Ongezeko la watu linaharibu mazingira Kinapa
ONGEZEKO la watu kuzunguka Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (Kinapa), limeathiri mazingira na kutishia kutoweka kwa msitu wa nusu maili. Hayo yamo kwenye taarifa ya Mhifadhi wa Kinapa, Erastus...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziONGEZEKO LA WATU HALINA ATHARI KIUCHUMI
Na. Saidina Msangi na Peter Haule, WFM, Dodoma
SERIKALI imesema kuwa ongezeko la watu nchi halina athari za kiuchumi na kijamii kwa kuwa Tanzania ina rasilimali za kutosha kuhudumia idadi hiyo kutokana na sera yake ya ujenzi wa uchumi wa viwanda.
Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Susan Lyimo, aliyetaka ushauri wa Serikali kuhusu ongezeko la idadi ya watu lisiloendana na...
SERIKALI imesema kuwa ongezeko la watu nchi halina athari za kiuchumi na kijamii kwa kuwa Tanzania ina rasilimali za kutosha kuhudumia idadi hiyo kutokana na sera yake ya ujenzi wa uchumi wa viwanda.
Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Susan Lyimo, aliyetaka ushauri wa Serikali kuhusu ongezeko la idadi ya watu lisiloendana na...
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Ongezeko la watu latishia matumizi ya Mto Nile
Ongezeko la idadi ya wakazi waishio pembezoni mwa vyanzo vya Mto Nile limejenga hofu ya hali ya baadaye ya mto huo kutokana na kuongezeka kwa shughuli za kijamii, hasa kilimo na viwanda.
5 years ago
CCM BlogDK.KIJAJI: ONGEZEKO LA WATU HALINA ATHARI KIUCHUMI
9 years ago
Michuzi10 Oct
KEMIKALI ZIKITUMIKA IPASAVYO ZITAPUNGUZA ATHARI KWA WATU NA MAZINGIRA.
(Na Jovina Bujulu- MAELEZO)Kukosekana kwa uelewa juu ya hatari na madhara yanayoweza kusababishwa na kemikali kumetajwa kuwa ni chanzo kikubwa cha ajali mbali mbali hapa nchini.
Hayo yamesemwa jijini Dar es salaam na Meneja wa Kanda ya Mashariki wa Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali Ndugu Daniel Ndiyo alipokuwa akizungumzia utekelezaji wa Sheria ya Usimamizi na uthibiti wa kemikali.
“Chanzo kikubwa cha ajali na matukio mengi ya kemikali yanayotokea yanatokana na kukosekana kwa...
Hayo yamesemwa jijini Dar es salaam na Meneja wa Kanda ya Mashariki wa Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali Ndugu Daniel Ndiyo alipokuwa akizungumzia utekelezaji wa Sheria ya Usimamizi na uthibiti wa kemikali.
“Chanzo kikubwa cha ajali na matukio mengi ya kemikali yanayotokea yanatokana na kukosekana kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5NLdcW8kOh8/VYjojL-Jh0I/AAAAAAAHipk/nYxlHS2XEJY/s72-c/unnamed%2B%252876%2529.jpg)
Watu wa marekani watoa dola Bilioni 30 kwa ajili ya Kulinda mazingira, Kukuza uhifadhi na Utalii nchini
Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya dola Bilioni 30 kwa ajili ya Kulinda mazingira, Kukuza uhifadhi na Utalii nchini. Hafla ya kutiliana saini ilifanyika jana, Seronela mkoani Arusha ambapo waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu na Balozi wa Marekani nchini, Mark Childress walisaini makubaliano ya dola 2milioni kwa ajili ya kuendeleza mapambano ya ujangili n anyingine milioni 14.5 kwa ajili ya uhifadhi. Balozi huyo wa Marekani Mark Childress, alimwelezea Nyalandu, kuwa ni...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aJLGd3AdGYI/VZk0b_9tHRI/AAAAAAAC8RQ/9NVypqUsEGc/s72-c/IMG-20150704-WA0030.jpg)
WITO WATOLEWA KWA WATANZANIA KUJITOLEA KUWASAIDIA WATU WENYE UHITAJI IKIWEMO WATOTO WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-aJLGd3AdGYI/VZk0b_9tHRI/AAAAAAAC8RQ/9NVypqUsEGc/s640/IMG-20150704-WA0030.jpg)
Baadhi ya wanalyalamo wakijumuika na watoto wa Kituo cha Yatima Group Trust Fund..
![](http://4.bp.blogspot.com/-rIjY5UMGz4Q/VZk0Ql0QpiI/AAAAAAAC8RE/iu5Ygu8kW2c/s640/IMG-20150704-WA0034.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-53mDpuylgNc/VZk0b3nplLI/AAAAAAAC8RM/o0tnve-XN1s/s640/IMG-20150704-WA0037.jpg)
baadhi ya wanalyamo family katika picha ya pamoja na mkurugenzi mtendaji wa kituo hicho, Winfrida Lubanza(mwenye miwani na blauzi nyeusi)
WITO umetolewa kwa Watanzania nchini kujitolea kwa hali na mali usaidia watu wenye uhitaji ikiwemo watoto yatima wanaolelewa kwenye vituo mbalimbali. Wito huo umetolewa jana na mkurugenzi mtendaji wa kituo cha Yatima Group Trust Fund kilichopo Chanika, jijini Dar es Salam,...
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Kinapa yamaliza migogoro Longido
MIGOGORO ya wafugaji na wakulima katika Tarafa ya Enduimeti, Wilaya ya Longido, mkoani Arusha imedhibitiwa baada ya Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (Kinapa), kutoa elimu kwa makundi hayo ikiwamo...
10 years ago
Daily News23 Jan
Kinapa warden shoots colleague dead
Daily News
A KILIMANJARO National Parks (Kinapa) warden died after being accidentally shot by a colleague on the shoulder. Kilimanjaro Regional Police Commander (RPC) Godfrey Kamwela confirmed the incident, adding that it happened in Motambuli Division, ...
10 years ago
AllAfrica.Com09 Dec
How Kinapa, Villagers Conserve Mt Kili Forest
AllAfrica.com
Moshi — MOUNT Kilimanjaro, the adjoining mountain forest and half mile zone are managed by Kilimanjaro National Park (Kinapa), one of 16 national parks under Tanzania National Parks (Tanapa). Before crossing the national park boundary at the 2,700m ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania