JENERALI MUHAMMAD BUHARI: RAIS MPYA NIGERIA
![](http://api.ning.com:80/files/zQ2pP5BJqrWQ60Lu2WE0PGXxGaS2qz4gDFZjM-Gal5Rb-j8aSoCYIwgYmnKKc*Qar57FaGt0IJbJpEv279sBhXVVP03Klrmn/150331202522_buhari_624x351_redmediaafrica.jpg?width=650)
Rais mteule wa Nigeria Jenerali Muhammadu Buhari. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini Nigeria, INEC, Attahiru Jega amemtangaza rasmi Kiongozi wa wa chama cha upinzani cha Nigeria Jenerali Muhammadu Buhari kuwa rais wa taifa hilo kubwa barani Afrika baada ya kumbwaga rais wa zamani Goodluck Jonathan. Wafuasi wa Jenerali Buhari wakishangilia… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Muhammad Buhari ndiye rais mpya wa Nigeria
10 years ago
Dewji Blog31 Mar
HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE: Muhammad Buhari ndiye rais mpya wa Nigeria
Pichani ni Jenerali Muhammadu Buhari akiwa katika wakati wa kampeni muda mfupi kabla ya kupiga kura.
Kiongozi wa wa chama cha upinzani cha Nigeria jenerali Muhammadu Buhari ameshinda kura za urais na kumuondoa rais aliyeko Goodluck Jonathan mamlakani.
Tayari rais anayeondoka madarakani Goodluck Jonathan amekwisha mpigia simu mpinzani wake Jenerali Buhari na kumpongeza kwa ushindi huo wa kihistoria.
Hii ndiyo mara kwanza katika historia ya taifa hilo kwa rais wa nchi hiyo kung’olewa...
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Jenerali Buhari ndiye rais mpya wa Nigeria
10 years ago
BBCSwahili12 Dec
Muhammad Buhari kugombea urais Nigeria
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Rais wa Nigeria ni Muhhamadu Buhari
10 years ago
BBCSwahili29 May
Buhari ameapishwa kuwa rais wa Nigeria
10 years ago
StarTV03 Jun
Muhamadu Buhari aapishwa kuwa rais wa Nigeria
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/28/150528143127_jonathan_buhari_handover_512x288_nta_nocredit.jpg)
Buhari ameapishwa kuwa rais wa Nigeria
Mshindi wa uchaguzi mkuu nchini Nigeria Muhamadu Buhari ameapishwa kama rais mpya wa nchi hiyo.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/29/150529101952__buhari_ameapishwa_kuwa_rais_wa_nigeria_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Waziri wa maswala ya kigeni wa Marekani akiwa Abuja
Bwana Buhari ambaye ni kiongozi wa zamani wa kijeshi amechukua uongozi kutoka kwa rais wa zamani Goodluck Jonathan ambaye amemtaka kuiunganisha nchi hiyo wakati inapokabiliana na tisho kutoka kundi la Boko Haram.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/29/150529101852__buhari_ameapishwa_kuwa_rais_wa_nigeria_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Kiongozi wa Ethiopia akiwasili Abuja
Buhari anasema kuwa lengo lake ni kupambana ufisadi ambao...
9 years ago
Bongo501 Oct
Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari kujiteua mwenyewe kuwa waziri wa mafuta