchi

Msitoe ardhi yenu kabla hamjalipwa fidia - Kinana

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewatahadharisha wananchi kuacha kutoa maeneo yao kabla hawajalipwa fidia pindi wanapoletewa miradi ya kupanua miji na halmashauri zao.

 

10 years ago

Michuzi

WAKAZI WA MLOGANZILA WAVAMIA WIZARA YA ARDHI

Wakazi wa Mloganzila wa Kata ya Kwembe  wilayani Kinondoni wakiwa katika Ofisi ya Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa ajili kudai fidia maeneo yalichukuliwa katika Mradi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili,jijini Dar es Salaam leo.  Mwenyekiti wa Kamati ya Kufatilia Madai  kwa  Wakazi  wa Mloganzila –Kwembe,Fedrick Schone akitoa malalamiko yao katika Ofisi za wizara ya  Nyumba na Maendeleo ya Makazi kushoto ni Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi...

 

9 years ago

Vijimambo

TANGAZO KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM KUHUSU UPOKEAJI WA MIGOGORO YA ARDHI

WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI INAPENDA KUWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA MHE. WAZIRI WA ARDHI ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI WENYE MIGOGORO INAYOHUSU ARDHI KATIKA MKOA WA DAR ES SALAAM TAREHE 22 – 23, SEPTEMBA, 2015 KUANZIA SAA 4.00 ASUBUHI MAKAO MAKUU YA WIZA RA. KATIKA TUKIO HILO, MNATAKIWA KUZINGATIA YAFUATAYO;-

1)    TAREHE 22 SEPTEMBA 2015 ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI KWA MANISPAA YA KINONDONI;

2)    TAREHE 23 SEPTEMBA 2015 ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI KWA MANISPAA...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wakazi wa Dar waridhishwa na utendaji wa Waziri Lukuvi katika kutatua migogoro ya ardhi

1

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake waliotaka kujua jinsi alivyoshughulikia migogoro ya Ardhi nchini.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi amekutana na wananchi wa Dar es salaam wenye Migogoro ya Ardhi na kufanikiwa kupokea Malalamiko yao Katika mkutano wa siku mbili wa tarehe 22 na 23, Septemba, 2015 katika Makao Makuu ya Wizara ya Ardhi. Wananchi wengi waliofika katika mkutano huo...

 

9 years ago

Michuzi

WAKAZI WA DAR ES SALAAM WARIDHISHWA NA UTENDAJI WA WAZIRI LUKUVI KATIKA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi amekutana na wananchi wa Dar es salaam wenye Migogoro ya Ardhi na  kupokea Malalamiko yao Katika mkutano wa siku mbili wa tarehe 22 na 23, Septemba, 2015 katika Makao Makuu ya Wizara ya Ardhi. 
Wananchi wengi waliofika katika mkutano huo walisifu jitihada za Waziri Lukuvi katika kushughulikia Migogoro ya Ardhi ambapo tarehe 22 Septemba 2015 alipokea Malalamiko ya Wananchi kwa Manispaa ya Kinondoni na tarehe 23 Septemba 2015...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani