TANGAZO KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM KUHUSU UPOKEAJI WA MIGOGORO YA ARDHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-RRgNyHfJA6M/VgAp7FXj9bI/AAAAAAAH6jY/G3hMtIVyscs/s72-c/tr.png)
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI INAPENDA KUWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA MHE. WAZIRI WA ARDHI ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI WENYE MIGOGORO INAYOHUSU ARDHI KATIKA MKOA WA DAR ES SALAAM TAREHE 22 – 23, SEPTEMBA, 2015 KUANZIA SAA 4.00 ASUBUHI MAKAO MAKUU YA WIZA RA. KATIKA TUKIO HILO, MNATAKIWA KUZINGATIA YAFUATAYO;-
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RRgNyHfJA6M/VgAp7FXj9bI/AAAAAAAH6jY/G3hMtIVyscs/s72-c/tr.png)
TANGAZO LA MIGOGORO YA ARDHI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-RRgNyHfJA6M/VgAp7FXj9bI/AAAAAAAH6jY/G3hMtIVyscs/s640/tr.png)
9 years ago
MichuziWAKAZI WA DAR ES SALAAM WARIDHISHWA NA UTENDAJI WA WAZIRI LUKUVI KATIKA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
Wananchi wengi waliofika katika mkutano huo walisifu jitihada za Waziri Lukuvi katika kushughulikia Migogoro ya Ardhi ambapo tarehe 22 Septemba 2015 alipokea Malalamiko ya Wananchi kwa Manispaa ya Kinondoni na tarehe 23 Septemba 2015...
9 years ago
Dewji Blog23 Sep
Mh.Lukuvi apambana na migogoro ya Ardhi kwa vitendo DAR ES SALAAM
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akiongea na wananchi wa Dar es salaam waliokuja kuwasilisha malalamiko yao kuhusu migogoro ya ardhi, kulia ni naibu wake Mhe. Angela kairuki na Kamishna wa Ardhi Msaidizi kanda ya Dar es salaam Methew Nhonge, kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Dkt. Selasie Mayunga na Kamishna wa Ardhi Tanzania Dkt. Moses Kusiluka
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akutana na wananchi wa Dar es salaam...
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Wakazi wa Dar waridhishwa na utendaji wa Waziri Lukuvi katika kutatua migogoro ya ardhi
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake waliotaka kujua jinsi alivyoshughulikia migogoro ya Ardhi nchini.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi amekutana na wananchi wa Dar es salaam wenye Migogoro ya Ardhi na kufanikiwa kupokea Malalamiko yao Katika mkutano wa siku mbili wa tarehe 22 na 23, Septemba, 2015 katika Makao Makuu ya Wizara ya Ardhi. Wananchi wengi waliofika katika mkutano huo...
9 years ago
VijimamboLUKUVI APAMBANA NA MIGOGORO YA ARDHI DAR ES SALAAM
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mqVcGHdqQSI/VgIwwd4vLUI/AAAAAAAH63Q/G9mCzFiyNPY/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
WAZIRI LUKUVI APAMBANA NA MIGOGORO YA ARDHI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-mqVcGHdqQSI/VgIwwd4vLUI/AAAAAAAH63Q/G9mCzFiyNPY/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h9fqWzXOUiE/XlKXNCQNiDI/AAAAAAAEFpY/WBtl9SIRsbAcoLsTs4lu7rnyVoYH_eYJQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-51-2048x1202.jpg)
UTATUZI MIGOGORO YA ARDHI DAR ES SALAAM WAMFIKISHA LUKUVI SAA NNE USIKU
![](https://1.bp.blogspot.com/-h9fqWzXOUiE/XlKXNCQNiDI/AAAAAAAEFpY/WBtl9SIRsbAcoLsTs4lu7rnyVoYH_eYJQCLcBGAsYHQ/s640/1-51-2048x1202.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza na wananchi wa Mabwepande waliofika ofisni kwake Dar es Salaam kwa ajili ya kutatua mgogoro wa ardhi kupitia program ya Funguka kwa Waziri jana tarehe 23 Februari 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-43-scaled.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza na wananchi wa Mabwepande waliofika ofisni kwake Dar es Salaam kwa ajili ya kutatua mgogoro wa ardhi kupitia program ya Funguka kwa Waziri jana tarehe 23 Februari 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3-43-scaled.jpg)
Sehemu ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Yhz06ZuNj0g/XlIcsM2eOUI/AAAAAAALe5Y/dsG-a4XA9kMjCWKrgE-9eg4ve9m6khWLgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
UTATUZI MIGOGORO YA ARDHI DAR ES SALAAM WAMFIKISHA LUKUVI SAA NNE USIKU OFISINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Yhz06ZuNj0g/XlIcsM2eOUI/AAAAAAALe5Y/dsG-a4XA9kMjCWKrgE-9eg4ve9m6khWLgCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_V8Unf7_f9g/XlIctVTCHSI/AAAAAAALe5c/OlXubw0xM1E291w3SYgZ1dS2Eg9r-h_HgCLcBGAsYHQ/s1600/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-hfQJDmKMhdE/XlIct8RCY0I/AAAAAAALe5g/RD4I9yP4hlE4-KQZowm6oAx5BxgPg2g5ACLcBGAsYHQ/s1600/3.jpg)
5 years ago
MichuziTUMESHERIA YAKABIDHI TAARIFA YA UTAFITI KUHUSU UTATUZI WA MIGOGORO YA ARDHI
TUME YA KUREKEBISHA SHERIA YAKABIDHI TAARIFA KUHUSU MAPITIO YA SHERIA ZINAZOSIMAMIA UTATUZI WA MIGOGORO YA ARDHI
Na Munir Shemweta, WANMM DODOMA
Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania imekabidhi Taarifa ya Mapitio ya Sheria Zinazosimammia Utatuzi wa Migogoro ya Ardhi nchini kwa Waziri wa Katiba ba Sheria Dkt Balozi Augustine Mahiga.
Taarifa hiyo imekabidhiwa kufuatia Tume ya Kurekebisha Sheria kufanya utafiti baada ya kupokea maelekezo ya Wizara ya Katiba na Sheria yakitaka kupitia Mfumo wa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10