WAKAZI WA MLOGANZILA WAVAMIA WIZARA YA ARDHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-gPNCayEy0aI/VT40n-xnaHI/AAAAAAAHTjI/Lo-ML2WkeB4/s72-c/DSC_0619.jpg)
Wakazi wa Mloganzila wa Kata ya Kwembe wilayani Kinondoni wakiwa katika Ofisi ya Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa ajili kudai fidia maeneo yalichukuliwa katika Mradi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili,jijini Dar es Salaam leo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kufatilia Madai kwa Wakazi wa Mloganzila –Kwembe,Fedrick Schone akitoa malalamiko yao katika Ofisi za wizara ya Nyumba na Maendeleo ya Makazi kushoto ni Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/hC7RHk48YQ0/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Wakazi Mloganzila wamkomalia Prof. Tibaijuka
WAKAZI wa Kwembe, Kisopwa na Mloganzila Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, wameandamana hadi Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakishinikiza kuonana na Waziri Profesa Anna Tibaijuka kudai...
9 years ago
Dewji Blog22 Sep
Wizara ya Ardhi yawatangazia umma kuwasilisha malalamiko ya mgogoro ya Ardhi mkoa wa Dar
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Lukuvi.
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI INAPENDA KUWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA MHE. WAZIRI WA ARDHI ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI WENYE MIGOGORO INAYOHUSU ARDHI KATIKA MKOA WA DAR ES SALAAM TAREHE 22 – 23, SEPTEMBA, 2015 KUANZIA SAA 4.00 ASUBUHI MAKAO MAKUU YA WIZARA. KATIKA TUKIO HILO, MNATAKIWA KUZINGATIA YAFUATAYO;-
1.TAREHE 22 SEPTEMBA 2015 ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI KWA MANISPAA YA KINONDONI;
2.TAREHE...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU, WIZARA YA ARDHI AFANYA JITIHADA KUBORESHA MABARAZA YA ARDHI NA NYUMBA YA WILAYA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-V6eb6zHvn3Q/VXcpDpSddjI/AAAAAAAHdcU/qlfmsP6FN7Q/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Makalla wataka wanasheria na watalaam wa ardhi kutoka wizara ya ardhi kufika haraka Mvomero
Makalla akiyasema hayo wakati wa Mkutano wake na wananchi hao leo kwenye kijiji cha Mkindo Bungoma ndani ya Jimbo hilo la Mvomero.
![](http://4.bp.blogspot.com/-V6eb6zHvn3Q/VXcpDpSddjI/AAAAAAAHdcU/qlfmsP6FN7Q/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Ujumbe wizara ya ardhi wafurahia utendaji wa Nchi ya Singapore namna ya utawala bora katika ardhi
Ujumbe wa Waziri wa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi umemaliza ziara yake nchini Singapore huku ukiwa umejifunza mambo muhimu ikiwemo kuwepo utawala wa sheria katika usimamizi wa ardhi, kutokuwepo rushwa, nidhamu na uaminifu mkubwa wa watumishi wa umma, jamii inayopenda kujitegemea na usalama wa hali ya juu. Yafuatayo ni matukio ya ziara hiyo kwenye Mamlaka ya Uendelezaji wa Mji wa Singapore(URA) kama yalivyoratibiwa na Muungano Saguya.
Ujumbe wa NHC...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-F8TU-QFj4Sk/VoKd1klhp-I/AAAAAAAIPOk/WkiY2Zas_ro/s72-c/100e1f06-adfb-411b-867d-1534d83922b8.jpg)
Naibu Waziri, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Angelline Mabula astukizia baraza la ardhi kinondoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-F8TU-QFj4Sk/VoKd1klhp-I/AAAAAAAIPOk/WkiY2Zas_ro/s640/100e1f06-adfb-411b-867d-1534d83922b8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9OTejzAZrYk/VoKd2oURfAI/AAAAAAAIPOo/xUJwh-Y8YSI/s640/614bcd92-6870-4c04-90bd-03cc7891e0ae.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Wakazi wa Kiwangwa ithaminini ardhi yenu
WAKATI Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, ikishika kasi ya maendeleo kutokana na upanuzi wa miundombinu, Kata Kiwangwa imejikuta ikiingia kwenye mgogoro wa uuzaji ardhi. Migogoro hiyo inatokana na wenyeji wa...
10 years ago
Mtanzania17 Jan
Lembeli: Tutasafisha Wizara ya Ardhi
Na Elizabeth Mjatta
IKIWA ni takriban wiki tatu tangu Rais Jakaya Kikwete amuondoe kazi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imesema itahakikisha viongozi wanaofanya vitendo vya kifisadi katika wizara hiyo wanaondolewa.
Kauli hiyo ilitolewa Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, James Lembeli, wakati wa ziara ya kukagua eneo la kituo cha huduma cha mfano kilichopo Luguluni eneo la Mbezi Luisi,...