Mastaa Nigeria wampongeza rais mpya
BADI MCHOMOLO NA MTANDAO
NYOTA mbalimbali wa filamu na muziki nchini Nigeria, wamempongeza Rais mteule wa Nigeria, Jenerali Muhammad Buhari.
Licha ya kupongeza huko, mastaa hao kwa nyakati tofauti waliandika katika kurasa za mitandao yao wakimpongeza Rais aliyemaliza muda wake, Good luck Jonathan kwa kukubali kuachia nafasi hiyo kwa amani.
Wasanii waliopongeza hilo kupitia mitandanoni ni pamoja na Peter na Paul ndugu wanaounda kundi la P Square, Davido pamoja na wasanii wengine wengi wa filamu.
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog10 years ago
BBCSwahili29 May
Historia fupi ya rais mpya wa Nigeria
10 years ago
BBCSwahili28 Mar
Raia wa Nigeria kuchagua rais mpya
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Muhammad Buhari ndiye rais mpya wa Nigeria
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Jenerali Buhari ndiye rais mpya wa Nigeria
10 years ago
BBCSwahili02 Oct
FIFA yamuunga rais mpya wa soka Nigeria
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zQ2pP5BJqrWQ60Lu2WE0PGXxGaS2qz4gDFZjM-Gal5Rb-j8aSoCYIwgYmnKKc*Qar57FaGt0IJbJpEv279sBhXVVP03Klrmn/150331202522_buhari_624x351_redmediaafrica.jpg?width=650)
JENERALI MUHAMMAD BUHARI: RAIS MPYA NIGERIA
10 years ago
Dewji Blog31 Mar
HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE: Muhammad Buhari ndiye rais mpya wa Nigeria
Pichani ni Jenerali Muhammadu Buhari akiwa katika wakati wa kampeni muda mfupi kabla ya kupiga kura.
Kiongozi wa wa chama cha upinzani cha Nigeria jenerali Muhammadu Buhari ameshinda kura za urais na kumuondoa rais aliyeko Goodluck Jonathan mamlakani.
Tayari rais anayeondoka madarakani Goodluck Jonathan amekwisha mpigia simu mpinzani wake Jenerali Buhari na kumpongeza kwa ushindi huo wa kihistoria.
Hii ndiyo mara kwanza katika historia ya taifa hilo kwa rais wa nchi hiyo kung’olewa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-O1bFZIv4d7g/Ux1-Lq1jtkI/AAAAAAAFSkg/NaUGHZ0mNto/s72-c/New+Picture+(15).png)
WALIOSOMA USSR WAMPONGEZA BALOZI MPYA WA MALAYSIA DKT. AZIZI MRIMA
KATIKA SHEREHE HIYO ILIYOANZA SAA 12.30 JIONI HADI SAA 5.45 USIKU, WASOMI HAO WAKIONESHA IMANI KUBWA KWA DTR. AZIZI MRIMA KWA KUMPONGEZA NA KUMPA ZAWADI KWA KUTEULIWA KWAKE KUWA BALOZI WA TANZANIA NNCHINI MALAYSIA NA KUAHIDI KUMPA USHIRIKIANO WA KARIBU KATIKA KAZI ZAKE ZA...