Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ongezeko la watu linaharibu mazingira Kinapa

ONGEZEKO la watu kuzunguka Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (Kinapa), limeathiri mazingira na kutishia kutoweka kwa msitu wa nusu maili. Hayo yamo kwenye taarifa ya Mhifadhi wa Kinapa, Erastus...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

ONGEZEKO LA WATU HALINA ATHARI KIUCHUMI

Na. Saidina Msangi na Peter Haule, WFM, Dodoma
SERIKALI imesema kuwa ongezeko la watu nchi halina athari za kiuchumi na kijamii kwa kuwa Tanzania ina rasilimali za kutosha kuhudumia idadi hiyo kutokana na sera yake ya ujenzi wa uchumi wa viwanda.

Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Susan Lyimo, aliyetaka ushauri wa Serikali kuhusu ongezeko la idadi ya watu lisiloendana na...

 

10 years ago

Mwananchi

Ongezeko la watu latishia matumizi ya Mto Nile

Ongezeko la idadi ya wakazi waishio pembezoni mwa vyanzo vya Mto Nile limejenga hofu ya hali ya baadaye ya mto huo kutokana na kuongezeka kwa shughuli za kijamii, hasa kilimo na viwanda.

 

5 years ago

CCM Blog

DK.KIJAJI: ONGEZEKO LA WATU HALINA ATHARI KIUCHUMI

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb)a. Saidina Msangi na Peter Haule, WFM, DodomaSERIKALI imesema kuwa ongezeko la watu nchi halina athari za kiuchumi na kijamii kwa kuwa Tanzania ina rasilimali za kutosha kuhudumia idadi hiyo kutokana na sera yake ya ujenzi wa uchumi wa viwanda.Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Susan Lyimo, aliyetaka ushauri wa...

 

9 years ago

Michuzi

KEMIKALI ZIKITUMIKA IPASAVYO ZITAPUNGUZA ATHARI KWA WATU NA MAZINGIRA.

(Na Jovina Bujulu- MAELEZO)Kukosekana kwa uelewa juu ya hatari na madhara yanayoweza kusababishwa na kemikali kumetajwa kuwa ni chanzo kikubwa cha ajali mbali mbali hapa nchini.
Hayo  yamesemwa jijini Dar es salaam  na Meneja wa Kanda ya Mashariki wa Wakala wa Maabara  ya Mkemia Mkuu  wa Serikali Ndugu Daniel Ndiyo alipokuwa akizungumzia utekelezaji wa Sheria ya Usimamizi  na uthibiti wa kemikali.
“Chanzo kikubwa cha ajali na matukio mengi ya kemikali yanayotokea yanatokana na kukosekana kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Watu wa marekani watoa dola Bilioni 30 kwa ajili ya Kulinda mazingira, Kukuza uhifadhi na Utalii nchini

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya dola Bilioni 30 kwa ajili ya Kulinda mazingira, Kukuza uhifadhi na Utalii nchini. Hafla ya kutiliana saini ilifanyika jana, Seronela mkoani Arusha ambapo waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu na Balozi wa Marekani nchini, Mark Childress walisaini makubaliano ya dola 2milioni kwa ajili ya kuendeleza mapambano ya ujangili n anyingine milioni 14.5 kwa ajili ya uhifadhi.  Balozi huyo wa Marekani Mark Childress, alimwelezea Nyalandu, kuwa ni...

 

10 years ago

Michuzi

WITO WATOLEWA KWA WATANZANIA KUJITOLEA KUWASAIDIA WATU WENYE UHITAJI IKIWEMO WATOTO WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU


Baadhi ya wanalyalamo wakijumuika na watoto wa Kituo cha Yatima Group Trust Fund..
baadhi ya wanalyamo family katika picha ya pamoja na mkurugenzi mtendaji wa kituo hicho, Winfrida Lubanza(mwenye miwani na blauzi nyeusi)

WITO umetolewa kwa Watanzania nchini kujitolea kwa hali na mali usaidia watu wenye uhitaji ikiwemo watoto yatima wanaolelewa kwenye vituo mbalimbali. Wito huo umetolewa jana na mkurugenzi mtendaji wa kituo cha Yatima Group Trust Fund kilichopo Chanika, jijini Dar es Salam,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kinapa yamaliza migogoro Longido

MIGOGORO ya wafugaji na wakulima katika Tarafa ya Enduimeti, Wilaya ya Longido, mkoani Arusha imedhibitiwa baada ya Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (Kinapa), kutoa elimu kwa makundi hayo ikiwamo...

 

10 years ago

Daily News

Kinapa warden shoots colleague dead


Kinapa warden shoots colleague dead
Daily News
A KILIMANJARO National Parks (Kinapa) warden died after being accidentally shot by a colleague on the shoulder. Kilimanjaro Regional Police Commander (RPC) Godfrey Kamwela confirmed the incident, adding that it happened in Motambuli Division, ...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

How Kinapa, Villagers Conserve Mt Kili Forest


How Kinapa, Villagers Conserve Mt Kili Forest
AllAfrica.com
Moshi — MOUNT Kilimanjaro, the adjoining mountain forest and half mile zone are managed by Kilimanjaro National Park (Kinapa), one of 16 national parks under Tanzania National Parks (Tanapa). Before crossing the national park boundary at the 2,700m ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani