WAZIRI LUKUVI APAMBANA NA MIGOGORO YA ARDHI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-mqVcGHdqQSI/VgIwwd4vLUI/AAAAAAAH63Q/G9mCzFiyNPY/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akutana na wananchi wa Dar es salaam na kupokea malalamiko ya migogoro inayohusu ardhi katika mkoa wa Dar es salaam tarehe 22 na 23, septemba, 2015 kuanzia saa 4.00 asubuhi makao makuu ya Wizara hiyo. Katika siku ya jana tarehe 22 septemba 2015 Mhe. Waziri amepokea malalamiko ya wananchi kwa manispaa ya Kinondoni na leo tarehe 23 septemba 2015 atapokea malalamiko ya wananchi kwa manispaa ya Temeke na Ilala. Waziri wa Ardhi,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboLUKUVI APAMBANA NA MIGOGORO YA ARDHI DAR ES SALAAM
9 years ago
Dewji Blog23 Sep
Mh.Lukuvi apambana na migogoro ya Ardhi kwa vitendo DAR ES SALAAM
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akiongea na wananchi wa Dar es salaam waliokuja kuwasilisha malalamiko yao kuhusu migogoro ya ardhi, kulia ni naibu wake Mhe. Angela kairuki na Kamishna wa Ardhi Msaidizi kanda ya Dar es salaam Methew Nhonge, kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Dkt. Selasie Mayunga na Kamishna wa Ardhi Tanzania Dkt. Moses Kusiluka
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akutana na wananchi wa Dar es salaam...
9 years ago
MichuziWAKAZI WA DAR ES SALAAM WARIDHISHWA NA UTENDAJI WA WAZIRI LUKUVI KATIKA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
Wananchi wengi waliofika katika mkutano huo walisifu jitihada za Waziri Lukuvi katika kushughulikia Migogoro ya Ardhi ambapo tarehe 22 Septemba 2015 alipokea Malalamiko ya Wananchi kwa Manispaa ya Kinondoni na tarehe 23 Septemba 2015...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h9fqWzXOUiE/XlKXNCQNiDI/AAAAAAAEFpY/WBtl9SIRsbAcoLsTs4lu7rnyVoYH_eYJQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-51-2048x1202.jpg)
UTATUZI MIGOGORO YA ARDHI DAR ES SALAAM WAMFIKISHA LUKUVI SAA NNE USIKU
![](https://1.bp.blogspot.com/-h9fqWzXOUiE/XlKXNCQNiDI/AAAAAAAEFpY/WBtl9SIRsbAcoLsTs4lu7rnyVoYH_eYJQCLcBGAsYHQ/s640/1-51-2048x1202.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza na wananchi wa Mabwepande waliofika ofisni kwake Dar es Salaam kwa ajili ya kutatua mgogoro wa ardhi kupitia program ya Funguka kwa Waziri jana tarehe 23 Februari 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-43-scaled.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza na wananchi wa Mabwepande waliofika ofisni kwake Dar es Salaam kwa ajili ya kutatua mgogoro wa ardhi kupitia program ya Funguka kwa Waziri jana tarehe 23 Februari 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3-43-scaled.jpg)
Sehemu ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Yhz06ZuNj0g/XlIcsM2eOUI/AAAAAAALe5Y/dsG-a4XA9kMjCWKrgE-9eg4ve9m6khWLgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
UTATUZI MIGOGORO YA ARDHI DAR ES SALAAM WAMFIKISHA LUKUVI SAA NNE USIKU OFISINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Yhz06ZuNj0g/XlIcsM2eOUI/AAAAAAALe5Y/dsG-a4XA9kMjCWKrgE-9eg4ve9m6khWLgCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_V8Unf7_f9g/XlIctVTCHSI/AAAAAAALe5c/OlXubw0xM1E291w3SYgZ1dS2Eg9r-h_HgCLcBGAsYHQ/s1600/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-hfQJDmKMhdE/XlIct8RCY0I/AAAAAAALe5g/RD4I9yP4hlE4-KQZowm6oAx5BxgPg2g5ACLcBGAsYHQ/s1600/3.jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Wakazi wa Dar waridhishwa na utendaji wa Waziri Lukuvi katika kutatua migogoro ya ardhi
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake waliotaka kujua jinsi alivyoshughulikia migogoro ya Ardhi nchini.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi amekutana na wananchi wa Dar es salaam wenye Migogoro ya Ardhi na kufanikiwa kupokea Malalamiko yao Katika mkutano wa siku mbili wa tarehe 22 na 23, Septemba, 2015 katika Makao Makuu ya Wizara ya Ardhi. Wananchi wengi waliofika katika mkutano huo...
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA ARDHI WILLIAM LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
...
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Ziara ya Waziri Lukuvi Mwanza kutatua migogoro ya ardhi
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi akisikiliza maelezo kutoka kwa Mh. Jaji Mfawidhi Makalamba alipokutana naye ofisini kwa Jaji huyo Jijini Mwanza ili kupata namna bora ambayo mhimili wa mahakama unaweza kusaidia kutatua migogoro ya ardhi nchini. Waziri Lukuvi yupo katika ziara ya kikazi Mkoani Mwanza yenye nia ya kusikiliza na kutatua migogoro ya ardhi.
Mh. Waziri William Lukuvi akizungumza na watendaji wa ardhi na Mipango Miji pamoja na Kamati ya...
10 years ago
Michuzi18 Jun
WAZIRI WILLIAM LUKUVI ATATUA MIGOGORO MIKUBWA YA ARDHI MKOANI LINDI
Katika ziara hiyo, Waziri Lukuvi amewaonya na kuwaagiza Maafisa ardhi, wapima na maafisa mipango miji kuacha mara moja kujinufaisha kwa kuwadhulumu wananchi haki zao za ardhi.
Aidha ameutaka Mkoa wa Lindi kuharakisha upimaji wa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10