Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FIFA yamuunga rais mpya wa soka Nigeria

Rais wa FIFA Sepp Blatter amemuunga mkono Amaju Pinnick kama rais mpya wa shirikisho la soka nchini Nigeria NFF.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Rais wa soka Bolivia akamatwa

Rais wa shirikisho la soka nchini bolivia Carlos Chavez amekamatwa kama sehemu ya uchunguzi unaohusu ufisadi.

 

9 years ago

Bongo5

Hii orodha mpya ya viwango vya soka duniani FIFA, Tanzania yashika nafasi ya 136

Shirikisho la soka duniani Fifa limetangaza viwango vya ubora vya mchezo wa soka kwa mwezi Septemba ambapo Argentina wanaendelea kuongoza katika chati hiyo. Mabingwa wa dunia Ujerumani wanashika nafasi ya pili, huku Ubelgiji wakishika nafasi ya tatu katika viwango vya ubora. Algeria ndio taifa la Afrika linaloongoza likiwa nafasi ya 19 huku Ivory Coast wakiwa […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwenyekiti mpya wa soka atajwa Nigeria

Shirikisho la soka nchini Nigeria NFF limemchagua Amaju Pinnick kama rais wake mpya baada ya kufanyika kwa uchaguzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA kuchagua rais mpya Februari 2016

Shirikisho la soka duniani Fifa litaandaa kongamano la dharura kuchagua rais mpya tarehe 26 mwezi februari mwakani.

 

5 years ago

Michuzi

UWT DODOMA MJINI YAMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI KWENYE SEKTA YA AFYA NA ELIMU

 Charles James, Michuzi TVKATIKA kuunga mkono juhudi za Rais Dk John Magufuli za kuwahudumia watanzania, Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Dodoma Mjini umekabidhi vifaa mbalimbali vyenye thamani ya Sh Milioni Mbili kwenye sekta ya Afya na Elimu wilayani humo.
Vifaa vilivyotolewa na UWT Wilaya ya Dodoma Mjini ni Mashuka 50 ya kujifunikia katika Kituo cha Afya Mkonze ambacho kilikua kinatumika kuhudumia wagonjwa wenye maambukizi ya ugonjwa wa Corona na vifaa vya kufanyia mitihani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Nigeria kuchagua rais mpya

Mamilioni ya wapiga kura hii leo wanapiga kura nchini Nigeria kwenye uchaguzi wa urais wa kinyang'anyiro kikali

 

10 years ago

BBCSwahili

Historia fupi ya rais mpya wa Nigeria

Je unamjua kiongozi mpya wa Nigeria jenerali Muhammadu Buhari wa chama cha upinzani cha APC aliyemshinda Goodluck Jonathan katika uchaguzi uliopita ?

 

10 years ago

Mtanzania

Mastaa Nigeria wampongeza rais mpya

RaisBADI MCHOMOLO NA MTANDAO
NYOTA mbalimbali wa filamu na muziki nchini Nigeria, wamempongeza Rais mteule wa Nigeria, Jenerali Muhammad Buhari.
Licha ya kupongeza huko, mastaa hao kwa nyakati tofauti waliandika katika kurasa za mitandao yao wakimpongeza Rais aliyemaliza muda wake, Good luck Jonathan kwa kukubali kuachia nafasi hiyo kwa amani.
Wasanii waliopongeza hilo kupitia mitandanoni ni pamoja na Peter na Paul ndugu wanaounda kundi la P Square, Davido pamoja na wasanii wengine wengi wa filamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jenerali Buhari ndiye rais mpya wa Nigeria

Mgombea wa Upinzani nchini Nigeria, Muhammadu Buhari wa chama cha upinzani cha APC amemshinda Goodluck Jonathan katika uchaguzi uliokuwa na ushindani mkubwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani